Tetesi: Diwani Athumani au Wambura Camilius mmoja anaweza kuwa IGP, Selemani Mombo kwenda TISS?

Status
Not open for further replies.
Uongozi ni kipawa na sio ukali pekee.
Ku sehemu ya kukemea
Kuna sehemu ya kusifia
Kuna sehemu ya kutia moyo.
Kiongozi lazima uwena sifa zote.
Mpole
Mkali kiasi
Mfariji
Mtia moyo nk
Hamduni ana kipawa hicho hana papara
kama yuko hivyo ni sawa. maana polisi kwa sasa mhh.....
 
Diwani kwa nini asiachwe akamalizima muda wake hapo? Wambura akiwa IGP baada ya IGP Sirro kumaliza muda wake litakuwa jambo zuri binafsi na mkubali huyu mtu ni mtendaji mzuri anaye ongozwa na hekima.
Kwa umri wake na nafasi aliyofikia huwezi kumuweka pembeni.
 
Mahiga alishawahi kuwa mkuu wa TISS?

Hii nafasi ni Hamduni ndo anachukua. Siku hizi kuna kautaratibu flani usio rasm boss wa Tiss lazima apitie kwanza kuwa Boss wa Takukuru.
 
kama yuko hivyo ni sawa. maana polisi kwa sasa mhh.....
Huyu jamaa amepitishwa sana akiwa afisa wa ngazi ya kati.
Kuna kipindi ndani ya miaka 1.5 alihamishwa mikoa zaidi 4.
Hii ni kutokana na misimamo yake.
Amejichanganua kuwa haabudu mtu.
Hataki rushwa
Na haogopi mtu...kumbuka sakata la Sabaya kusingizia wafanyabiashara wa Moshi kuhujumu reli...huyu alisimama waziwazi kumpinga mtoto mteule tena hadharani kuwa hiyo ni siasa hakuna kitu kama hicho.

Sabaya akamjungia/majungu akapelekwa Arusha.

Amewahi kumwekea mkuu wao misimamo mara kadhaa...kwa faida yako nikumegee..kila RPC hupeleka fungu kwa mkulu lkn huyu jamaa aligomea hilo
 
Mahiga alishawahi kuwa mkuu wa TISS?

Hii nafasi ni Hamduni ndo anachukua. Siku hizi kuna kautaratibu flani boss wa Tiss lazima apitie kwanza kuwa Boss wa Takukuru.

Wanasema alikaimu. Na Mwl Nyerere eti alimuondoa nchini kama njia ya kulinda uhai wake. Hii inakupa picha kuwa Hata Mwl Nyerere akiwa Amiri geshi Mkuu palikuwepo na Magazijuto yana mshinda. Ndio maana na wangalia hawa wa sasa nabakia kusikitika. There is nothigh like compeletly power hapa duniani, ni kujidanganya ulevyi wa madaraka na mali. Hiyo kitu ni Mungu tu anayo.
 
Mimi naona hamna ubaya kwasababu hawa ndugu zetu kusema kweli wana utu. Unaona hamna uonevu sasa hivi. Ni msuguano tu wa hoja jamvini kulichangamsha jamvi kupata mawazo mbadala.

Cc Otterhound The Icebreaker Dalmine Mlolongo Kikwajuni One
Kitu kingine.
Tofauti ya mwislam na mkristo.
1. Mwislama .. dhambi ya kuu kuuza dawa za kulevya.

2. Mkristo ...dhambi kuuu Ufisadi na uzinzi

Hahaha
 
membe alikauaga nani hapo usalama?? niongezee maarifa
 
Mimi naona hamna ubaya kwasababu hawa ndugu zetu kusema kweli wana utu. Unaona hamna uonevu sasa hivi. Ni msuguano tu wa hoja jamvini kulichangamsha jamvi kupata mawazo mbadala.

Cc Otterhound The Icebreaker Dalmine Mlolongo Kikwajuni One
Qn: Mal Islam?

Ans: Al-islam huadin ulladhy baa Sallahu-bihi. Sayyidina Muhammad Salallahu Waleyh Wasalam.

Tafsiri:
Swali: Uislamu ni nini?

Jibu: Uislamu ni dini ambayo, Mwenyezi Mungu alimteremshia mtume wetu Muhammad Salallahu Waleyh Wasalam, kwa ajili yetu wanadam.
 
Athumani dini itambeba, pili angalau yeye anaweza rejesha heshima ya jeshi. Ni type ya kina Mangu na Mwema
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…