Diwani wa CHADEMA, Ally Bananga amwambia Godbless Lema aache ndoto na kumpangia marafiki!

Diwani wa CHADEMA, Ally Bananga amwambia Godbless Lema aache ndoto na kumpangia marafiki!

Siasa hazitaki hasira lakini kama una uchungu sana, go hang yourself!

Kama mimi ninahangaika sana na CHADEMA Arusha, wewe pia unahangaika na mada zangu!

Kwa kukusaidia, siyo kazi ya CCM kuitisha uchaguzi huru na haki bali ni kazi ya Tume ya Uchaguzi!

Hakuna wapuuzi wengine wa kuchezea zaidi yako kwa sababu mada inakuchoma mpaka unatoa povu!

Karibu sana na Uendelee kunifuatilia katika mada mbalimbali kwa sababu ninapata feedback kutoka kwako kama mada zangu zimewafikia walengwa!
Kumtolea povu zuzu kama wewe ni jambo la kawaida sana, nikuulize tu, hivi zimebaki episode ngapi kwenye hiyo series yenu na hao Muungwana blogu ewe kibaraka mweusi?!

Hiyo Tume m/kiti wake anateuliwa na nani?! na kwa akili zako fupi unategemea afanye kinyume na matakwa ya bosi wake! we kweli bogus....endelea kuota CDM inayeyuka Arusha, unadhani barafu hiyo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siasa hazitaki hasira lakini kama una uchungu sana, go hang yourself!

Kama mimi ninahangaika sana na CHADEMA Arusha, wewe pia unahangaika na mada zangu!

Kwa kukusaidia, siyo kazi ya CCM kuitisha uchaguzi huru na haki bali ni kazi ya Tume ya Uchaguzi!

Hakuna wapuuzi wengine wa kuchezea zaidi yako kwa sababu mada inakuchoma mpaka unatoa povu!

Karibu sana na Uendelee kunifuatilia katika mada mbalimbali kwa sababu ninapata feedback kutoka kwako kama mada zangu zimewafikia walengwa!
Unaona sasa ulivyo mjinga unatoa siri za kikao chenu na huyo Bananga, kumbe naye anautaka ubunge Arusha Mjini!, kwa chama gani?! hii michezo hamuiwezi, inataka watu wenye akili, sio bogus like you and your fellows!

Nyie ndio mnaopeleka huo mgogoro wa kutengeneza CDM na huyo jamaa yenu nae ataondoka, hakuhitajiki kirusi, halafu kesho tena mje na diwani mwingine, itakuwa episode ya tatu I think!
too predictable!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unasema niwabandikie taarifa ya kikao? Kwa nini wewe usibandike kama ipo?

Unasema Dhamana ya Udiwani itakoma nje ya CHADEMA wakati Bananga anakwenda kugombea Ubunge katika Uchaguzi Mkuu!

Ni kweli Watanzania sio wajinga kwa sababu kama watanzania wangekuwa ni wajinga, haina shaka kwa sasa CHADEMA ingekuwa chama tawala!

Nyie wapiga kula wa Arusha endeleeni kuwa na taarifa wakati huo huo CHADEMA ikiyeyuka Arusha!
Wewe bwege tafiti zinazoeleweka zinasema CCM ndio inayoshinda maeneo yenye wajinga wengi, sasa sijui huo utafiti wako wewe uliufanyia wapi!

Usijaze mipasho jf, andika facts!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kw
Diwani wa Kata ya Sombetini Katika Jiji la Arusha kwa tiketi ya CHADEMA, Ally Bananga amejitokeza kwenye chombo cha habari na kudai Godbless Lema na kundi lake waache mambo ya kijinga ya kumpangia marafiki na kumtabiria kuwa anataka kuhamia CCM.

‘’Lema na kundi lake wanataka nisiwe na marafiki kutoka CCM wakati wao wana marafiki kutoka CCM’’ Bananga alisema.

Aliendelea kusema, ‘’Madiwani wote waliohamia CCM kutoka CHADEMA wataendelea kuwa rafiki zangu wa karibu, nitakula nao, nitakunywa nao kwa sababu hawaathiri utendaji kazi wangu kama Diwani. Sidhani kama kuna muda wa kupangiana namna ya kuishi. Kila mmoja alikuja CHADEMA kwa muda wake, kwa matakwa yake na kama atataka kujiondoa, atajiondoa kwa muda wake na matakwa yake’’.

