Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

Huyo jamaa ndie "spy chief" wa hovyo kuwahi kutokea nchi hii. Toka amepewa "Top job" ya kimedani ndie mtu alieruhusu upuuzi na ujinga mwingi wa kimedani kiasi cha kushusha hadhi taasisi hii adhimu.
Huyo ndie aliruhusu watu kuteswa,kupigwa,kuuwawa katika awamu ya marehemu. Sio mtu wa kumpa sifa kama unazozitaja hapa.
Na mwisho ni kwamba hana ubavu wa kukataa uteuzi wa mtu alieapa kumtii na kumlinda.
Acha kutupigia kelele! Watu hawajaanza kuawawa wakati wa Magufuli banah! Au akili mmexipata juzi baada ya uchaguzi wa 2015?
 
Kiuhalisia kuna kundi liko TISS linalomuingiza chaka mteuzi.

Kwanza kiutaratibu,alipaswa kumstaafisha kisha ndio ampatie uteuzi.

Halafu kiuhalisia hawa maafisa wa ngazi hiyo,huwa wanaishia kupelekwa ubalozini.

Hii maana yake ni kuwa Disconnect na mfumo.

Na kwa wale ambao huwa wamestaafu kisheria,huwa bado wanakuwa karibu na kitengovkama washauri.

Hata wateuzi mara nyingi hiwatumia pale wanapotaka kufanya verification ya jambo fulani nyeti.

Sasa mama yeye anatengua kwa nia fulani,halafu anakupeleka Ikulu ili utazamwe 24×7.

Huyu amelitambua hilo,na hii itamsumbua sana kichwa mteuzi.
Diwani bado ni polisi?ni kwa nini hakumrejesha huko polisi?
 
Kwani wakati wa ule uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi Mkuu alikuwa DGIS alikuwa nani ?

Je wakati wa Sakata la Jemadari Tundu Lisu jaribio la kuuawa alikuwa DGIS ni nani?
 
Mamba anatisha akiwa ndani ya maji, nje ya maji màmba ni sawa na mjusi tu.

Saa hizi ukimkuta Diwani Athman hata ukimtemea mate anaweza kukuomba wewe msamaha.

Mtoa mada umem over estimate Diwani bila sababu, I assure you he is nobody in this country.
Akili zako fupi kama ulivyo
 
we mambo yako mengi ni ya kudhania na kusadikika. Nani kakuambia Chegeni alikataa uteuzi. Mbona una akili ndogo km K ya mjusi? Una shida gani kijana? Hakuna anayeweza nchi hii kukataa uteuzi wa Rais, elewa hivyo acha kujitungia mauwongo yako we pimbi. We huna unalojua kaaga kimya na jikubali kuwa uwezo wako ni mdogo sana kujadili mambo hayo.
Usimnyanyase mtu kwenye mawazo yake na kumbukumbu zake kigezo cha Akili nyingi ni kuwa na tekinologia kubwa Duniani na sisi Africa bado tunahangaika na uteuzi tengua teua matokeo yake yatakuja yale ya marehemu General kombe
 
Kiuhalisia kuna kundi liko TISS linalomuingiza chaka mteuzi.

Kwanza kiutaratibu,alipaswa kumstaafisha kisha ndio ampatie uteuzi.

Halafu kiuhalisia hawa maafisa wa ngazi hiyo,huwa wanaishia kupelekwa ubalozini.

Hii maana yake ni kuwa Disconnect na mfumo.

Na kwa wale ambao huwa wamestaafu kisheria,huwa bado wanakuwa karibu na kitengovkama washauri.

Hata wateuzi mara nyingi hiwatumia pale wanapotaka kufanya verification ya jambo fulani nyeti.

Sasa mama yeye anatengua kwa nia fulani,halafu anakupeleka Ikulu ili utazamwe 24×7.

Huyu amelitambua hilo,na hii itamsumbua sana kichwa mteuzi.
Mleta mada bana, Ni vema mkatambua kuwa kila zama ina watu wake na mambl yake, unadhani waliomuondoa Diwani hawakuwaza yote unayoandika hapa??

Unadhani unaweza pambana na mfumo?

Yaaani mkuu umeshiba ugali, ukajiaminisha kabisa suala la kumuondoa DGIS limefanyika kwa kukurupuka?

Kwamba wewe ndio unaakili za kufahamu Impact yake kuliko waliofanya hayo maamuzi!

Mkuu, Urais ni taasisi flaan kuuuuuubwa mno. Anaekaa kwenye kiti cha Urais hajiongozi mwenyewe katika maamuzi!

