Tetesi: Diwani Athumani au Wambura Camilius mmoja anaweza kuwa IGP, Selemani Mombo kwenda TISS?

Status
Not open for further replies.
Mpuuzi wewe kwahiyo watanzania wenye uwezo ni waislamu pekee? mhate dingi ako na siyo mimi
Uislamu comes second..first ni huyo anayepewa nafasi, ana uwezo gani? Tusidanganyane hapa na hadithi zenu za kufikirika za kubalance dini na makabila serikalini. Ndio mambo yanayolea uvivu, wizi na majungu yasiyoisha.

Ikibidi tuwe tunaajiri hata foreigner with competence. Sisi wenye nchi yetu tuendelee kupiga soga JF.

Botswana iliendelea sababu kama hizi za kuamua kuleta wenye uwezo wa kufanya kazi na kuachana na nyie kina nshomile na hatuoni mnachofanya
 
Mkuu haya ni mapendekezo. Na wewe mtaje Dada yako. Hasira za nini? Huu mchezo hautaki hasira[emoji1787]
Mimi sipendekezi dada bali napendekeza mtu sahihi naye ni Mkuu wa Takukuru wa sasa HAMDUNI
 
Waislamu wanafanya nini sasa kwa akili zako?
 
Diwani kwa nini asiachwe akamalizima muda wake hapo? Wambura akiwa IGP baada ya IGP Sirro kumaliza muda wake litakuwa jambo zuri binafsi na mkubali huyu mtu ni mtendaji mzuri anaye ongozwa na hekima.
Haiwezekani Wambura kuwa IGP wanatoka sehemu moja na Sirro.labda kwa baadae.
 
Akiteukiwa Kaganda wataanza kusema Watoto wa Wakubwa tu ndo wanateuliwa maana Mama yake alikuwa Jaji wa Mahakama ya Rufaa na Mwnykt wa Tume ya Maadili
Kale kichwani hakuna kitu.

Ujue vitoto vya wakubwa vingi ni programmed,hakana upeo wa kuchakata mambo magumu.
 
Sio roho mbaya tu na ni mshamba na limbukeni, kwa jinsi alivyo na majungu ni vyema akapelekwa kwa polisi wenzake.

Idara ilishamshinda muda sana, huwa najiuliza hadi sasa anafanya nini pale maana hajafanya mageuzi yoyote zaidi ya kuwa mbinafsi.
Diwani hafai kwa lolote
 
List isiyo na Kingai haifai hii
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…