Kuhusu tuhuma za kuhamia CCM, Diwani Bananga alisema, ‘’wananitabiria ndoto za manabii wajinga ambazo ni sawa na kuipigia kura kanzu ya Yesu wakati kaivaa. Bado niko CHADEMA nina wajibu na watu wa Sombetini mpaka nitakapokabidhi Kata mwezi Juni mwaka huu’’ Bananga alisema.

Bananga amesema mambo yanayofanywa ya kupangiana maisha, kuingilia familia za watu na kutuhumiana ni utoto na ujinga hasa ikichukuliwa kuwa tuna miezi michache sana kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu.

Mimi na Diwani Isaya Doita tunapingwa ndani ya CHADEMA kwa sababu huwa hatulei ujinga’’ Bananga alisema.

Ikumbukwe kuwa, CHADEMA juzi ilitoa barua inayoonyesha Diwani wa Ngarenaro, Isaya Doita amefukuzwa Uanachama wa CHADEMA baada ya kumtuhumu Godbless Lema kuwa hajitambui na hajui majukumu yake.

Kusoma tuhuma za Lema gonga LINK> CHADEMA Arusha ‘’kwafuka moshi’’; Godbless Lema aambiwa hajitambui na hajui majukumu yake

Kusoma thread ya Diwani Isaya Doita kufukuzwa uanachama wa CHADEMA gonga LINK> Diwani Isaya Doita aliyemtuhumu Godbless Lema afukuzwa Uanachama

Diwani Bananga amebainisha kuwa hana urafiki wa karibu na Godbless Lema bali wana mahusiano ya kikazi kwa sababu Lema ni Mbunge wake na Mwenyekiti wa Kanda wa CHADEMA.

Kuhusu suala la kugombea Ubunge katika Jimbo la Arusha, Bananga amesema hakuna mtu aleyeandikiwa na daktari kuwa atakuwa Mbunge milele na atavuka mto akifika kwa sababu umri wake unamruhusu hata kugombea Urais wa Tanzania.

Kusikia kwa kirefu alichokisema Diwani Ally Bananga angalia hii Video.

eli Cadema Arusha kunafuka moshi.

Waangalie wasije wakalana na kumalizana - Vita vya panzi - neema yakunguru
 
Hawana haja ya kuogopa tena kwa sababu kilichowapeleka kule kimeshapita na hakipo tena.
 
CHADEMA katika Jiji la Arusha kunafukuta moto wa kisiasa!

Tunauona moshi wa kisiasa na kilichobaki ni moto wa kisiasa kulipuka!

Je,moto ukiwaka utakiteketeza chama au utazimwa kabla haujaleta athari kubwa!

Muda utatoa jibu sahihi!
Kwenye chaguzi za ndani mwezi Desemba wamegawana mbao sana. Watu wanasubiri Bunge livunjwe tu hapo kesho kutwa wasepe!

Pamoja na CCM kuleta siasa za kibabe, CDM wenyewe wamegawanyika kwa maslahi binafsi.

Siandiki kwa kubahatisha.
 
Moja ya wanasiasa wanaopoteza muda huko CHADEMA Ni huyu bwana Ally Bananga,huwa najiuliza anafanya Nini huko???yaani eti kiongozi wake Ni Lema???Ally alitakiwa kuwa sehemu sahihi kwa wakati sahihi!!!bado hajachelewa,aluta continue.
Inaonekana ameanza kujielewa kama alikuwa anapoteza muda wake!
 
NA WEWE HUYOOOO UNATETEA TUMBO LAKO
Jifunze basi namna ya kuandika kwa ufasaha kabla ya kuanza kujifunza kujenga hoja zenye nguvu za hoja!

Elewa kuwa kuandika sentesi kwa herufi kubwa ni kupiga kelele! Ulichofakifanya hapa ni kupiga kelele zisizoeleweka!

Hili somo ulitakiwa uwe umejifunza katika darasa la nne!
 
Kiukweli Lema haiwezi kuiunganisha Arusha na mbaya zaidi wamempa na kanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kilichokuwa kinawaunganisha wanaCHADEMA katika Jiji la Arusha ni umoja wa bila madaraka na ulaji.

Baada ya kuchukua Jiji la Arusha na kuanza kuliongoza wamejikuta wanagongana kwenye kupata maslahi binafsi yatokanayo na uendeshaji wa Halmashauri ya Jiji!
 
Back
Top Bottom