BTW unataka kutuaminisha kuwa bwana Diwani ni smart sana kuliko wengine,

Kaeni kwa kutulia sana, kila kiongozi na mambo yake!
 
Sijui hua akipewa jina au ushauri hua anameza tu au anatafakari na kuuliza maswali?
Diwani amefanya kazi nzuri sana awamu ya tano. Leo hii unakuta mbowe na genge lake ndio wanataka atoke TISS na mama anakubali na kumshusha hadhi.
Uongo wa akina mbowe umekolea hadi kiongozi dhaifu wa ccm anaamini.
Ccm haijafanya kosa kuwashinda kabisa chadema kwenye uchaguzi mkuu 2020. Wananchi waliona kile kinachofanywa na ccm ya magufuli na kuipa ccm kura karibu zote.
Siyo kweli huu uzushi wako bakia nao huko huko ulipo
 
Nchi hii, watu huwa wanapenda kukuza sana mambo. Utasikia, ooh mkurugenzi wa Taifa ana siri zote nzito za nchi hii! Upuuzi mtupu.

Yaani mtu mwenye akili timamu kabisa uamini kuwa mkurugenzi wa usalama wa Taifa anajua siri nyingi nzito za Taifa kumzidi Rais.

Mkurugenzi wa usalama wa Taifa amepewa kakitengo tu ndani ya usalama wa nchi. Na anaripoti kwa Rais. Kuna IGP, naye ana kitengo cha ujasusi, naye anaripoti kwa Rais. Kuna CDF, naye ana kitengo cha ujasusi, naye anaripoti kwa Rais.

Lakini wapo pia watu maalum wanaofanya ujasusi wasioripoti kwa IGP, kwa CDF au Mkurugenzi wa TISS, ambao wanaripoti moja kwa moja kwa Rais. Hata mkurugenzi wa TISS, IGP na CDF wanafanyiwa ujasusi pia ili kuwa na uhakika kuwa wakati wote wapo kwenye mstari.

Halafu mtu anatoka huko anaropoka eti mkurugenzi wa TISS ana siri nyingi, kama vile ana uelewa wa mambo mengi kumzidi Rais ambaye anapokea taarifa mbalimbali toka kwa vyombo vingi vya ulinzi na usalama.

Achaneni na hekaya za Abunuasi kusema kwamba Diwani amekataa uteuzi wa Rais. Hayo ni maneno ya watu wa vijiweni wasio hata na ABC ya hiyo idara aliyokuwa akiiongoza Diwani. Kwa kadiri ya kiapo cha hawa watu na kwa nature ya kazi yao, hawaruhusiwi kukataa order yoyote toka kwa Rais. Akifanya hivyo ni sawa na uhaini.

Huyu bila shaka kuna makosa amefanya, akashushwa na kupelekwa karibu ili achunguzwe zaidi mienendo yake. Huenda ndani ya muda mfupi wa uteuzi kuna taarifa mbaya zaidi zimemfikia mkuu wa nchi kiasi cha kuonekana kuwa hafai hata kwa nafasi hiyo au pengine anafikiriwa kwa nafasi tofauti na hiyo.
Siku hizi CDF mkuu mkuu wa majeshi ya Ulinzi na usalama ndiyo mwenyekiti wa jopo la ujasusi na yeye hupata taarifa nyingi na ukumbuke yeye ana ndege za kivita vifaru makombora usimweke level ya IGP na hao wengine
 
Watu wanapiga maneno maneno tu hapa, wanadhani the Presidency ni kitu cha mchezo.

Alisema Salmin Amour, "Chezea ndevu, Usichezee Dola", mtu kama Diwani atakuwa wa kwanza kujua kuwa Dola haichezewi na mtu yoyote.
Kapilimba alitenguliwa semblance yeye
*Diwani ndie afisa mwenye siri nzito za kilichojiri kati ya serikali hizi mbili .....

Serikali ya Magufuli na hii ya Samia!

Pia ieleweke yeye ndie alikuwa madarakani wakati JPM anafariki Dunia.

Yote yaliyojiri katikati hapo...
Ni Diwani ndie anaeyajua!*

KILA MTANZANIA ASOME HAYA MANENO HAPO NA AYATAFAKARI
Siri zote wamezifuta hana kitu tena
 
Kama yule jasusi mbobezi alitepeta baada ya kutikiswa na wenye system mpaka akakonda [emoji1787][emoji1787][emoji1787] japo alianza na kiburi sana baada ya kunyofolewa chamani akabakia anapiga majungu tu ya chini chini [emoji3] itakuwa huyo Diwani Athmani. Hakuna mtu anayeweza kuuzidi mfumo uwezo. Hakuna na hatatokea.

