Diva: Siwezi kudate na mwanaume yeyote wa Bongo Movie kwa sababu hawajui kiingereza



Et mzuri kuliko watangazaji wote? Phewww

Kingereza chenyewe anachoongea kibovu kama cha kwangu, angekuwa ata anakingereza kama cha Vannesa mdee kidogo ningemwelewa

Ila kwenye mahari yote Hiyo atakaa
Sana mpk kuiona ndoa
Aliwahi kuwa hata miss kitongoji?
 
Steve Nyerere ujanja wote lugha ya malkia hajui
 
Akamtoe baba yake mahabusu wamekula hela za TFF kununulia vipodozi
 
ila haya mawazo ya Diva ndiyo yana reflect mawazo ya wadada wengi wa Kitanzania. hapa muweke Diva, kule muweke Joyce Kiria, usimsahau Maimartha Jesse, halafu mjumlishe Wastara, pia mfikirie Wema, subiri kidogo, unamfahamu Aunty Ezekieli? Hawa ni role models wa wadada wengi wanaochipukia Tanzania.
 
Akipunguza mashart hadi mwanaume anaejua lugha ya kichaga nishtue
 
Analazimishaje watu waijue lugha ambyo c lugha yao ya taifa,wapo wengi wenye akili na hawaijui hyo lugha yy anapta wanaoijua hyo lugha na hawana akil karb anazeeka vigezo vingi mbwembwe tu
 
Mlangira huyo dada yko kaisiki anajisikia utafikiria anaphd ya utangazaji kumbe kabebwa tu na ruge,angechelewa kufika mjini ungekuta sasa ni stage show wa saida karoli
 
Huyu si alikua ana date na Prezoo yule wa Uganda, hivi yule si anajua kidhungu na ana mifweza na miakili mingi, walishindwana wapi!!!!? Au jamaa alimkimbiaga dampoooo!!!
 
Huyu demu atakua na bwawa lazima mie sio bongo movie pia ni mtazamo tu
 
Hakuna uhusiano wa kuwa na akili nying na ku jua lugha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…