TANZIA Director Nisher afariki dunia

TANZIA Director Nisher afariki dunia

Sio kauli chafu hakuna penye kauli chafu Ni ukweli usiosemwa na wengi ndio huonekana kauli chafu sababu unauma na huo ndio ukweli, hakuna mwenye majeraha ya ndani labda wewe ndio mwenye majeraha ya ndani ndio maana umeniquote tafuta tiba haraka wenzio wote wamesoma wima wima wakapita kimya kimya wewe na matatizo yako ukaona haitoshi ngoja uniquote jitatulie matatizo yako hapo ulipo Ila ukweli utasemwa tu hata km utakuumiza wewe umia tu yaan endelea kuugulia
Haaaahaaaaa eti watu wote wamepita wima ukijaribu kusema nn labda ...unaogopwa au povu la majeraha linakusumbua katibiwe .....
 
Nisher jamani [emoji3064]
Ungemuonea huruma japo Mama yako
RIP



Kwani amefanyaje yeye?

Kuna vifo vya kujizuru lakini kwa njia ya kujichinja ni ngumu kuamini kuwa mtu ajichinje mwenyewe hadi kukata roho?

Labda watuambie wenye kujua zaidi.

Sababu kujichinja sio kwa kutokea mara moja paaa kama kujipiga risasi au kamba, au kujirusha toka juu ya ghorofa n.k

Kuchinja sizani kama ni rahisi kiivyo labda kwa kuchunjwa nako mmmnh sizani.
 
Mpaka leo sijawahi elewa chanzo cha hiki kifo
Yes, there's something wrong about this tragedy. But our people are there just trying digging deeper and deeper about this issue. Soon we'll be back and giving you the feedback.
 
  • Thanks
Reactions: K11
View attachment 2840201
Director maarufu wa video mbalimbali ikiwemo za Wasanii wa Bongofleva ambaye pia ni Mtoto wa kwanza wa Muhubiri maarufu wa Arusha wa Kanisa la Ngurumo ya Upako Dr. GeorDavie, Nic Davie maarufu Nisher amefariki saa nane na dakika tisa usiku wa kuamkia leo December 12,2023.

Familia ya Dr. GeorDavie imethibitisha kutokea kwa msiba huo wa Kijana wao Nisher na kusema msiba unafanyika katika nyumba ya matamko Kisongo Jijini Arusha na kwamba taarifa zaidi zitatolewa baadaye.
---

Aliyekuwa Mwanamuziki, Mwandaaji na Mwongoza Video za Muziki #Tanzania, Nic Davie maarufu #DirectorNisher amefariki Dunia Usiku wa kuamkia Desemba 12, 2023 huku Familia ikiwa haijaweka wazi chanzo cha kifo chake

Nisher ambaye ni Mtoto wa Mhubiri Geor Davie amewahi kuongoza Video za Wasanii mbalimbali, baadhi ni Weusi, BenPol, (Unanichora & Jikubali), Fid Q (Bongo HipHop), Baraka da Prince (Jichunge) na Young Killer ft. Fid Q (13) na kupata Tuzo ya Chaguo la Watu (Peoples Choice Awards) kama Director Bora wa Mwaka 2014

Wakati ufike tujue kilichomuua.
Maana haijasemwa.
 
Jamaa alijiua baada ya kuwa kwenye msongo wa mawazo wa muda mrefu bila kupata msaada sahihi wa kitabibu.
Ni sehemu ya matokeo ya malezi mabovu ya watoto na vijana wa kisasa.
 
  • Thanks
Reactions: K11
Jamaa alijiua baada ya kuwa kwenye msongo wa mawazo wa muda mrefu bila kupata msaada sahihi wa kitabibu.
Ni sehemu ya matokeo ya malezi mabovu ya watoto na vijana wa kisasa.


Depression yake ilisababishwa na nini while everything was there.?

Au ni vile hakupewa good support from his family mama and father.


Money ✅
Career✅
Fame ✅

It is pain Kama aliamua kujitoa uhai kisa hayo mambo hapo juu.
 
Back
Top Bottom