Tetesi: Diwani Athumani au Wambura Camilius mmoja anaweza kuwa IGP, Selemani Mombo kwenda TISS?

Tetesi: Diwani Athumani au Wambura Camilius mmoja anaweza kuwa IGP, Selemani Mombo kwenda TISS?

Status
Not open for further replies.
Huwezi kutambua kila jambo,

Huna tofauti na mtoto anayeamini taasisi zote zina uozo isipokuwa jeshi tu,unasimama mbele za watu unaandika huu upuuzi.
Endelea kuona ni upuuzi kwa akili yako finyu Ila elewa hivyo usikalili
 
Diwani hapana kabisa aiseee.. Mama Samia atajutia akimweka IGP, in few months atamtoa, better amweke Suzan. Yule mama Suzan mchapa kazi sana, and very very panctual, atamaliza rushwa jeshi la polisi na majambazi yataisha. Huenda Afande Suzan akaweka historia kuwa IGP bora Tz.
Wewe rushwa kwenye jeshi la polis haiondolewi na mtu, mfumo wa nchi ni kama umeruhusu. Askari ukimbana ategemee mshahara wa laki 3 au 4 ategeuka jambazi
 
Usichanganye MI na TISS kuwa MI haikupi nafasi uwe mkurugenzi wa TISS. Huwezi kuwa mkurugenzi wa TISS bila kuwa TISS.
Hapo huwezi ona mtu kutoka MI anakuwa DG wa TISS. Ingawa naamini kabisa kama atatoka JWTZ basi ni kati ya MAJENERALI WA JUU PALE KUANZIA MEJA JENERALI na ambaye hata hakuwa kitengo cha MI.
Tatizo lipo katika uwasilishaji wa taarifa za kijasusi au wenyewe waita "Dissemination" ambapo hapo wahitaji mtu sahihi mwenye upeo (intelligence) na uwezo wa kuchambua (analytical abilities).

Nina imani kuwa watu hawa wapo na wateuliwe bila mihemko ya kisiasa.
 
Tatizo lipo katika uwasilishaji wa taarifa za kijasusi au wenyewe waita "Dissemination" ambapo hapo wahitaji mtu sahihi mwenye upeo (intelligence) na uwezo wa kuchambua (analytical abilities).

Nina imani kuwa watu hawa wapo na wateuliwe bila mihemko ya kisiasa.
Siasa ina nguvu sana, katika nchi yetu. chochote kinawezekana
 
Kama ni uadilifu yupo Kamishna Wa Polisi anaitwa Wakuliamba. Ni mchaMungu na muadilifu.

lakini pia yupo Ahmedi MSANGI .Yule ni kiboko ya Wahalifu. Nchi Kwa Sasa uhalifu umekua mkubwa sana.
Lakini kama ni kushughulikia mitandao ya kihalifu inayohusisha baadhi ya askari Polisi basi Suzana Kaganda anafaa.

Kama tunataka Jeshi linalofanya kazi Kwa mujibu wa kanuni na Sheria basi Hamduni yule wa Takukuru anafaa sana.

Diwani ATHUMANI Hana Kashfa za Rushwa na ni mtu makini sana japo Siasa za Bashiru Ally na Polepole walisababisha ashindwe kufanya kazi yake vizuri.
Lakini ni mtu makini.
Lakini pia amekua nje ya mtandao wa kipolisi Kwa kipindi alichokua TISS.

Tatizo Kubwa lipo kwenye mitandao ya kimaslahi ndani ya Jeshi la Polisi na mashindano ya kujipendekeza Kwa wateuzi wao kwenye maeneo yenye maslahi na rushwa.
Tume ya maadili Haina nguvu kabisa kudhibiti wale wanaokiuka maadili Kwa wazi.
Mtu anakua RPC Kwa Mwaka mmoja kwenye mkoa A anajenga nyumba tatu Kwa mpigo zenye thamani ya zaidi ya Milioni mia Saba. Hahojiwi ,haulizwi , hatiliwi mashaka alimradi TU anaonekana kushabikia Chama Tawala na kudhibiti upinzani basi anakua mtu safi. Tume ya maadili imebaki kuangalia wale wanaofukuza Polisi wa chini wenye maslahi duni Kwa sababu ya pesa za kiwi wanazopewa lakini rushwa kubwa ,pesa za ujenzi wa nyumba zao ,usafiri ,pesa za kuwalipia wanaowahamisha, pesa za Kununua vifaa na vitendea kazi zinapigwa hakuna wa kudhibiti Wala mkubwa anayefukuzwa. Hapo ni kazi sana kujenga uadilifu ndani ya chombo kikubwa chenya nguvu na mtandao mkubwa unaoumgana mara nyingine na Wahalifu au wanasiasa wanakua ni marafiki na ndugu.

