Diwani wa CHADEMA, Ally Bananga amwambia Godbless Lema aache ndoto na kumpangia marafiki!

Diwani wa CHADEMA, Ally Bananga amwambia Godbless Lema aache ndoto na kumpangia marafiki!

Jamaa unahangaika sana na CDM Arusha, waambie hao CCM wenzako mwezi October waitishe uchaguzi free na fair halafu uone kitakachowapata Arusha, unadhani CDM Arusha inabebwa na majina ya watu kwa akili zako fupi! hukumbuki kilichowapata kwenye ule uchaguzi mdogo wakati ule.

Halafu napata shaka, kwanini hizi video unakuwa wa kwanza kila mara kuzileta huku kama na wewe sio sehemu ya huo mchezo wa kijinga mnaoufanya huko Arusha, kachezeeni akili za wapuuzi wengine, sio CDM Arusha.

Chezeeni hao hao kina Bananga na mwenzake, wengine wanajitambua, nakusubiri ulete tena video ya mwingine, jinga kweli!

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole kunywa maji upunguze stress! Mwaka huu mtaisoma namba!
 
Jamaa unahangaika sana na CDM Arusha, waambie hao CCM wenzako mwezi October waitishe uchaguzi free na fair halafu uone kitakachowapata Arusha, unadhani CDM Arusha inabebwa na majina ya watu kwa akili zako fupi! hukumbuki kilichowapata kwenye ule uchaguzi mdogo wakati ule.

Halafu napata shaka, kwanini hizi video unakuwa wa kwanza kila mara kuzileta huku kama na wewe sio sehemu ya huo mchezo wa kijinga mnaoufanya huko Arusha, kachezeeni akili za wapuuzi wengine, sio CDM Arusha.

Chezeeni hao hao kina Bananga na mwenzake, wengine wanajitambua, nakusubiri ulete tena video ya mwingine, jinga kweli!

Sent using Jamii Forums mobile app
Heri nawe umeliona hilo. Arusha hiyo migogoro ya madiwani na viongozi ni ya kutengenezwa na CCM kupitia njaa za wahusika tuu.
Lakini wakazi wa Arusha sio wa kuburuzwa tena na CCM kwa hila na uongo wao, hivyo katika uchaguzi ulio huru na haki CCM haiambulii kitu na wenyewe wanajua.
Sii Arusha tuu eneo kubwa la nchi CCM wanategemea hila na wizi tuu ili kupata uwakilishi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heri nawe umeliona hilo. Arusha hiyo migogoro ya madiwani na viongozi ni ya kutengenezwa na CCM kupitia njaa za wahusika tuu.
Lakini wakazi wa Arusha sio wa kuburuzwa tena na CCM kwa hila na uongo wao, hivyo katika uchaguzi ulio huru na haki CCM haiambulii kitu na wenyewe wanajua.
Sii Arusha tuu eneo kubwa la nchi CCM wanategemea hila na wizi tuu ili kupata uwakilishi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kuota!
 
Pole kunywa maji upunguze stress! Mwaka huu mtaisoma namba!
Wakuisoma mbona wanajulikana. Juzi nilimsikia mwenyekiti mmoja anasema kwa tambo " nimeongea na Rais wa Welidi benki atatupa hela ..."
Jana kaisoma namba kimya!! Na bado, Trump naye anakuja na block!
Arusha sio Dodoma au Lindi na Katavi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuisoma mbona wanajulikana. Juzi nilimsikia mwenyekiti mmoja anasema kwa tambo " nimeongea na Rais wa Welidi benki atatupa hela ..."
Jana kaisoma namba kimya!! Na bado, Trump naye anakuja na block!
Arusha sio Dodoma au Lindi na Katavi!

Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kujifariji....!!
 
