Diva 'divatheebawse' amekimbia kwa mume wake usiku huu na ameamua kuwaaga fans wake. Wakubwa wenzangu huyu tumshauri au tumwache?

Diva 'divatheebawse' amekimbia kwa mume wake usiku huu na ameamua kuwaaga fans wake. Wakubwa wenzangu huyu tumshauri au tumwache?

Mganga huwa hajibu, unamkumbuka Yule mmanga aliyeachwa kabla ya Diva? Alipaparika hadi Kwa Mange, mganga kimya🤣🤣🤣🤣
Mganga atakuwa na vitu adimu huyu tatizo hana hela🤣🤣🤣 mbona akiwaacha wanapagawaga🤣🤣🤣
cocastic mganga aundiwe tume huyu, ana nini?🤣🤣🤣
Mganga ana kitu😀 atafika mbali
 
Hahahaha huo ni uongoooo, huyo mganga anaonekana kabisa sio mpigaji, shangazi akazane kunywa dawa za chango mambo yatatimia kwa uwezo wa aliye juu.

Shangazi Wema nae alidai alifokewa na kibonge wake mimba ikatoka [emoji38][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23] hatariii!!
 
Yule ana nyota ya bundi anapenda wanaume wenye pesa, afu hawapati!!!

Si uliona kwa King Kiba kapelekewa moto no 100 ya kununulia ubuyu walau amumunye [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ifikie mahali mkubaliane kuwa sisi ma ngosha ndio tupo. Sasa we tafta mlamba lips ukamlee🤣🤣🤣
 
Sema ndio hivyo kuna kitu kilichomdatisha labda [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwenzangu haya mapenzi yana mambo na ndio mana huwa tunaambiwa wapenzi hata wakigombana tusiingilie mana wao ndio wanajuana vizuri.
 
Yule ana nyota ya bundi anapenda wanaume wenye pesa, afu hawapati!!!

Si uliona kwa King Kiba kapelekewa moto no 100 ya kununulia ubuyu walau amumunye [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na kiba? Khaa!! kwan mie nilikua wapi huu umbea siujui. Namjuaga yule bwana ake Heri Music sijui. Kumbe hadi Kiba kapitamo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Hajachelewa bado atafute mdogo ake mmoja ajimilikishe azae kabla mayai hayajaviza [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
As usual [emoji1][emoji1][emoji1] wasanii wabongo!!!
Waolewe na watoto wawaendeshe
 
Ifikie mahali mkubaliane kuwa sisi ma ngosha ndio tupo. Sasa we tafta mlamba lips ukamlee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ko nyie ndio mnazo pesa?!!
 
Akubali tu kuwa kayumba wanaume hawachaguliwi kama midoli madukani🤣! Unakataa a real man unachagua mlamba lips. Diva tatizo linaanziaga kichwani

Mwanaume sio sura wala siksipaki
Mwanaume ni kutafuta mali na pesa
 
Back
Top Bottom