Diwani wa CHADEMA, Ally Bananga amwambia Godbless Lema aache ndoto na kumpangia marafiki!

Mkuu;
Hamdanyanyiki hamteteleki wewe na nani? Jisemee nafsi yako!

Sidhani kama ana haja ya kugombea ubunge kwa tiketi ya CHADEMA kwa sababu chama kinapukutika polepole!
 
Hawa ndo wanaume Sasa. Lema Anaenda anapunguza convincing power mdogomdogo... Mwisho wa siku atarudi kwenye fani yake ya Gereji.
 
MA CCM HAYOOOO.... MAGAMBA HAYOOOOO..... MCHUMIA TUMBO HUYOOOOOO!!!! MGANGA NJAAA HUYOOOOOOOOOOO!!!!!!
 
CHADEMA katika Jiji la Arusha kunafukuta moto wa kisiasa!

Tunauona moshi wa kisiasa na kilichobaki ni moto wa kisiasa kulipuka!

Je,moto ukiwaka utakiteketeza chama au utazimwa kabla haujaleta athari kubwa!

Muda utatoa jibu sahihi!
Kabisa mkuu
 
Chadema imeshajifia huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…