HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Magazeti na TV, ndo maana hata online TV zinatafuta umbea na kuongea mambo ya ngono ili wapate views... mitandao imeua kabisa kitu kinachoitwa magazeti!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magazeti na TV, ndo maana hata online TV zinatafuta umbea na kuongea mambo ya ngono ili wapate views... mitandao imeua kabisa kitu kinachoitwa magazeti!
Sababu wangeuachia yaliyotokea yasingetokea.Haujachangiwa kabisa. Nashawishika kuamini uzi uliandikwa lakini haukuruhusiwa mpaka imetokea baadhi ya yalioandikwa.
Sent from my SO-01J using JamiiForums mobile app
Sasa wale wa hadi 2030 itakuwaje?Rais Samia anaweza asigombee 2025 Ila akafanikisha Katiba mpya maana Kuna kauli ya nilimsikia anaongea kwamba anataka anapomaliza Miaka Yake 5 awe amewatendea Jambo Watzn..
Kuna kitu ameona hakiko Sawa , anaona anachoweza wasaidia wananchi ni Katiba , athuman, lukuvi , na kabudi wanafanya nin IkuluSasa wale wa hadi 2030 itakuwaje?
Labda anataka atunze heshima yake
Sauti ya mtu aliaye nyikani......!Oya wadau hii kitu ilipostiwa December 2 mwaka 2022 halafu yametimia.. huyu aliyepost yeye ni nani?
Halafu hii post ndio naiona leo asee
HawaweziMkuu ukigundulika wanakuchinja..
JF wana bana habari?Huu uzi inaonekana Jf waliuzuia kwanza ndo mana umeonekana baada ya kuwa kweli
Lukuvi yuko Mbezi Beach....Kuna kitu ameona hakiko Sawa , anaona anachoweza wasaidia wananchi ni Katiba , athuman, lukuvi , na kabudi wanafanya nin Ikulu
Kuna kipindi cha Siri kuvuja kama kile cha jiwe? Kigogo na Mange walipataje umaarufu.?Yanarudi yale yale...!!
Nyaraka za siri za nyumba kuu kusambazwa kwenye vyombo vya habari kama enzi za J Mkwere.
Nalo haiwezekani,CCM sio wajinga kwamba wataweka wagombea ambao hawakubaliki au? Wataenda na upepo huo huo.Ujue swala sio kushinda Urais, ukishinda Urais afu una wabunge wa CCM wengi haina maana.
Lengo kuu ambalo napenda litokee ni wabunge wa Chadema kuwa wengi angalau kuanzia 150 ili Serikali iwahitaji wote katika kufanya maamuzi
Ni sahihi ilikuwa mwishoni ila ratiba za kukutana na kutangaza hilo ndio zikawa zimeingiliana hadi kavuta siku 3 mbeleLakini sio mwishoni wa 2022
Uzi haukuchangiwa hata kidogo, umefukuliwa baada ya tukio kutimiaHalafu uzi ulichangiwa kidogo kumbe ndio umejaa facts
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Wewe kuwa hai umesaidia nin kati ya hivyo?Naomba mikutano ya Siasa isaidie unga kushuka bei,mafuta kushuka bei,mchele na bidhaa zingine pia isaidie miradi kukamilika na kuanzisha mingine
Bora asigombee kabisa aisee!Rais Samia anaweza asigombee 2025 Ila akafanikisha Katiba mpya maana Kuna kauli ya nilimsikia anaongea kwamba anataka anapomaliza Miaka Yake 5 awe amewatendea Jambo Watzn..
Umewahi kuwaza huyo mleta uzi ni nani?!
Umeona mbali!Kuna kitu ameona hakiko Sawa , anaona anachoweza wasaidia wananchi ni Katiba , athuman, lukuvi , na kabudi wanafanya nin Ikulu