TANZIA Director Nisher afariki dunia




Mimi nashangaa nimepata habari za huu msiba zaidi ya wiki moja sasa. Tena inatisha sana stori niliyopata mimi ni kwamba alifiwa na mtoto akaingia kwenye depression kubwa sana iko siku akajichoma kisu na ndivyo alivyokufa. Inasikitisha kama hivyo ndiyo alivyofariki.
 
Tatizo umempotezaje labda hapo ndio palimsumbua

Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
 
Taarifa sahihi ya uhakika Ni kwamba mtoto wa mtumishi wa Mungu kutoka arusha nabii GeorDavie....ajulikanaye kwa jina la maarufu NISHER amefariki dunia

Nisher amekuwa maarufu kupitia kuwa director(mwongozaji wa video za muziki bongo );amewahi kufanya kazi na wasanii wengi Sana.....taarifa zaidi zitakuja

Source:N.Y.U RADIO (ARUSHA)
 
Taarifa sahihi ya uhakika Ni kwamba mtoto wa mtumishi wa Mungu kutoka arusha nabii GeorDavie....ajulikanaye kwa jina la maarufu NISHER amefariki dunia...
Sema amejiua sio kufariki hawa manabii wa mwendokasi malipo yao ni hapahapa duniani
 
Acha ujinga wa kuamini ulozi mkuu. Nchi hii ina watu wa ajabu sana wanaoamini kila kifo au tatizo kuna mkono wa mtu. Kwan Chid Benz ndio wa kwanza kula unga akapata matatizo ya afya ya akili? Kwann useme mtu kalogwa ilhali inajulikana tatizo lake ni unga? Yeyote aaminiye uchawi kwenye kila jambo ni mpumbavu na mpuuzi.

Back to Nisher, jamaa inaonekana alipata msongo mkali wa mawazo. Life is more than money, kuna watu kibao wenye hela lakini wanateswa na mambo mengine km mapenzi, magonjwa ya akili, mahusiano na wazazi n.k . Ko sa lililofanyika ni kutompeleka Nisher kwa Daktari mzuri mtaalam wa akili ( Psychiatrist)

Gary Speed ( former Wales NT football coach) siku moja kabla, alihojiwa kwenye TV akaeleza mipango mingi ya timu yake, kuonesha ni mtu mwenye mipango ya muda mrefu na furaha Ila mwisho wa siku akajiua. Alikuwa tajiri kuliko Nisher na hakuonesha dalili yoyote ya depression kumbe jamaa alikuwa anaugulia ndani kwa ndani kwa sababu ya mahusiano.
 

Wanasema kajidhuru nadhan jeraha lilikuwa kubwa mwenye ubuyu atumwagie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…