TANZIA Director Nisher afariki dunia

Baada ya miaka 6 ya kusimangwa usingle maza,anaibuka Baba mtu kumdai mwanae kupitia ustawi wa jamii,wanampa ati Mama hana uwezo wa kumlea daah
 
Acha tuu..ndo maana natamani kujua why?? Kwanini ajiue..alikua anauwezo wa kupata kila kitu
Hata mimi inanishangaza sana
Yaani mtoto wa kishua anapata depression hadi anajiua kweli!

Ingekuwa kapuku kama sisi ambao kula yetu tu ya shida,stress tu si zingemmaliza[emoji3064]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mimi inanishangaza sana
Yaani mtoto wa kishua anapata depression hadi anajiua kweli!

Ingekuwa kapuku kama sisi ambao kula yetu tu ya shida,stress tu si zingemmaliza[emoji3064]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hajajiua, ila Matajiri ndio wanaongoza kwa kujiua kwakuwa wana malengo makubwa ambayo kuyafikia ni ngumu.

Mtoto wa Tajiri ana dream vogue 2023, Dream House Masaki ambapo kwa bei ya chini ni bilioni 3, anataka Mume wa kishua -tena point 3 [half cast], amesoma Political science huko Havard -Mrekani akija Tanzania anakuta makarai kama akina Sabaya na Katambi ndio mabosi zake, watu ambao hata barua hawawezi kuandika na mshahara wa laki 8 lazma ajiondoe uhai.
 
Kama Avicii vile.
Alikuwa famous, pesa anayo lakini akajiua kwa depression.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti akina Sabaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yule ni mke wa Rais umeelewa nini?
Unachanganya supu na tui la nazi, ugoro na tambuu, unawasha A/C bekary , haieleweki unataka kuelezea hoja gani!
yule ni mke wa Rais umeelewa nini? Sentensi haina herufi kubwa, haina comma, haijulikani ni swali ama maelezo.

RAIS: WA -
1. TFF
2. WASAFI
3. TANDALE
4. ISRAELI.
5.DARUSO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…