Unauliza au unatupa taarifa ?Jamanii central zone wameshaita tyr
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unauliza au unatupa taarifa ?Jamanii central zone wameshaita tyr
Jamanii central zone
Ulipata ngapi kwenye AptitudeNaulizia
Amesema passmark ni ngapi kwa central zone?Kuna group nipo, kuna mtu kasema wameshaitwa.
Lini wanafanya?Kuna group nipo, kuna mtu kasema wameshaitwa.
UmenishtuaaNaulizia
Ohooo au tulio kuwa humu wote tulipata 40 maana sioni ushuhuda wa mtu kutoka humu 🥹Kuna group nipo, kuna mtu kasema wameshaitwa.
Mi kuna mwenzangu aliomba central zone na alipata 85 ila hajaitwa hadi leo, au ndo mambo ya connectionOhooo au tulio kuwa humu wote tulipata 40 maana sioni ushuhuda wa mtu kutoka humu 🥹
Nilipta 80 lakni naon kmy mpka leoOhooo au tulio kuwa humu wote tulipata 40 maana sioni ushuhuda wa mtu kutoka humu 🥹
Zone gani uliombaMe
Nilipta 80 lakni naon kmy mpka leo
Central zoneZone gani uliomba
Na yule aliye tuma - screen shot ya interview ni vipi ?tusiwe na presha Dss hapo anza kuhesabia kuanzia december, january au february ndio wataanza kuita mwaka jana aptitude ilifanyika mwez wa 12 lakini oral watu waliitwa february
Siwezi kusema ni uongo au vipi lakini ukiangalia inamaanisha tz nzima yeye pekee ndio katumiwa maana kwenye magroup yote hakuna mtu mwingine wa Dss anaesema katumiwa textNa yule aliye tuma - screen shot ya interview ni vipi ?
Kasema yeye amepata 90Amesema passmark ni ngapi kwa central zone?
Kuna watu wa lake zone ndio uhakika wameitwa na wengine wamefanya oral leoNa yule aliye tuma - screen shot ya interview ni vipi ?