Ni Bora zaidi kuvunja mitandao inayotoka a na kujuana Kwa kufanya kazi pamoja na wakati Mwingine kuiba na kula rushwa pamoja na pia kujua Mikoa yenye rushwa kubwa zaidi na yenye Wafanyabiashara wakwepa Kodi,wauza madawa na magendo. Wahalifu wakubwa mara nyingi wanakua ni sehemu ya kuwapa fursa wakubwa ndani ya vyombo vya Dola na hata kuwaweka kwenye mazingira mazuri ya kujipatia nafasi hasa Kwa kuhonga au kutangazwa kwenye vyombo vya habari na kuonekana kuwa ni watendaji Bora.

Ili kuvunja mitandao ya kimazoea ni vyema zaidi IGP akateuliwa Toka JWTZ pamoja na Makamishna wa tatu au wanne bila kukosa upande wa fedha na kamisheni za kimataifa zisimamiwe na kamishina kutoka JWTZ.

Vinginevyo Jeshi la Polisi liondolewe kwenye Force libaki kama service ili waondokane na mabavu ambayo wengi wanatumia kama fursa ya kujipatia maslahi Kwa vitisho na kuwafanya wananchi wema kubaki wakiwa na malalamiko yasiyokwisha huku huku raia wema wakiwaogopa Polisi na kushindwa kutoa Taarifa za kihalifu.
Wewe unataka kuwaletea Kashifa tu wanajeshi wetu. Kuna taasisi zinatakiwa kufanyiwa mabadiliko ya kimfumo na sio Mtu. Usipobadili mfumo basi ujue hata apelekwe nani bado kutaleta shida tu. Angalia hata yule Jwtz aliyepelekwa TAKUKURU na kutenguliwa , Tatizo sio yeye bali ni Mfumo uliopo na muingiliano na mambo ya siasa. The guy himself is very Smart. Angalia kule MSD mkuu wa pale ni Jwtz lakini jamaa anapigwa majungu kupita kiasi sababu tu ya Smartness yake inanyima watu ulaji. Na siajabu ataondolewa.

Kwahiyo kumpeleka Jwtz Polisi au TISS nikutaka kumpa stress tu.
 
Wewe unataka kuwaletea Kashifa tu wanajeshi wetu. Kuna taasisi zinatakiwa kufanyiwa mabadiliko ya kimfumo na sio Mtu. Usipobadili mfumo basi ujue hata apelekwe nani bado kutaleta shida tu. Angalia hata yule Jwtz aliyepelekwa TAKUKURU na kutenguliwa , Tatizo sio yeye bali ni Mfumo uliopo na muingiliano na mambo ya siasa. The guy himself is very Smart. Angalia kule MSD mkuu wa pale ni Jwtz lakini jamaa anapigwa majungu kupita kiasi sababu tu ya Smartness yake inanyima watu ulaji. Na siajabu ataondolewa.

Kwahiyo kumpeleka Jwtz Polisi au TISS nikutaka kumpa stress tu.
Na hizo sehemu hata uwe "smart" kiasi gani, huitaji "extra measures" ili kuziweka kwenye mstari.

Kama jamaa ataka kuboresha delivery system ya dawa pale MSD hiyo ni issue kwa wapigaji kwani dawa yapita juu kwa juu bila middlemen.

Kisha kuna checks and balances nazo hukufanya uonekane kauzibe.

Ila nchi yetu ina watu smart sana tatizo ni huo upigaji uswahili mwingi na siasa.
 
Wewe unataka kuwaletea Kashifa tu wanajeshi wetu. Kuna taasisi zinatakiwa kufanyiwa mabadiliko ya kimfumo na sio Mtu. Usipobadili mfumo basi ujue hata apelekwe nani bado kutaleta shida tu. Angalia hata yule Jwtz aliyepelekwa TAKUKURU na kutenguliwa , Tatizo sio yeye bali ni Mfumo uliopo na muingiliano na mambo ya siasa. The guy himself is very Smart. Angalia kule MSD mkuu wa pale ni Jwtz lakini jamaa anapigwa majungu kupita kiasi sababu tu ya Smartness yake inanyima watu ulaji. Na siajabu ataondolewa.

Kwahiyo kumpeleka Jwtz Polisi au TISS nikutaka kumpa stress tu.

U smartness wa DG wa MSD unaupima kwa kutumia nini ? Wanajeshi wengi wanaamini katika utii, Unless ueelezee maaana ya smart kwako ni nini ? Kama ni kashfa ya rushwa na yeye yumo, kama ni kashfa ya nepotism na yeye yupo kwa Taarifa za Msd . Ndio maana nimeuliza smartness yake unaipima vipi.

