T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Awepo 'mole' alafu apeleke taarifa kwa Samia? Sasa huyo sio mole ni agent na anachokifanya ni kazi yake, mole ni yule jasusi wa organization fulani kajichomeka kuajiriwa kwenye taasisi nyingine ya intelligence. Utawakuta Wanyarwanda hizi nchi za EAC wanareport kwa NISS, ndio moles haoHuyu Diwani **** madudu makubwa kayafanya ajiangalie. Soon atapelekwa selo.
Kuna 'mole' anampa mama faili moja baada ya jingine, la maovu ya Diwani.
Soma tena para ya pili, utaelewa tu
Nani aliyeshauri Bashiru atolewe? Mbona walioingia kwa mbwembwe wamechemsha mapema kama Bashiru?Aende akafie mbele ya safari Huko kama amesusa mwacheni....akina bashiru Alli wamempa ushauri mmbaya
Umeanza vizuri hoja yako lkn umemalizia vibaya.Umetaja uhaini na upo katika katiba basi onyesha wapi katiba inasema kukataa uteuzi wa Rais ni uhaini. Yule jamaa wa kampuni binafsi aliyekaa ukuu wa wilaya sijui uDED kipindi cha Magu si aliendelea na majukumu yake.
Akigoma kabisa tunapeleka tanga au tunakula hapa hapaKiukweli kumtoa mtu kwenye position ya DGIS na kumwacha popote nchini is a mistake!. Position stahiki kwa DGIS mtumbuliwa ni kumpeleka ubalozini. Rais nae ni binadamu na sio malaika, hivyo anaruhusiwa kufanya human mistakes. Hili nililizungumza hapa Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda
P
Huyu anatakiwa atupwe somalia au Congo huko.Nikija kuwa rais, hata siku moja sitoruhu ex DGIS abaki nchini, namchapa ubarozi australia, au aame yeye mwenyewe nchi, au na disconnect nyaya ya upuaji wake. Ni watu hatar sana kwa taifa wakiwa nje ya mfumo.
Halipo La Kugomea
Yaani kweli wewe ndio pimbi, Nani amekwambia Chief of staff anaripoti kwa boss wa majasusi? If you have never been part of corridors, don't talk anything. Kwakukisaidia anaripoti moja kwa moja kwa anayekalia kiti kikuu fala weweWewe hujui unachosema, chief of staff ipi ya ikulu?. Usitumie neno Chief of Staff vibaya.
Yaani utoke kuwa boss wa majasusi taifa zima uende kuwa katibu wa ikulu tena utoe taarifa za kila siku kwa boss wa majasusi aliyekua mdogo kwako halafu unauliza kama no demotion?. Hivi hua vichwa vyenu vimejaa nn?
Weeee! Huyu mtekaji Nani ampe uaIGP? Huyu nafasi yake ya uteuzi baada ya kumuondoa ikulu ni ubalozi tuIGP mpya
Siku hizi Wakuu wa Usalama wameshawekwa mfukoni ..... Wanabadilishwa same as \Wakuu wa Wilaya na Mikoa.Kawaida wakurugenzi hawa wakishaondolewa katika nafasi zao, huwa wanapelekwa ubalozini huko Canada, Brazili ili kutoa nafasi kwa ajaye kufanya kazi kwa umakini. Imagine Diwani aanze kuripoti kwa huyu mpya, lazima kutakuwa na hali fulani hivi.
Halafu huwezi kujua ameichukuliaje issue ya kuondolewa halafu unamuweka jikoni kwako panapopikwa chakula
I said.
=====
Rais Samia ametengua uteuzi wa Kamishna Diwani Athumani Msuya kuwa katibu Mkuu Ikulu
Aidha, Rais Samia amemteua Bw. Mululi Majula Mahendeka kuwa Katibu Mkuu Ikulu.
View attachment 2469861
Akailime makweme huko Usangi.Ni TAARIFA za kweli Diwani Athumani aliyeteuliwa KUWA katibu mkuu Ikulu ametenguliwa na hajapangiwa nafasi NYINGINE anarudi kwao kulima.
Kwa akili hizi Urais sahau...Nikija kuwa rais, hata siku moja sitoruhu ex DGIS abaki nchini, namchapa ubarozi australia, au aame yeye mwenyewe nchi, au na disconnect nyaya ya upuaji wake. Ni watu hatar sana kwa taifa wakiwa nje ya mfumo.
Malcom heri ya mwaka mpya rafiki nimefurahi kukuona 2023 Mungu ni mwema....ngoja tukae hapa kwa Diwani wote...❤Karibuni sana tujenge Mnara wa Babeli ili tumfikie Mungu...