Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jizaaaaaaaaaaaazzzzzzzzzzz!!!!! Mutta hawezi chomoka hapo. Atatekwa tena, mdugu wawe makini, tena sahivi hawatamuona mazima, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ashura kama Ashura. Diwani alikua sehemu salama sana hahahahahahahahaView attachment 2236886
Hatari nanusu shos angalia wasijehisi amepewa limbwata kumbe kakolea mwenyewe!🤣🤣[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] nataka wamtafute had wachoke, kumbe nimemteka mie.
Huyo mwanamke ana huruma mno.Akutwa kwa mwanamke wa kizaramo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] kumbe ni huyu, halali yake.Zigo la kuvunja chaga
USSR View attachment 2237076View attachment 2237077View attachment 2237078View attachment 2237079
Ashura mwanamke mwenzetu mwenye nyota ya kung'aa uishi sana.
Ndugu yangu wa karibu aliponea chupuchupu kupigwa kiwanja na MutaAmewahi kukutapeli Kiwanja?
DuuuuuuhYes mke ninamuonea huruma. Halafu huyo Ashura Macheni wanasema alikuwa mke wa Hussein Macheni ambae ni marehemu. Inasemekana ana moto.
[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] khaaaaahHili ni jini,kama hujabonea kwenye sekta hii kupotea ni kawaida saana[emoji23][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Asante Mrangi kwa kazi nzuri ambayo kama bila wewe Jeshi la polisi kuanzia RPC na mkuu wa Jeshi la polisi wangechafuka kuwa huyo diwani katekwa na wasiojulikana kumbe yuko kwenye kifua cha malaya analia nipe nipe kingine nasikia nyege
Sasa code tulishindwa kufungua coz sio celeb au famous huyo Ashura lol.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2237379View attachment 2237380
[emoji26][emoji53]Waumini Kama kawaida yenu mjitokeze Kwa wingi pastor karejea View attachment 2236952
Mtoto wa marehemu mtumishi amejidhalilishaAsante Mrangi kwa kazi nzuri ambayo kama bila wewe Jeshi la polisi kuanzia RPC na mkuu wa Jeshi la polisi wangechafuka kuwa huyo diwani katekwa na wasiojulikana kumbe yuko kwenye kifua cha malaya analia nipe nipe kingine nasikia nyege
Ashura MacheniHahaha
Kuna comment moja nlichangia uzi
Wa johnthebaptist nlisema jamaa
Yupo tbt, na inasemekana yuko na dem....anaitwa A.M
Sasa mnamjua huyo A.m ni nani???
Watu mlishindwa ngamua code humu
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] tena ntamchanganya vyote, limbwata la mjini na la kijijini, wazazi na ndugu zake awaone mbwa tyuuh.Hatari nanusu shos angalia wasijehisi amepewa limbwata kumbe kakolea mwenyewe![emoji1787][emoji1787]