Au ni taasisi gani imeongozwa na mjeshi then ikafanya kitu ambacho raia wa kawaida wameshindwa kabisa ? Kwanza ni kuiba kazi za raia . Mtu ni mjeshi then unamuweka kwenye taasisi maana yake anakuwa na kazi mbili , hiyo kazi ya pili ni nafasi ya raia ambae yupo mtaani hana kazi . Hakuna kitu mwanajeshi amefanya nchi hii cha maajabu tena wengi wamefail na kusingizia raia.
Naungana na mdau kuwa shida sio individual , shida ni rotten system kuanzia Rais Mwenyewe hadi watu wake wote ni uozo na wote wanatakiwa kufanyiwa overhaul akiwapo rais Mwenyewe. Leo karne ya 21 tunagawana umeme huku tunasisitiza viwanda viwanda na kuuza umme nje , bado na still mtu anaguts za kusimama na kujitetea Eti mifumo ya zamani ilikuwa ni outdated na haikufanyiwa maboresho.

Enz ya JPM hatukuwa na shida ya umeme kiasi hiki . Hii nchi inatakiwa kuanza upya. Tatizo ni rotten system ya watesi,
Mtu kama Diwani ni mtu muadilifu sana, na Sio hata muongeaji lakini yupo kwenye rotten system ya watesi, na kwa uadilifu wake walimzunguka na kuchafua hali ya hewa .

Kwasasa wanataka kumtoa ili kuweka ile team yao , so wanakuja hapa na Vigezo vya hafai , na kumchafua fua, hii ni agenda maalum na assimilation policy ya kusafisha masalia yote ya Ngosha.
Ndio maana hii nchi haisongi mbele , kila anaeingia anaweka establishment yake.
 
historia ya TZ haitakaa imsahau DIWANI kamwee kama ambavyo Mama hatakaa amsahau. DIWANI kiumbe mfupi mwenye roho ngumu kupita maelezo.

watu walikaa, wakasafiri, wakamaliza sherehe, wakarudi mwamba kavaa miwani.... haina kuongea kila mtu kanuna....

sio military intell wala intell yoyote ila paramill. intell yenyewe ya nchi tena wachache sanaaa walijua nini kinafuta

watu wakaishia kusema HAKUNA TATIZO TUCHAPE KAZI....

mwisho nchi inapumua.

nawasilisha
50/50
 
Naona mzee mombo anarudi idarani rasmi, km itakua hv dah.kweli jk yuko vzr,
mombo ndo maana karudi toka brazil

Idarani kipindi cha jk
boss OR
naibu JZ
opp SM
Suzy kaganda a female IGP ni vyema wanawake ni waaminifu sana. Kamish Jenerali Makakala amefungua njia kwenye majeshi tuwajaribu.
 
Ukiwa unaitwa Mohamed au Athuman hata kama huna sifa,utateuliwa ktk nafasi yoyote.Tunakoelekea siyo kuzuri.Baba wa taifa alikuwa hapendi kabisa mambo ya udini na ukabila.
Unashindwa kujenga hoja unakimbilia udini??? Aliyekuaambia kila athuman ni muislamu ni nani??? Hovyo! Karne ya 21 wewe unahubir udini???
 
IIna màana mama amefikia hatua ya kumes up na JWTZ!!!?wenye nchi KWELI!!!?mi Siamini wakuu!!!
Jamani tunajua IGP mpya soon will be on air ila Wawalipe askari kwanza posho zao ni miezi miwili sasa mam amewapiga mwingi!!

[emoji16][emoji16][emoji16] Poleni askari wetu!! Hasa JWTZ mungu awalinde
 
Kila sehemu tuna tatizo la mifumo, Nadhani tukubali sisi wenyewe watanzania ndio tatizo. Uelewa wetu,uwajibikaji, tunavyoandaliwa na elimu na jamii kwa ujumla.

Wengi wetu hatujui kuwajibika bila kuwaza kupata rushwa, kutenda haki bila shinikizo, kuwajali wenzetu hata kama tumewazidi elimu na vyeo. Angalia mishahara ya wafanyakazi viwandani tunaposifia kuna uwekezaji.

Ingependeza kama Mama pale Tiss atampandosha cheo mtu aliyekulia humohumo mimi naona hata Balozi Zoka anafaa sana. Na Mr. aAthumani akaenda hata Polisi kuwa IGP he is more competent kwenye upolisi zaidi than IS.
 
Kila sehemu tuna tatizo la mifumo, Nadhani tukubali sisi wenyewe watanzania ndio tatizo. Uelewa wetu,uwajibikaji, tunavyoandaliwa na elimu na jamii kwa ujumla.

Wengi wetu hatujui kuwajibika bila kuwaza kupata rushwa, kutenda haki bila shinikizo, kuwajali wenzetu hata kama tumewazidi elimu na vyeo. Angalia mishahara ya wafanyakazi viwandani tunaposifia kuna uwekezaji.

Ingependeza kama Mama pale Tiss atampandosha cheo mtu aliyekulia humohumo mimi naona hata Balozi Zoka anafaa sana. Na Mr. aAthumani akaenda hata Polisi kuwa IGP he is more competent kwenye upolisi zaidi than IS.
Naunga mkono hoja
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom