Diwani wa CHADEMA, Ally Bananga amwambia Godbless Lema aache ndoto na kumpangia marafiki!

Diwani wa CHADEMA, Ally Bananga amwambia Godbless Lema aache ndoto na kumpangia marafiki!

Moja ya wanasiasa wanaopoteza muda huko CHADEMA Ni huyu bwana Ally Bananga,huwa najiuliza anafanya Nini huko???yaani eti kiongozi wake Ni Lema???Ally alitakiwa kuwa sehemu sahihi kwa wakati sahihi!!!bado hajachelewa,aluta continue.
Huyu jamaa ni akili kubwa ,utashangaa passo kuvuta v8
 
Inaonekana chadema palikuwa na udikteta mkubwa sana hivyo watu walikuwa wakiumia ndan kwa ndani

Sasa wamevumilia wamechoka wameona kama ni noma acha iwe noma

Mtu unaweza mfunga mikono, miguu na ukamziba midomo lakin huwezi huwez mfunga nafsi

Hata huyu jiwe wenu kuna siku watu watamchoka na wataona kama ni noma na iwe noma sasa

Watawala wa vyama na serikali waache udikteta
Mbowe acha udikteta, magufuri acha udikteta

Sasa mbowe kama kuwa tu mwenyekiti wa chama unakuwa dikteta mkubwa namna hiyo na siku ukiwa mwenyekiti/Rais wa nchi si itakuwa balaa

Sent using Jamii Forums mobile app
WATU WASIO JULIKANA WAMESHA SOMA COMMENT YAKO WATA MPELEKEA MAGUFURI SHAURI ZAKO LOL
 
Vipi CHADEMA hawana kiongozi ambaye hajawahi kuwa mwanachama wa CCM kabla ya kujiunga CHADEMA?

Nimeuliza hivyo kuwa sababu kila kiongozi wa CHADEMA akijiunga na CCM utasikia wanaCHADEMA wanasema tulijua tu atarudi tena CCM!
NA WEWE HUYOOOO UNATETEA TUMBO LAKO
 
Jamaa unahangaika sana na CDM Arusha, waambie hao CCM wenzako mwezi October waitishe uchaguzi free na fair halafu uone kitakachowapata Arusha, unadhani CDM Arusha inabebwa na majina ya watu kwa akili zako fupi! hukumbuki kilichowapata kwenye ule uchaguzi mdogo wakati ule.

Halafu napata shaka, kwanini hizi video unakuwa wa kwanza kila mara kuzileta huku kama na wewe sio sehemu ya huo mchezo wa kijinga mnaoufanya huko Arusha, kachezeeni akili za wapuuzi wengine, sio CDM Arusha.

Chezeeni hao hao kina Bananga na mwenzake, wengine wanajitambua, nakusubiri ulete tena video ya mwingine, jinga kweli!

Sent using Jamii Forums mobile app
Siasa hazitaki hasira lakini kama una uchungu sana, go hang yourself!

Kama mimi ninahangaika sana na CHADEMA Arusha, wewe pia unahangaika na mada zangu!

Kwa kukusaidia, siyo kazi ya CCM kuitisha uchaguzi huru na haki bali ni kazi ya Tume ya Uchaguzi!

Hakuna wapuuzi wengine wa kuchezea zaidi yako kwa sababu mada inakuchoma mpaka unatoa povu!

Karibu sana na Uendelee kunifuatilia katika mada mbalimbali kwa sababu ninapata feedback kutoka kwako kama mada zangu zimewafikia walengwa!
 
Toka umehamia Arusha sasa Chadema Arusha watakukoma. Siku hizi nyuzi zako ni za Chadema Arusha tuu.
Au yule mlezi wa CCM Arusha (sina uhakika ni mzee au kijana) ndio kakupa jukumu hilo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu;
Ulinihamishia Arusha?

Mimi niko huku kijijini napata migebuka na kahawa huku nikiperuzi Jamiiforums!

Karibu upate migebuka na kahawa!
 
Hii movie mmeshaiharibu hata kabla haijatoka, but ndio kawaida yenu mara zote lazima mfeli tu, ukadhani utapata supporters wa ujinga bwege kweli, na huyo Bananga km anatafuta sababu asijali, atatupwa kule kama mwenzake.

CDM sio CCM inayawaogopa kina Membe na wenzake. Mngekuwa na akili hata kidogo mngebadilisha hata blogu, but mmekomaa na muungwana blogu hiyo hiyo, wapuuzi kweli na hiyo blogu yenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bado unaendelea kupiga kelele?

Don't hate the player, hate the game!
 
Unasema niwabandikie taarifa ya kikao? Kwa nini wewe usibandike kama ipo?

Unasema Dhamana ya Udiwani itakoma nje ya CHADEMA wakati Bananga anakwenda kugombea Ubunge katika Uchaguzi Mkuu!

Ni kweli Watanzania sio wajinga kwa sababu kama watanzania wangekuwa ni wajinga, haina shaka kwa sasa CHADEMA ingekuwa chama tawala!

Nyie wapiga kula wa Arusha endeleeni kuwa na taarifa wakati huo huo CHADEMA ikiyeyuka Arusha!
Kwa upuuzi wako huu lazima mpuuzwe tu maana mtatupigia kura badala ya sisi kupiga kura .
Wacha Bananga agombee ubunge hata urais lakini kama mnamuingiza kwenye choko choko hizi ujue na ajue atagombea nje ya CHADEMA.
Sina haja ya kubandika mikutano yenu ya manunuzi kwa sababu hamna ubavu wa kuendeleza manunuzi yenu mnapojua kuwa taarifa zenu zimebainika.
Nawatakia kila la heri wakaunge mkono juhudi.
HATUDANGANGANYIKI HATUTETELEKI
 
Back
Top Bottom