Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,266
- 8,085
kama yuko hivyo ni sawa. maana polisi kwa sasa mhh.....Uongozi ni kipawa na sio ukali pekee.
Ku sehemu ya kukemea
Kuna sehemu ya kusifia
Kuna sehemu ya kutia moyo.
Kiongozi lazima uwena sifa zote.
Mpole
Mkali kiasi
Mfariji
Mtia moyo nk
Hamduni ana kipawa hicho hana papara