Blender
JF-Expert Member
- Mar 5, 2022
- 4,870
- 8,035
Adam na hawa ni story Bible na Qur'an walizichukua From early societyNimewahi kumuuliza kiongozi mkubwa kabisa wa dini na akanihakikishia kua Adamu na Eva ni hadithi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Adam na hawa ni story Bible na Qur'an walizichukua From early societyNimewahi kumuuliza kiongozi mkubwa kabisa wa dini na akanihakikishia kua Adamu na Eva ni hadithi
Adam na hawa walikuwa ni race Gani?Kwanini ni story za uongo ? Tupe sababu au uthibitisho
Katafute biblia uisome vizuri,,Logical non sequitur.
Naku uliza hivi [emoji116]
Adam na Hawa walikuwa waafrika weusi, wazungu weupe, wahindi, waarabu, wafilipino, wachina au Wajapan?
Jibu swali acha viroja.
Inaonekana kuna tatizo kwenye uelewa wako, Unajua nmemaanisha nini kuandika hayo nliyoyaandika ? Niambie namna ulivyoelewa...Kusema dini ililetwa na wazungu ni hadithi au unachanga uongo au ukweli na hadithi?
HADITHI inaweza kuwa ya kweli au ya uongo sasa hii hadithi ya dini za ukritu na uislam kuletwa na wazungu au waarabu ni uongo au ukweli?
Inamaana unawabishia hadithi wenye dini zao ambao historia yao inaeleza kuwa wao ndiyo walizileta hizo dini hadi miaka ya kuja kwao kuanzisha dini hizo ipo?
Unajua ujinga siyo dhambi ila UPUMBAVU kama wako ni dhambi kubwa na ni laana kitu kikowazi ila unalazimisha tu kwakuwa umezaliwa na kuambiwa iko hivyo.
Swali la kujiuliza kama Mungu ni mmoja na wote tunapambana kwenda kwa Mungu mmoja kwanini Afrika kuwe na dini mbili kubwa zilizotawala za ukristu na uislamu na isiwe moja tu?
Nikijibu kuwa walikua wazungu, Wachina au Wa Africa utakua umeshapata uthibitisho kuwa Mungu yupo ?Adam na hawa walikuwa ni race Gani?
Biblia ni ujinga kama movie nyingine to zilizotengenezwa na wazungu ili kuiangamiza AfrikaKatafute biblia uisome vizuri,,
Then uje kuniuliza maswali yanayoeleweka.
Adam na Hawa walikuwa ni race ya walioiandika na kuimiliki biblia na kupata hakimiliki/copyright ambapo ni wazi ni wakoloni wa kizungu.Nikijibu kuwa walikua wazungu, Wachina au Wa Africa utakua umeshapata uthibitisho kuwa Mungu yupo ?
Ni mjinga tu anayeweza kuendelea kukaliwa na ukristu au uislamAdam na hawa ni story Bible na Qur'an walizichukua From early society
Sema Tu mkuu,Nikijibu kuwa walikua wazungu, Wachina au Wa Africa utakua umeshapata uthibitisho kuwa Mungu yupo ?
Huna majibu ya maswali hayo unaishia kuzunguka zunguka tu.Katafute biblia uisome vizuri,,
Then uje kuniuliza maswali yanayoeleweka.
Sasa kwanini unaniuliza maswali ambayo unajua fika majibu yake ni lazima yatoke kwenye biblia ambayo wewe unaipingaBiblia ni ujinga kama movie nyingine to zilizotengenezwa na wazungu ili kuiangamiza AfrikaView attachment 2858974View attachment 2858975View attachment 2858976
Mimi sio muumini sana wa dini, Ila ni muumini wa Mungu mmojaDini kazi yake ni kucheza na akili za watu, ili watu waishi kwa amani. Hofu ya Mungu ndiyo inayotumika. Ila waanzilishi hawana hofu kazi ni kupiga pesa kwa kutumia watu waliopumbazwa.
Waanzilishi wa dini bado wapo tu hadi leo? Au unataka kusema wakina Mwamposa ndio waanzilishi wa dini ambao ndio wanapiga pesa au hawa masheikh wenye kulipwa afu 3 kwa mwezi malipo ya kufundisha mtoto madrasa?Dini kazi yake ni kucheza na akili za watu, ili watu waishi kwa amani. Hofu ya Mungu ndiyo inayotumika. Ila waanzilishi hawana hofu kazi ni kupiga pesa kwa kutumia watu waliopumbazwa.
Ujinga ni mzigo!!Sasa kwanini unaniuliza maswali ambayo unajua fika majibu yake ni lazima yatoke kwenye biblia ambayo wewe unaipinga
Inaonekana kichwa chako ni tank la kuhifadhia mate tuu,Ujinga ni mzigo!!View attachment 2864744
Yaani stori za nyoka kuongea na ww haukusimuliwa enzi za utoto? unazikumbuka hadithi za sungura na fisi? haihitaji mie kukuaminisha, just use yo brain kuona udanganyifu!"Kiongozi mkubwa wa dini akakuhakikishia "
Unataka kutuambia yeye ndiye mwenye mamlaka hayo ?
Sawa tueleze alikuhakikishia how ? Nasisi tujifunze
Rafiki, ulisoma kidogo hata issue za Kingdoms? unajua maana ya species?Mungu alikua na maana yake kuumba huo utofauti, Na ni viumbe wote ipo hivyo,, Yani inatofautiana rangi kati ya mmoja na mwingine ( Mbwa, mbuzi, Ng'ombe hata mimea ipo kwa rangi nyingi tofauti tofauti )
So point yako naona haina mashiko