Hahahah kwani vina muda basi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Penzi linamea popote mama. Ila mkiachana sasa ndio unaanza kuwaza hivi pale nilifata nini?
Mganga ana kitu😀 atafika mbaliMganga huwa hajibu, unamkumbuka Yule mmanga aliyeachwa kabla ya Diva? Alipaparika hadi Kwa Mange, mganga kimya🤣🤣🤣🤣
Mganga atakuwa na vitu adimu huyu tatizo hana hela🤣🤣🤣 mbona akiwaacha wanapagawaga🤣🤣🤣
cocastic mganga aundiwe tume huyu, ana nini?🤣🤣🤣
[emoji23][emoji23][emoji23] hatariii!!Hahahaha huo ni uongoooo, huyo mganga anaonekana kabisa sio mpigaji, shangazi akazane kunywa dawa za chango mambo yatatimia kwa uwezo wa aliye juu.
Shangazi Wema nae alidai alifokewa na kibonge wake mimba ikatoka [emoji38][emoji119]
Ifikie mahali mkubaliane kuwa sisi ma ngosha ndio tupo. Sasa we tafta mlamba lips ukamlee🤣🤣🤣Yule ana nyota ya bundi anapenda wanaume wenye pesa, afu hawapati!!!
Si uliona kwa King Kiba kapelekewa moto no 100 ya kununulia ubuyu walau amumunye [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mapenzi hayaingiliwi [emoji124][emoji124][emoji124]
Mwenzangu haya mapenzi yana mambo na ndio mana huwa tunaambiwa wapenzi hata wakigombana tusiingilie mana wao ndio wanajuana vizuri.Sema ndio hivyo kuna kitu kilichomdatisha labda [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe unaelewa hilo eeh, majuto ni mjukuu siku zote 🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Penzi linamea popote mama. Ila mkiachana sasa ndio unaanza kuwaza hivi pale nilifata nini?
Ila wana nyumba nzuri sana. Maisha matamu🤣🤣🤣tujikumbushe
Na kiba? Khaa!! kwan mie nilikua wapi huu umbea siujui. Namjuaga yule bwana ake Heri Music sijui. Kumbe hadi Kiba kapitamo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Yule ana nyota ya bundi anapenda wanaume wenye pesa, afu hawapati!!!
Si uliona kwa King Kiba kapelekewa moto no 100 ya kununulia ubuyu walau amumunye [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
As usual [emoji1][emoji1][emoji1] wasanii wabongo!!!Hajachelewa bado atafute mdogo ake mmoja ajimilikishe azae kabla mayai hayajaviza [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ifikie mahali mkubaliane kuwa sisi ma ngosha ndio tupo. Sasa we tafta mlamba lips ukamlee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kumbe unaelewa hilo eeh, majuto ni mjukuu siku zote [emoji1787]
Mwenzangu haya mapenzi yana mambo na ndio mana huwa tunaambiwa wapenzi hata wakigombana tusiingilie mana wao ndio wanajuana vizuri.
Na kiba? Khaa!! kwan mie nilikua wapi huu umbea siujui. Namjuaga yule bwana ake Heri Music sijui. Kumbe hadi Kiba kapitamo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Hakika mama.Usiwaie yamini watu wanaolala pamoja uchi
As usual [emoji1][emoji1][emoji1] wasanii wabongo!!!
Waolewe na watoto wawaendeshe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] khaa! Kumbe Kiba ni mtu mbadi ahahaaWewe uko wapi?! Mbona kitambo hiyo [emoji1787][emoji1787]