Hakuna mbabe nje ya Cheo cha kitaifa. Unachekechwa vizuri tu na mdomo unaufyata tumbav!!!
Kiongozi wao waliokuwa wanamuabudu aliishia wapi baada ya system kumkataa?
 
Nchi hii, watu huwa wanapenda kukuza sana mambo. Utasikia, ooh mkurugenzi wa Taifa ana siri zote nzito za nchi hii! Upuuzi mtupu.

Yaani mtu mwenye akili timamu kabisa uamini kuwa mkurugenzi wa usalama wa Taifa anajua siri nyingi nzito za Taifa kumzidi Rais.

Mkurugenzi wa usalama wa Taifa amepewa kakitengo tu ndani ya usalama wa nchi. Na anaripoti kwa Rais. Kuna IGP, naye ana kitengo cha ujasusi, naye anaripoti kwa Rais. Kuna CDF, naye ana kitengo cha ujasusi, naye anaripoti kwa Rais.

Lakini wapo pia watu maalum wanaofanya ujasusi wasioripoti kwa IGP, kwa CDF au Mkurugenzi wa TISS, ambao wanaripoti moja kwa moja kwa Rais. Hata mkurugenzi wa TISS, IGP na CDF wanafanyiwa ujasusi pia ili kuwa na uhakika kuwa wakati wote wapo kwenye mstari.

Halafu mtu anatoka huko anaropoka eti mkurugenzi wa TISS ana siri nyingi, kama vile ana uelewa wa mambo mengi kumzidi Rais ambaye anapokea taarifa mbalimbali toka kwa vyombo vingi vya ulinzi na usalama.

Achaneni na hekaya za Abunuasi kusema kwamba Diwani amekataa uteuzi wa Rais. Hayo ni maneno ya watu wa vijiweni wasio hata na ABC ya hiyo idara aliyokuwa akiiongoza Diwani. Kwa kadiri ya kiapo cha hawa watu na kwa nature ya kazi yao, hawaruhusiwi kukataa order yoyote toka kwa Rais. Akifanya hivyo ni sawa na uhaini.

Huyu bila shaka kuna makosa amefanya, akashushwa na kupelekwa karibu ili achunguzwe zaidi mienendo yake. Huenda ndani ya muda mfupi wa uteuzi kuna taarifa mbaya zaidi zimemfikia mkuu wa nchi kiasi cha kuonekana kuwa hafai hata kwa nafasi hiyo au pengine anafikiriwa kwa nafasi tofauti na hiyo.
Nadhani kwa Post hii, mtoa mada amejiona hana anachojua. Ahsante sana mkuu
 
Huyo jamaa ndie "spy chief" wa hovyo kuwahi kutokea nchi hii. Toka amepewa "Top job" ya kimedani ndie mtu alieruhusu upuuzi na ujinga mwingi wa kimedani kiasi cha kushusha hadhi taasisi hii adhimu.
Huyo ndie aliruhusu watu kuteswa,kupigwa,kuuwawa katika awamu ya marehemu. Sio mtu wa kumpa sifa kama unazozitaja hapa.
Na mwisho ni kwamba hana ubavu wa kukataa uteuzi wa mtu alieapa kumtii na kumlinda.
Kwani watu walianza kutekwa kuanzia kwa Diwani?Kibanda alitekwa na kutobolewa macho,Kubenea alitekwa na kumwagiwa tindikali,Olimboka alitekwa kaja kuokotwa mabwe pande akiwa mahututi, Sengondo Mvungi alipigwa mapanga nchana kweupe watu wakachua raptop hao wote ni wakati wa Jk,afisa usalama alikuwa Zola.Sema mnamchukia Diwani kwasababu alidhibiti vikundi haramu vya uhasi kule mtwala na upinzani uchwala uliokuwa umejipanga kuleta gasia wa Magufuli.
 
Kwani watu walianza kutekwa kuanzia kwa Diwani?Kibanda alitekwa na kutobolewa macho,Kubenea alitekwa na kumwagiwa tindikali,Olimboka alitekwa kaja kuokotwa mabwe pande akiwa mahututi, Sengondo Mvungi alipigwa mapanga nchana kweupe watu wakachua raptop hao wote ni wakati wa Jk,afisa usalama alikuwa Zola.Sema mnamchukia Diwani kwasababu alidhibiti vikundi haramu vya uhasi kule mtwala na upinzani uchwala uliokuwa umejipanga kuleta gasia wa Magufuli.
Sema nyie watu ni wakatili sana asee hivi nyie ni binadamu kama sisi kweli? Mtu akitofautiana na wewe kimtazamo unamuona adui unampa zawadi ya mateso na kifo?
 
Back
Top Bottom