Huyu jamaa ni akili kubwa ,utashangaa passo kuvuta v8Moja ya wanasiasa wanaopoteza muda huko CHADEMA Ni huyu bwana Ally Bananga,huwa najiuliza anafanya Nini huko???yaani eti kiongozi wake Ni Lema???Ally alitakiwa kuwa sehemu sahihi kwa wakati sahihi!!!bado hajachelewa,aluta continue.
Sasa Diwani ana siri gani za chama?Huyo siwezi kuwa na marafiki wanafki, nisiwe mnafki haijawahi tokea kabisa hiyo...Ally bananga ni kibakala anayetumiwa na alberto msando.
Msando anamlewesha kwenye bar yake, akishalewa anatoa siri zote za chama.
Sent using Jamii Forums mobile app
WATU WASIO JULIKANA WAMESHA SOMA COMMENT YAKO WATA MPELEKEA MAGUFURI SHAURI ZAKO LOLInaonekana chadema palikuwa na udikteta mkubwa sana hivyo watu walikuwa wakiumia ndan kwa ndani
Sasa wamevumilia wamechoka wameona kama ni noma acha iwe noma
Mtu unaweza mfunga mikono, miguu na ukamziba midomo lakin huwezi huwez mfunga nafsi
Hata huyu jiwe wenu kuna siku watu watamchoka na wataona kama ni noma na iwe noma sasa
Watawala wa vyama na serikali waache udikteta
Mbowe acha udikteta, magufuri acha udikteta
Sasa mbowe kama kuwa tu mwenyekiti wa chama unakuwa dikteta mkubwa namna hiyo na siku ukiwa mwenyekiti/Rais wa nchi si itakuwa balaa
Sent using Jamii Forums mobile app
NA WEWE HUYOOOO UNATETEA TUMBO LAKOVipi CHADEMA hawana kiongozi ambaye hajawahi kuwa mwanachama wa CCM kabla ya kujiunga CHADEMA?
Nimeuliza hivyo kuwa sababu kila kiongozi wa CHADEMA akijiunga na CCM utasikia wanaCHADEMA wanasema tulijua tu atarudi tena CCM!
ndio akina nani haoAlly Bananga rafiki yake mkubwa alberto msando
Mafisadi
Hata mimi naunga mkono hoja!Wasipangiane maisha.... Naunga mkono hoja
Anasema yeye na Diwani Doita huwa hawalei ujinga!Katema nyongo
Safi sana Bananga.
Mkuu;Hay bhn mnn itiiiiiiika wote wanaotajwaa hooiiiokkuna hata moja Muzak wa hapo hmn love lolte
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi nimemuuliza! Alichoandika hakieleweki.Umezipiga ngapi usiku huu
Siasa hazitaki hasira lakini kama una uchungu sana, go hang yourself!Jamaa unahangaika sana na CDM Arusha, waambie hao CCM wenzako mwezi October waitishe uchaguzi free na fair halafu uone kitakachowapata Arusha, unadhani CDM Arusha inabebwa na majina ya watu kwa akili zako fupi! hukumbuki kilichowapata kwenye ule uchaguzi mdogo wakati ule.
Halafu napata shaka, kwanini hizi video unakuwa wa kwanza kila mara kuzileta huku kama na wewe sio sehemu ya huo mchezo wa kijinga mnaoufanya huko Arusha, kachezeeni akili za wapuuzi wengine, sio CDM Arusha.
Chezeeni hao hao kina Bananga na mwenzake, wengine wanajitambua, nakusubiri ulete tena video ya mwingine, jinga kweli!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wajomba zake Lionel Messi ambao ni wadogo zake kangi Lugola.
Mkuu;Toka umehamia Arusha sasa Chadema Arusha watakukoma. Siku hizi nyuzi zako ni za Chadema Arusha tuu.
Au yule mlezi wa CCM Arusha (sina uhakika ni mzee au kijana) ndio kakupa jukumu hilo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado unaendelea kupiga kelele?Hii movie mmeshaiharibu hata kabla haijatoka, but ndio kawaida yenu mara zote lazima mfeli tu, ukadhani utapata supporters wa ujinga bwege kweli, na huyo Bananga km anatafuta sababu asijali, atatupwa kule kama mwenzake.
CDM sio CCM inayawaogopa kina Membe na wenzake. Mngekuwa na akili hata kidogo mngebadilisha hata blogu, but mmekomaa na muungwana blogu hiyo hiyo, wapuuzi kweli na hiyo blogu yenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa upuuzi wako huu lazima mpuuzwe tu maana mtatupigia kura badala ya sisi kupiga kura .Unasema niwabandikie taarifa ya kikao? Kwa nini wewe usibandike kama ipo?
Unasema Dhamana ya Udiwani itakoma nje ya CHADEMA wakati Bananga anakwenda kugombea Ubunge katika Uchaguzi Mkuu!
Ni kweli Watanzania sio wajinga kwa sababu kama watanzania wangekuwa ni wajinga, haina shaka kwa sasa CHADEMA ingekuwa chama tawala!
Nyie wapiga kula wa Arusha endeleeni kuwa na taarifa wakati huo huo CHADEMA ikiyeyuka Arusha!
Kumbe! Basi sawa, ila nimekuona wiki hii uko sana Arusha na mambo ya Arusha yamekushika mno.Mkuu;
Ulinihamishia Arusha?
Mimi niko huku kijijini napata migebuka na kahawa huku nikiperuzi Jamiiforums!
Karibu upate migebuka na kahawa!