Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

Kama yule jasusi mbobezi alitepeta baada ya kutikiswa na wenye system mpaka akakonda 🤣🤣🤣 japo alianza na kiburi sana baada ya kunyofolewa chamani akabakia anapiga majungu tu ya chini chini 😀 itakuwa huyo Diwani Athmani. Hakuna mtu anayeweza kuuzidi mfumo uwezo. Hakuna na hatatokea.

Hakuna mbabe nje ya Cheo cha kitaifa. Unachekechwa vizuri tu na mdomo unaufyata tumbav!!!
Sawasawa
 
Acheni mambo ya kitoto, amekataa ku-surrender siri na mawasiliano ya serikali? Acheni utoto nasema tena. Na msiandike mambo msiyojajua. We unaelewa maana ya serikali kweli? Tuwe srious ktk maana mambo mengine ni very sensitive sana hata kwa akili ya kawaida tu hata ungeambiwa jambo km hilo na babako usingekubali.
Hili jambo ungemuhoji mtoa mada na sio mimi.

Mi mwenyewe nimehoji kama anaweza kugome kusarenda mawasiliani si anajitafutia kuwa neutrolized
 
Katiba ndivyo inavyosema?

Diwani sio wa kwanza kuukataa uteuzi!

Hata Chegeni pia aliukataa uteuzi wa kuwa RC.

Huwa wanakataa kwenye mchakato wa uteuzi. Lkn siyo uteuzi uliokamilika, yaani baada ya kuapishwa.
 
Kawaida wakurugenzi hawa wakishaondolewa katika nafasi zao, huwa wanapelekwa ubalozini huko Canada, Brazili ili kutoa nafasi kwa ajaye kufanya kazi kwa umakini. Imagine Diwani aanze kuripoti kwa huyu mpya, lazima kutakuwa na hali fulani hivi.

Halafu huwezi kujua ameichukuliaje issue ya kuondolewa halafu unamuweka jikoni kwako panapopikwa chakula

I said.

=====

Rais Samia ametengua uteuzi wa Kamishna Diwani Athumani Msuya kuwa katibu Mkuu Ikulu

Aidha, Rais Samia amemteua Bw. Mululi Majula Mahendeka kuwa Katibu Mkuu Ikulu.


View attachment 2469861
Nadhani hii ya kuwatupa ubalozini ni very poor approach maana inaua ile dhana nzima ya kuwa na mabalozi competent, ndiyo maana hatupigi hatua kwa sababu balozi zinajaa wastaafu au waliotenguliwa..
 
Mkuu

Hivi aliemshauri Hii move ni Nani!?

Aliemwambia toa diwani weka pale ana MALENGO gani haswa KWA awamu HII!!?

Yaani Lengo lake ni kujenga au kubomoa!?

Na kama ni kujenga ni kujenga mtu au Taifa!?

Kuna mtu anamdanganya mwenye mamlaka Ili kuleta mogogoro Fulani KWA MASLAHI Binafsi!!

Au ndio system inamchezesha michezo fulani MWENYE mamlaka na yeye anashindwa kuielewa!!?

Kwanza walimuingiza chaka kwenye kutangaza nia ya kugombea 2025,sasa wanamchanganyia mafaili kwenye uteuzi yaani teua tengua!!


Kuna mtu anafunga magoli dakika ya 90 halafu haonekani!!

Hivi niguse ninuke Yuko WAPI!!?

Simuoni siku hizi mitandaoni!
JPM alipoingia madarakani aliipangua safu yote ya mtangulizi wake hakukua na kelele wy huyu wa sasa alipanga safu yake kelele zinakua nyingi?
 
Hivi mkuu kutoka DGIS mpaka Chief of staff ni demotion kweli?[emoji848]
I think there must be something wrong au mama alipanga amshushe kiaina bila kelele.
Labda ungesema katibu mkuu kiongozi but kwa hiyo aliyopewa siyo..
 
Kiuhalisia kuna kundi liko TISS linalomuingiza chaka mteuzi.

Kwanza kiutaratibu,alipaswa kumstaafisha kisha ndio ampatie uteuzi.

Halafu kiuhalisia hawa maafisa wa ngazi hiyo,huwa wanaishia kupelekwa ubalozini.

Hii maana yake ni kuwa Disconnect na mfumo.

Na kwa wale ambao huwa wamestaafu kisheria,huwa bado wanakuwa karibu na kitengovkama washauri.

Hata wateuzi mara nyingi hiwatumia pale wanapotaka kufanya verification ya jambo fulani nyeti.

Sasa mama yeye anatengua kwa nia fulani,halafu anakupeleka Ikulu ili utazamwe 24×7.

Huyu amelitambua hilo,na hii itamsumbua sana kichwa mteuzi.
Yaani mtu mmoja aisumbue kichwa system [emoji23][emoji23] ninachokiona kwako Kuna vitu unatamani vitokee ila utasubiri sana
 
Kwa sababu wengi wenu huwa mnawaza ndani ya Box...siwezi kukulaumu.

Ila sidhani kama unaelewa idadi ya vikao haramu,vinavyoitishwa mahoteli makubwa makubwa kila siku,wakati wengine tumelala!

Wewe unadhani unailelewa mitandao yote nchi hii?
Acha mawazo ya uasi
 
Hana ubavu wa kukataa uteuzi. Hamna siri zozote zaajabu anazojua。kama umeme tu tunatumia wa mabwawa, panadol tunaagiza nje, hatujaanza hata kuzalisha vitu wenyewe. Hamna jambo la ajabu analojua
 
Kukataa ni uhaini na adhabu ni inaweza kuwa kifo au kuishi kama marehemu jumbe... (RIP)

Hivyo msiwe mna andika ili mradi kuandika... una zani kwann wakina mbowe hawakatai wakiitwa kwenda kwa Mh. Ikulu? Ni uhaini kukataa wewe kama mtanzania kwa nchi yako
Kuna DC aliwahi kukataa uteuzi, nimemsahau jina tuu..
 
Kukataa uteuzi siyo kumtunishia misuli Rais!

Kuukataa uteuzi ni haki ya kikatiba!

Kuteuliwa huwa sio amri bali utashi.

Hata Raphael Chegeni aliukataa uteuzi.

Hata aliewahi kuwa mkuu wa mkoa wa mwanza aliwahi kuukataa uteuzi wa JPM.

Halafu uelewe kwamba sio kila mtu yuko individual.

Watu huitana vikao kabla ya maamuzi kama hayo!

Usijenge dhana isiyokuwepo.
Mbona wewe umejenga dhana isiyokuwepo kwamba kakataa uteuzi na wakati taarifa rasmi ni kwamba uteuzi wake umetenguliwa? Halafu mbona unatamani sana kutokee uasi? Maana nyuzi zako zote Zina mwelekeo huo
 
JPM alipoingia madarakani aliipangua safu yote ya mtangulizi wake hakukua na kelele wy huyu wa sasa alipanga safu yake kelele zinakua nyingi?
Nafikiri kitendo cha kulazimisha iwe awamu ya sita na sio ya tano kikatiba ndio kitaisumbua nchi sana mpaka kufika 2025
 
Staff yeyote wa Serikali akifanya makosa ya kinidhamu kwa kukiuka maadili ya ajira anafukuzika na kushitakiwa bila shida yoyote. Ref: Sabaya Ole Lengai ni Tiss lakini anasoteshwa kinyama.
Tiss wa mchongo labda
 
Back
Top Bottom