Dini zingesambazwa kama ambavyo Atheism inasambaa sidhani kama zingekuwa na wafuasi wengi hivi

Dini zingesambazwa kama ambavyo Atheism inasambaa sidhani kama zingekuwa na wafuasi wengi hivi

Mwaka 1839 jamii ya wayahudi wa Mashhad walipewa option kati ya kusilimu au kufa

Is this how religion of peace does?
Uislamu upo hadi sasa na waislamu wanaishi na wasio waislamu tena wengine ndugu kabisa na hushirikiana katika mambo mbalimbali, hata hapa nchini kwetu Tz ni mfano hai waislamu na wasio waislamu kuishi pamoja na kwa amani ndivyo wanavyoishi.
 
Suala hilo halipo hata usemeje kuwa na sio kulazimisha...😂😂😂
Jami` at-Tirmidhi 2732

Narrated 'Aishah:

"Zaid bin Harithah alipowasili Al-Madinah wakati mtume wa Allah akiwa nyumbani kwake, aligonga mlango na mtume alifungua akiwa amesimama uchi wa mnyama."

"Mtume alimsogelea na kumkumbatia kisha kumbusu mdomoni."

Homosexual prophet
 
Halafu kwanini iwe kwamba neno moja ila kila mtu atumie kwa tafsiri yake? Kwani neno Mungu lina maana gani au kuna ulazima gani wewe utumie neno Mungu ila ukakusudia kitu kingine kabisa tofauti na ilivyozoeleweka?
Kwasababu tumetokea familia za dini sana. Nikisema niwaelezee baadhi ya vitu nitaleta sintofahamu kubwa.

Binafsi imenichukua kama miaka 2 kuamini kwamba haya madini hayapo sawa.

Kipindi nilipoamua kuchallenge mafundisho/mahubiri, na huku nasoma hoja za atheists, nilianza kama kudata/kuchanganyikiwa kimtindo.

It's not easy kwa "mfia dini" kuwa atheist. Atheism ni process ya taratibu. Kama umetokea familia za kushika dini. Kwenye transition period kwenda kwenye atheism lazima uwe battle la wewe na kichwa chako kwa muda kidogo

Sipendi kuwashawishi watu kuwa maatheists, kwasababu naamini Kama una akili timamu, Kuna vitu utajua haviko sawa
 
Jami` at-Tirmidhi 2732

Narrated 'Aishah:

"Zaid bin Harithah alipowasili Al-Madinah wakati mtume wa Allah akiwa nyumbani kwake, aligonga mlango na mtume alifungua akiwa amesimama uchi wa mnyama."

"Mtume alimsogelea na kumkumbatia kisha kumbusu mdomoni."

Homosexual prophet
Hakuna kitu kama hicho 😅😅😅 waislamu wanasoma vitu vyote...Hadith haiwezi kupinga Qur an
 
Agnostic wao wanatumia nini katika msimamo wao? Kama Atheists husema kwa kujiamini hakuna Mungu je agnostic nao unawazungumziaje?

Halafu hayo unayosema unaamini wewe hayana maana yeyote pia kwa atheists maadamu ni imani.
Unataka definitions za atheism na agnosticism?
Au unataka kujua sababu zinazowafanya watu kuwa atheists?
 
Uislamu upo hadi sasa na waislamu wanaishi na wasio waislamu tena wengine ndugu kabisa na hushirikiana katika mambo mbalimbali, hata hapa nchini kwetu Tz ni mfano hai waislamu na wasio waislamu kuishi pamoja na kwa amani ndivyo wanavyoishi.
Unaelewa maana ya kuwa spread?
 
Hamna kitu kama hicho 😅😅
Pengine ndio maana watu kama kina Daayiee Abdullah wanakuwa comfortable kuongoza waumini misikitini

Kwasababu wanajua wanachofanya kipo authorized na dini
 
Leta Qur an? 😅😅😅Unakimbilia Hadith za urongo...Qur an mmeshindwa kubadili
Kwani hadithi sio credible?

Ni vingapi mnavifuata ambavyo kwenye Quran havipo na vimeelezwa kwenye hadithi?
 
Pengine ndio maana watu kama kina Daayiee Abdullah wanakuwa comfortable kuongoza waumini misikitini

Kwasababu wanajua wanachofanya kipo authorized na dini
Jamani Tangazo la papa hujaliona yule ni kiongozi wa dini kabisa😅😅😅kasema nyie mashoga wa africa jamii itawakubali maana ni mwanzo tu.
 
Kuamini kwa uthibitisho ndio kukoje? Maana mnasema tunaamini bila uthibitisho.
Msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika.

Kitu kama kipo hakihitaji uthibitisho wa uwepo wake.

Maana kikihitajika kujulikana kipo, kitafahamika kipo angalau kwa namna moja ya kuonekana, kushikika, kusikika au kuhisika.

Kisicho kuwepo, Hakipo kwa namna yoyote ile ya kuthibitishika kipo.

Hakionekani, hakishikiki, hakisikiki na hakihisiki.

Mungu hayupo kwa namna yoyote ile zaidi ya mawazo ya kufikirika tu.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Jamani Tangazo la papa hujaliona yule ni kiongozi wa dini kabisa😅😅😅kasema nyie mashoga wa africa jamii itawakubali maana ni mwanzo tu.
Sasa mimi na habari za papa nahusiana nazo vipi wakati sio mkristo?

Wewe ambaye unadai kuwa dini yako ni dini safi ndio unieleze kivipi mtume wenu awe na boyfriend?.

Kivipi masheikh wanaoswalisha misikitini wajitokeze hadharani ku declare kuwa ni gays?
 
Sasa mimi na habari za papa nahusiana nazo vipi wakati sio mkristo?

Wewe ambaye unadai kuwa dini yako ni dini safi ndio unieleze kivipi mtume wenu awe na boyfriend?.

Kivipi masheikh wanaoswalisha misikitini wajitokeze hadharani ku declare kuwa ni gays?
Yule ndio Mungu wenu anaisha pale Vatican , huwezi kupinga kaongea kama amri nyie mnafuata..

Fanya kuandaa kinyeo!
 
Tafuta hadithi ya Sunan Abi Dawud 5224 iliyokuwa narrated na Usayd ibn Hudayr

Humo ukisoma utaona Muhammad alikuwa na boyfriend

Zipo hadithi nyingi sana ambazo zinazungumzia homosexual scandal ya mtume wenu.

Majibu ya kusema kwamba ni za kutunga hatuwezi kuyachukulia kama ni hoja defensively zenye mashiko hususani tukijua wazi kuwa haupo tayari kukubali skendo chafu yeyote inayohusu dini yako.
Ila we mropokaji, unajiongelea tu
 
Back
Top Bottom