Diva na Niffer waandika ujumbe wa kuomba radhi baada ya kukamatwa kwa kuchangisha michango maafa ya Kariakoo

Diva na Niffer waandika ujumbe wa kuomba radhi baada ya kukamatwa kwa kuchangisha michango maafa ya Kariakoo

Mtangazaji wa Wasafi Fm, Diva Malinzi na Mfanyabiashara Jenifer Jovin maarufu Niffer wameandika barua za kuomba radhi (Kusamehewa) baada ya kupatikana na tuhuma za kuchangisha michango kwa ajili ya Wahanga wa janga la Kariakoo bila kufuata utaratibu.
Pia, Soma:

• Polisi: Tunawashikilia Niffer na Diva kwa mahojiano na hatua nyingine za Kisheria
• Polisi wamsafirisha Niffer hadi Dar kutokea Dodoma baada ya kujisalimisha kufuatia agizo la Waziri Mkuu la kukamatwa
• Jeshi la Polisi tayari limempata Niffer kwa kuchangisha michango ya wahanga wa Kariakoo

Baada ya kutenda makosa hayo Diva Malinzi (36) na Jenifer Jovin (25) walikamatwa na jeshi la Polisi kwa ajili ya mahojiano na wameendelea kubaki mahabusu wakisubiria kupatiwa dhamana.
Hivyo kutokana na kutambua makosa yao wote wawili kwa pamoja, wameandika jumbe za kuomba radhi na kuomba kusamehewa kwasababu walifanya hayo kwa kutokufahamu utaratibu, huku wakiahidi kutorudia tena na Kuwa Mabalozi wazuri kwenye Jamii.
Huyo wa juu the way anaandika, napata mashaka kwamba hata chuo kikuu hajafika ...
 
Mmiliki wa jengo ndio hafatiliwi tena, kisa RC kamtumia Niffer kusukuma siku waweje sijui.

Sasa Niffer anaenda kuchangia za pole, sijui watakataza followers wake?

Wauaji wa maafa wapo huru serikalini inaonea wa nia, njema.
 
Huyo niffer aendelee kushikiliwa hata barua ameandika kwa dharau pia na haijanyooka waziri mkuu shikilia hapohapo adabu imwingie alijua anaweza kutupeleka peleka kama anavyompelekesha mama yake..

Acha wivu
Aje tumchangie ya poleeeee

Nyota anayo binti Niffer

Watesi mmemuweka ajulikane zaidiiiiiiii
 
Wakiachiwa hawa bila case itakua ni dharau kwa watanzania wote wenye case mahakamani , police, state Attorneys wa NPS, na mahakimu, sheria ifate mkondo wake kama sio ivyo watuhumiwa wote wawe wana andika barua
 
we sema kuna wazee wakisikia njaa wanaenda kunywa chai ikulu,

namkumbuka maj general marwa aliwahi kwenda ikulu wakati wa mwinyi kufika akamwambia amekuja kuomba kazi ya kufyeka nyasi ikulu amechoka kukaa bila kazi, mwinyi akamteua kuwa balozi nigeria.

nyerere aliwahi kwenda zambia rais akastukia yuko ofisini kwake akamwambia nimekuja kumchukua rafiki yangu kaunda, kwa kitete akaagiza apelekwe gerezani kumwona kaunda akamkuta amedhoofu sana kwani aligoma kula. akamwamuru ale na apewe maji ya kunywa alivyoshiba akamwambia twende, wakaondoka nae hadi ikulu kufika akamwambia rais naondoka nae, ndio kaunda aka opt kwenda kwa mwanae canada. mjini kuna wazee wana nguvu. usiombe. ukiona tumbili mjini anamwenyewe.
Mkuu kijiwe chenu cha kahawa kipo maeneo gani?
 
Back
Top Bottom