Mwamaleki
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 727
- 2,969
Acha ufala mbupu weweHahaaaaa, kumbe wewe ndio Joyce Mukya?[emoji1][emoji38][emoji23][emoji1787][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ufala mbupu weweHahaaaaa, kumbe wewe ndio Joyce Mukya?[emoji1][emoji38][emoji23][emoji1787][emoji3]
Msamehe mke wangu Lovenes. AmekosaKabla hamjajiunga jf ni vema mkawa mnasoma sheria zake
Wewe ni msssssssengePoleni na msiba mkuu..
sisi watu wa imani mtu baada ya kufa msaada wake unabaki kwa kile alichokitanguliza kwa mikono yake.Mkuu ebu fafanua plzzzz!!!
Una pointi hapa...
Muder muder????
Haaah poa nimekuelewa kakasisi watu wa imani mtu baada ya kufa msaada wake unabaki kwa kile alichokitanguliza kwa mikono yake.
View attachment 2840201
Director maarufu wa video mbalimbali ikiwemo za Wasanii wa Bongofleva ambaye pia ni Mtoto wa kwanza wa Muhubiri maarufu wa Arusha wa Kanisa la Ngurumo ya Upako Dr. GeorDavie, Nic Davie maarufu Nisher amefariki saa nane na dakika tisa usiku wa kuamkia leo December 12,2023.
Familia ya Dr. GeorDavie imethibitisha kutokea kwa msiba huo wa Kijana wao Nisher na kusema msiba unafanyika katika nyumba ya matamko Kisongo Jijini Arusha na kwamba taarifa zaidi zitatolewa baadaye.
---
Aliyekuwa Mwanamuziki, Mwandaaji na Mwongoza Video za Muziki #Tanzania, Nic Davie maarufu #DirectorNisher amefariki Dunia Usiku wa kuamkia Desemba 12, 2023 huku Familia ikiwa haijaweka wazi chanzo cha kifo chake
Nisher ambaye ni Mtoto wa Mhubiri Geor Davie amewahi kuongoza Video za Wasanii mbalimbali, baadhi ni Weusi, BenPol, (Unanichora & Jikubali), Fid Q (Bongo HipHop), Baraka da Prince (Jichunge) na Young Killer ft. Fid Q (13) na kupata Tuzo ya Chaguo la Watu (Peoples Choice Awards) kama Director Bora wa Mwaka 2014
InawezekanaHivi ni nini? Mtu amepitia nini hiko mpk kujiua?.au kifo cha mtoto wake hakikua cha kawaida?
Tatizo umempotezaje labda hapo ndio palimsumbuamzee geodevie atakuwa anajua nini shida, na pengine zilitumika nguvu badala ya hekima na saikolojia katika kumhudumia... nisher kwanza wakishua, mzee ana pesa mzee ana connection, pili yeye mwenyewe mtu mkubwa, maarufu na bila shaka mzigo anao... hizo attempt za kujiua zinaonesha kuna mambo mazito yalikuwa yanamtatiza, pengine madawa, au mambo ya kifamilia.... sasa kuna uwezekano hakupata tiba sahihi ya kimwili, kiakili na kiroho (vitu vote hivi viko ndani ya uwezo wa baba yake)... sasa kuvikosa ndio huko majaribio kadhaa mpaka kufanikiwa kujiua... kifo hakina mbabe ila kama kweli ni kwa kujiua basi mzee wake atakuwa na mengi ya kujilaumu....
swala la kupoteza mtoto ni painfull lakn angepata msaada sahihi lilikuwa ni jambo la kupita, bado ni kijana Mungu angembariki mwingine.. hizo ni assumption zangu kwa sasa until further info kuhusu chanzo cha kifo chake.
Hatupaswi kuhukumuNakukumbusha kuwa mahali pabaya peponi pia papo na so Kila anayekufa anaenda pema peponi.
Sema amejiua sio kufariki hawa manabii wa mwendokasi malipo yao ni hapahapa dunianiTaarifa sahihi ya uhakika Ni kwamba mtoto wa mtumishi wa Mungu kutoka arusha nabii GeorDavie....ajulikanaye kwa jina la maarufu NISHER amefariki dunia...
Maandiko yepi mkuu?Somaa maandiko mkuu sio mm
Mkuu umenifanya niongeze Siku za kuishi Kwa huo mstari mwisho,🤣🤣🤣🤣🤣Watu wanarogwa ...... Hata Chid Benzi 100% kapigwa "chuma".
Hili halihitaji scientific proof Uncle.Alafu naambiwa maisha ya kaburini ni marefu zaidi kuliko ya duniani
Acha ujinga wa kuamini ulozi mkuu. Nchi hii ina watu wa ajabu sana wanaoamini kila kifo au tatizo kuna mkono wa mtu. Kwan Chid Benz ndio wa kwanza kula unga akapata matatizo ya afya ya akili? Kwann useme mtu kalogwa ilhali inajulikana tatizo lake ni unga? Yeyote aaminiye uchawi kwenye kila jambo ni mpumbavu na mpuuzi.Watu wanarogwa ,ndiyo maana usimuamini sana binadamu...Zahara kawekewa sumu na ndugu zake...binadamu roho za korosho sana ,usikute wamempiga kinyama zongo cha depression.
Watu wanapigwa mapepo ya uzinzi(umalaya) ,watu wanapigwa mapepo ya wizi ili mradi wakupoteee direction ,kama ndugu wasipohangaika unapotea....Hata Chid Benzi 100% kapigwa "chuma".
Acha ujinga wa kuamini ulozi mkuu. Nchi hii ina watu wa ajabu sana wanaoamini kila kifo au tatizo kuna mkono wa mtu. Kwan Chid Benz ndio wa kwanza kula unga akapata matatizo ya afya ya akili? Kwann useme mtu kalogwa ilhali inajulikana tatizo lake ni unga? Yeyote aaminiye uchawi kwenye kila jambo ni mpumbavu na mpuuzi.
Back to Nisher, jamaa inaonekana alipata msongo mkali wa mawazo. Life is more than money, kuna watu kibao wenye hela lakini wanateswa na mambo mengine km magonjwa, magonjwa ya akili n.k . Ko sa lililofanyika ni kutompeleka Nisher kwa Daktari mzuri mtaalam wa akili ( Psychiatrist)
Gary Speed ( former Wales NT football coach) alihojiwa kwenye TV akaeleza mipango mingi ya timu yake, ila usiku huo akajiua. Alikuwa tajiri kuliko Nisher na hakuonesha dalili yoyote ya depression kumbe jamaa alikuwa anaugulia ndani kwa ndani.
Yani nausubiria kwa hamu ila holaaa...kila nikiona reply ya huu uzi nakuja chap kuchungulia ila hakuna anaejua...Wanasema kajidhuru nadhan jeraha lilikuwa kubwa mwenye ubuyu atumwagie
Duuuh! aisee.Yani nausubiria kwa hamu ila holaaa...kila nikiona reply ya huu uzi nakuja chap kuchungulia ila hakuna anaejua...