myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
SawasawaKama yule jasusi mbobezi alitepeta baada ya kutikiswa na wenye system mpaka akakonda 🤣🤣🤣 japo alianza na kiburi sana baada ya kunyofolewa chamani akabakia anapiga majungu tu ya chini chini 😀 itakuwa huyo Diwani Athmani. Hakuna mtu anayeweza kuuzidi mfumo uwezo. Hakuna na hatatokea.
Hakuna mbabe nje ya Cheo cha kitaifa. Unachekechwa vizuri tu na mdomo unaufyata tumbav!!!
Hili jambo ungemuhoji mtoa mada na sio mimi.Acheni mambo ya kitoto, amekataa ku-surrender siri na mawasiliano ya serikali? Acheni utoto nasema tena. Na msiandike mambo msiyojajua. We unaelewa maana ya serikali kweli? Tuwe srious ktk maana mambo mengine ni very sensitive sana hata kwa akili ya kawaida tu hata ungeambiwa jambo km hilo na babako usingekubali.
Katiba ndivyo inavyosema?
Diwani sio wa kwanza kuukataa uteuzi!
Hata Chegeni pia aliukataa uteuzi wa kuwa RC.
Tuambie basi jambo unalolijua bossKama jambo hujui Ni vema kutulia kimya.
Nadhani hii ya kuwatupa ubalozini ni very poor approach maana inaua ile dhana nzima ya kuwa na mabalozi competent, ndiyo maana hatupigi hatua kwa sababu balozi zinajaa wastaafu au waliotenguliwa..Kawaida wakurugenzi hawa wakishaondolewa katika nafasi zao, huwa wanapelekwa ubalozini huko Canada, Brazili ili kutoa nafasi kwa ajaye kufanya kazi kwa umakini. Imagine Diwani aanze kuripoti kwa huyu mpya, lazima kutakuwa na hali fulani hivi.
Halafu huwezi kujua ameichukuliaje issue ya kuondolewa halafu unamuweka jikoni kwako panapopikwa chakula
I said.
=====
Rais Samia ametengua uteuzi wa Kamishna Diwani Athumani Msuya kuwa katibu Mkuu Ikulu
Aidha, Rais Samia amemteua Bw. Mululi Majula Mahendeka kuwa Katibu Mkuu Ikulu.
View attachment 2469861
JPM alipoingia madarakani aliipangua safu yote ya mtangulizi wake hakukua na kelele wy huyu wa sasa alipanga safu yake kelele zinakua nyingi?Mkuu
Hivi aliemshauri Hii move ni Nani!?
Aliemwambia toa diwani weka pale ana MALENGO gani haswa KWA awamu HII!!?
Yaani Lengo lake ni kujenga au kubomoa!?
Na kama ni kujenga ni kujenga mtu au Taifa!?
Kuna mtu anamdanganya mwenye mamlaka Ili kuleta mogogoro Fulani KWA MASLAHI Binafsi!!
Au ndio system inamchezesha michezo fulani MWENYE mamlaka na yeye anashindwa kuielewa!!?
Kwanza walimuingiza chaka kwenye kutangaza nia ya kugombea 2025,sasa wanamchanganyia mafaili kwenye uteuzi yaani teua tengua!!
Kuna mtu anafunga magoli dakika ya 90 halafu haonekani!!
Hivi niguse ninuke Yuko WAPI!!?
Simuoni siku hizi mitandaoni!
Labda ungesema katibu mkuu kiongozi but kwa hiyo aliyopewa siyo..Hivi mkuu kutoka DGIS mpaka Chief of staff ni demotion kweli?[emoji848]
I think there must be something wrong au mama alipanga amshushe kiaina bila kelele.
Kivipi Wakati mpya tayari yupo?Kwahiyo akikataa demotion ndo anabaki na nafasi ile ile?
Si umawekwa benchi tuu [emoji23] [emoji23]Jamaa atakuwa kakataa. Hata mimi nisingekubali huo ujinga.
Yaani mtu mmoja aisumbue kichwa system [emoji23][emoji23] ninachokiona kwako Kuna vitu unatamani vitokee ila utasubiri sanaKiuhalisia kuna kundi liko TISS linalomuingiza chaka mteuzi.
Kwanza kiutaratibu,alipaswa kumstaafisha kisha ndio ampatie uteuzi.
Halafu kiuhalisia hawa maafisa wa ngazi hiyo,huwa wanaishia kupelekwa ubalozini.
Hii maana yake ni kuwa Disconnect na mfumo.
Na kwa wale ambao huwa wamestaafu kisheria,huwa bado wanakuwa karibu na kitengovkama washauri.
Hata wateuzi mara nyingi hiwatumia pale wanapotaka kufanya verification ya jambo fulani nyeti.
Sasa mama yeye anatengua kwa nia fulani,halafu anakupeleka Ikulu ili utazamwe 24×7.
Huyu amelitambua hilo,na hii itamsumbua sana kichwa mteuzi.
Acha mawazo ya uasiKwa sababu wengi wenu huwa mnawaza ndani ya Box...siwezi kukulaumu.
Ila sidhani kama unaelewa idadi ya vikao haramu,vinavyoitishwa mahoteli makubwa makubwa kila siku,wakati wengine tumelala!
Wewe unadhani unailelewa mitandao yote nchi hii?
Kuna DC aliwahi kukataa uteuzi, nimemsahau jina tuu..Kukataa ni uhaini na adhabu ni inaweza kuwa kifo au kuishi kama marehemu jumbe... (RIP)
Hivyo msiwe mna andika ili mradi kuandika... una zani kwann wakina mbowe hawakatai wakiitwa kwenda kwa Mh. Ikulu? Ni uhaini kukataa wewe kama mtanzania kwa nchi yako
Mbona wewe umejenga dhana isiyokuwepo kwamba kakataa uteuzi na wakati taarifa rasmi ni kwamba uteuzi wake umetenguliwa? Halafu mbona unatamani sana kutokee uasi? Maana nyuzi zako zote Zina mwelekeo huoKukataa uteuzi siyo kumtunishia misuli Rais!
Kuukataa uteuzi ni haki ya kikatiba!
Kuteuliwa huwa sio amri bali utashi.
Hata Raphael Chegeni aliukataa uteuzi.
Hata aliewahi kuwa mkuu wa mkoa wa mwanza aliwahi kuukataa uteuzi wa JPM.
Halafu uelewe kwamba sio kila mtu yuko individual.
Watu huitana vikao kabla ya maamuzi kama hayo!
Usijenge dhana isiyokuwepo.
Nafikiri kitendo cha kulazimisha iwe awamu ya sita na sio ya tano kikatiba ndio kitaisumbua nchi sana mpaka kufika 2025JPM alipoingia madarakani aliipangua safu yote ya mtangulizi wake hakukua na kelele wy huyu wa sasa alipanga safu yake kelele zinakua nyingi?
Mwisho washakuwa wambea.Kila mmoja anataka aonekane yeye ni mjuvi wa mambo nyeti ya SI RI KA RI
Tiss wa mchongo labdaStaff yeyote wa Serikali akifanya makosa ya kinidhamu kwa kukiuka maadili ya ajira anafukuzika na kushitakiwa bila shida yoyote. Ref: Sabaya Ole Lengai ni Tiss lakini anasoteshwa kinyama.
Lengai kanjanja tuStaff yeyote wa Serikali akifanya makosa ya kinidhamu kwa kukiuka maadili ya ajira anafukuzika na kushitakiwa bila shida yoyote. Ref: Sabaya Ole Lengai ni Tiss lakini anasoteshwa kinyama.