Heri nawe umeliona hilo. Arusha hiyo migogoro ya madiwani na viongozi ni ya kutengenezwa na CCM kupitia njaa za wahusika tuu.
Lakini wakazi wa Arusha sio wa kuburuzwa tena na CCM kwa hila na uongo wao, hivyo katika uchaguzi ulio huru na haki CCM haiambulii kitu na wenyewe wanajua.
Sii Arusha tuu eneo kubwa la nchi CCM wanategemea hila na wizi tuu ili kupata uwakilishi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Majamaa hayajui chochote kuhusu Arusha, unamnunua mtu Arusha?! ningewaona wa maana kama wangewanunua waliomuweka huyo mtu kwasababu ndio wenye impact.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ALI BANANGA HUYOOOO ANARUDI ZAKE KWA MA CCM
Vipi CHADEMA hawana kiongozi ambaye hajawahi kuwa mwanachama wa CCM kabla ya kujiunga CHADEMA?

Nimeuliza hivyo kuwa sababu kila kiongozi wa CHADEMA akijiunga na CCM utasikia wanaCHADEMA wanasema tulijua tu atarudi tena CCM!
 
Inaonekana chadema palikuwa na udikteta mkubwa sana hivyo watu walikuwa wakiumia ndan kwa ndani

Sasa wamevumilia wamechoka wameona kama ni noma acha iwe noma

Mtu unaweza mfunga mikono, miguu na ukamziba midomo lakin huwezi huwez mfunga nafsi

Hata huyu jiwe wenu kuna siku watu watamchoka na wataona kama ni noma na iwe noma sasa

Watawala wa vyama na serikali waache udikteta
Mbowe acha udikteta, magufuri acha udikteta

Sasa mbowe kama kuwa tu mwenyekiti wa chama unakuwa dikteta mkubwa namna hiyo na siku ukiwa mwenyekiti/Rais wa nchi si itakuwa balaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kurudi CCM ni Lazima ugombanishe CHADEMA, ndio wanakulipa na kukupokea?!
Ungejiuliza kwanza ilikuwaje CHADEMA ikampokea na kumpa uongozi? Ukilipata jibu sahihi ndiyo litakupa mwelekeo wa kujua jibu la swali lako!
 
Huyo siwezi kuwa na marafiki wanafki, nisiwe mnafki haijawahi tokea kabisa hiyo...Ally bananga ni kibakala anayetumiwa na alberto msando.

Msando anamlewesha kwenye bar yake, akishalewa anatoa siri zote za chama.

Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya kumpa ''ngumi za uso'' Godbless Lema ndio mkajua ana urafiki na Alberto Msando?
 
Kwanza nikupongeze kwa umahili wa uchochezi na uchonganishi.
Pili nakushangaa wewe na genge lako kushindwa kutubandikia taarifa ya kikao cha hawa waunga juhudi cha pale nane nane.
Mwambie Bananga ni kweli ana dhamana ya watu wa Sombetini lakini ajue itakoma nje ya CHADEMA.
Halafu mkakati wote wa CCM kutumia vyombo vya dola kwa maagizo ya DC na RC kutumia fedha za halmashauri kwenye mchakato huu; una kosa moja tu, halijatugusa na halitafaulu kwa sababu Watanzania siyo wajinga. Na sisi wapiga kura wa Arusha tuna taarifa ya kinachoendelea kiganjani. HATUDANGANYIKI
Unasema niwabandikie taarifa ya kikao? Kwa nini wewe usibandike kama ipo?

Unasema Dhamana ya Udiwani itakoma nje ya CHADEMA wakati Bananga anakwenda kugombea Ubunge katika Uchaguzi Mkuu!

Ni kweli Watanzania sio wajinga kwa sababu kama watanzania wangekuwa ni wajinga, haina shaka kwa sasa CHADEMA ingekuwa chama tawala!

Nyie wapiga kula wa Arusha endeleeni kuwa na taarifa wakati huo huo CHADEMA ikiyeyuka Arusha!
 
Back
Top Bottom