Jamaa unahangaika sana na CDM Arusha, waambie hao CCM wenzako mwezi October waitishe uchaguzi free na fair halafu uone kitakachowapata Arusha, unadhani CDM Arusha inabebwa na majina ya watu kwa akili zako fupi! hukumbuki kilichowapata kwenye ule uchaguzi mdogo wakati ule.
Halafu napata shaka, kwanini hizi video unakuwa wa kwanza kila mara kuzileta huku kama na wewe sio sehemu ya huo mchezo wa kijinga mnaoufanya huko Arusha, kachezeeni akili za wapuuzi wengine, sio CDM Arusha.
Chezeeni hao hao kina Bananga na mwenzake, wengine wanajitambua, nakusubiri ulete tena video ya mwingine, jinga kweli!
Sent using
Jamii Forums mobile app