Dini zimefanywa biashara, michango imekuwa mingi

Dini zimefanywa biashara, michango imekuwa mingi

Embu jibu acha kukwepa
Ulishawahi kusikia binadamu anagawana Mali za uizi (ngawira) na mungu wake ? Zaidi ya Muhammad?

Koran8:1. Wanakuuliza juu ya Ngawira. Sema: Ngawira ni ya Allah na Muhammad.....
Hamna swali hapo.jibu nikwamba yesu nifundi kapenta wewe unamuita mungu😁😁mungu anachonga vitanda?🤣🤣🤣🤣🤣
 
toa sadaka moja kwa moja kwa Wahitaji kama mafukara, masikini na mayatima
Kama ni kusaidia watu bora matajiri watoe kwa mashirika binafsi yasiyo ya kanisa kwa wahitaji tu.....kanisa bado linawapiga mayatima kwa kufungua vituo vya watoto yatima na walemavu pia.

Au tajiri asomeshe watoto wa kaya maskini.
 
Kwenye Uislamu ibada zote malipo yake mbinguni, masheikh na maimamu wote wana kazi zao za kuendesha maisha yao, hakuna mtu anaeishi kwa sadaka na zaka.
Hii nzuri wanaamini katika pepo na ahera
 
Kwanu

Wanaogombea msikiti wanaogombea Nini kama Sio pesa
wapihuko kwanza hatataarifa hizo Sina ila nazani itakuwa wanagombania eneo sio sadaka.
ukiristo nibiashara kama biashara zingine☹️☹️☹️☹️
 
Hapana siyo kiingilio hiyo hata isipotolewa still tukio litafanyika hiyo huwa wanatoa wale wenye uwezo wasiokuwa na uwezo nao watashiriki pamoja,hilo ni tukio la jamii siyo vyema mtoto huyu apigwe picha yule asipigwe picha kisa alikosa 5,000/= ya mpiga picha.

Hiyo pesa unakuta ipo included pamoja na picha za matukio so tu-assume mtoto wa huyu bwana kama angekuwa na uwezo akatoa hiyo hela atapigwa picha 10 ni 10K,sahani ya chakula weka 7K hiyo 8K yupo mzazi hana uwezo ingembeba kwenye picha za mwanae nae afurahi.
Isipo toa michango sasa hivi huzikwi na padre.
 
Rudi home kambatize mwenyewe kwani si unaonaga jinsi Padre anafanya?

Au ingia YouTube cheki some tutorials kisha maliza mchongo.

Kufanya iwe impressive zaidi unairekodi kabisa halafu unampelekea flash Padre ili akupe cheti cha ubatizo.

Akisema wewe hautakiwi kubatiza mwambie akasome Marko 9:23 inasema yote yawezekana kwa imani
 
Hizo pesa hali askofu ni kwa ajili ya kuprint cheti,ubwabwa,soda,mc,turubai,vitu,mapambo,maji,picha,nk Tena Mara moja Kwa maisha yake yote.
Hio pesa hata bia ulewi
 
Isipo toa michango sasa hivi huzikwi na padre.
Unaweza ukanithibitishia hili?stick kwenye hoja yako mezani unatafuta attention uhamishe mada?

Hayo tumekuwa tukiyasikia kwenu ninyi msioijua imani miaka na miaka lakini Mkatoliki wa kweli anajua akifanya nini hastahili maziko ya Kanisa asipofanya nini anastahili maziko ya Kanisa so wewe hunisumbui.
 
Hizo pesa hali askofu ni kwa ajili ya kuprint cheti,ubwabwa,soda,mc,turubai,vitu,mapambo,maji,picha,nk Tena Mara moja Kwa maisha yake yote.
Hio pesa hata bia ulewi
Unakuta umeingia kwenye ibada Kanisa limejaa kumbe wengine ni kama hawa wanaongeza tu idadi ya waumini hakuna kitu.

Mwambie pia siyo kila mtu amejaaliwa kuwa na hiyo hela yeye akiitoa inamsaidia yule asiyekuwa nacho which is ni baraka pia kwake lakini leo Kanisa Lina muumini analalamika kujitoa sadaka na anajiita muumini.
 
Salaam!

Mimi nafikirishwa sana na hizi dini za leo za kizungu, binafsi mimi ni mkatoliki lakini naona uchafu uchafu tu.

Hawa wakristo tuwape muda tu hii karne ya 21 ikipita najua hatuta kuwepo wengi humu ila ukristo utakuja kuwa kituko cha karne (22) kutokana na yale tunayo yaamini viongozi wetu wanatuletea mapicha picha ya kutufanya sisi ni misukule yao.

Nimejiuliza swali moja tu mimi kama baba mlezi mtoto alifika hatua ya kipaimara, nikaambiwa eti nitoe shilingi elfu 25,000 ili mtoto akae pamoja na askofu. Yaani yeye askofu anakuja kukaa na watoto hiyo siku ya kipaimara wanakula pale sahani ya wali na soda na stori mbili tatu afu imeisha hiyo. Mimi kipaimara changu hakikuwa hivi sasa hii elfu 25 ni ya nini? Mamichango ya zaka ni lundo.

Kidogo nisahau kuuliza hili swali?

Hivi wakuu na huko kwenye uislamu ni hivi hivi?
Kazi ya viongozi wa dini ni kama madalali wa kuunganisha waumini kwenda mbinguni/peponi, sasa wewe unataka kusafiri bila kulipa nauli!?

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Hamna swali hapo.jibu nikwamba yesu nifundi kapenta wewe unamuita mungu😁😁mungu anachonga vitanda?🤣🤣🤣🤣🤣
Ujumbe umeshaupata unapindisha tu ku kuona so , mtume aliwaingiza chaka

Koran8:1. Wanakuuliza juu ya Ngawira. Sema: Ngawira ni ya Allah na Muhammad.....
 
Ujumbe umeshaupata unapindisha tu ku kuona so , mtume aliwaingiza chaka

Koran8:1. Wanakuuliza juu ya Ngawira. Sema: Ngawira ni ya Allah na Muhammad.....
kapenta family🤣🤣🤣😁😁😁
 
Back
Top Bottom