Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
One mwisho 2006,huku kwingine wanazipata hovyo tu,1990s upate one ya saba darasa zima..maavii!.. siku hizi marks kali, kichwani hamna kituOne iliheshimika mwisho mwaka 2012.
Ukipata hata div two wewe ni mwamba, baada ya hapo tulianza kushuhudia maigizo kibao, mara div five, sijui distinction na ngonjera kibao.
Ndiyo mchezo waoPia wananunua mapema.mkuu 1-7 class lote 😊.
grade inflation ni tatizo piaPia wananunua mapema.mkuu 1-7 class lote 😊.
Me nazan hivyo hata kama mnakili wote mnaufaulu sawa?Ndiyo mchezo wao
Oh kumbe grade zimekuea adjust hapo kuna possibility. C inanzia ngap ?grade inflation ni tatizo pia
A ilikuwa 81, saivi 75
Wanawachuja sana kwenye selection ndiyo sababuHii imekuwa too much sasa, hawa mabinti wa saint francis wanaifedhehesha Necta 😂
Division 1 ya saba kwao imekuwa kama kumpa samaka mtihani wa kuogelea, kila mwanafunzi anaibonda !!
Shule imesha master mbinu ya kuwafanya wanafunzi wote wapate division 1 ya saba.
Nashauri kuongezwe division za ziada kama 1 ya 5 na 1 ya sita maalum kwa hizi shule
View attachment 3192124
nimesahauOh kumbe grade zimekuea adjust hapo kuna possibility. C inanzia ngap ?
Na sikuhizi kulivo na akili mnemba we ngoja ,Haijaisha mpaka imeishaNawaonea huruma hawa watoto. Je wakimaliza shule, watapata ajira?
Tufanye mwisho iwe 2009One mwisho 2006,huku kwingine wanazipata hovyo tu,1990s upate one ya saba darasa zima..maavii!.. siku hizi marks kali, kichwani hamna kitu
Sio hata watanzania ,haya ndo maisha ya mwanadamu hata ww ukifanikiwa wapo watakao kupongeza na wapo watakao kuponda ile mbayaWatanzania bhn wanafunzi wakifeli wengi huo mwaka wanaitwa mwaka wa vilaza wakifaulu sana huo mwaka unaitwa ufaulu wa mchongo.Sisi ni watu tunaopenda kusikia habari mbaya za watu
SHule imeshaweka jina ls kudumuLipia tangazo
Form two ni rahisi sana, hawa vijana wote waliopata kuanzia 3 wajitafakari. Hata hao wa 2 wajiulizeNdio ananipa mashaka sio siri wala sio kichwa! Hapo ndio nmegundua wanasemaga hizi shule wanafaulisha kimchongo
Mkuu,ulikula 4?Hongera sana kwao, nilipokuwa shule nitamani sana kuyapata haya matokeo nikaishia kwenye 4. So kwangu kivyovyote lazima niwapongeze madogo, hongera sana kwao na kwa shule kuhakikisha wanafaulu vizuri.
Shule kama kigogo secondary kuna mitoto imekula mazeroForm two ni rahisi sana, hawa vijana wote waliopata kuanzia 3 wajitafakari. Hata hao wa 2 wajiulize