Diwani wa Kawe aliyetoweka tangu Februari akutwa Tabata kwa Mwanamke

Diwani wa Kawe aliyetoweka tangu Februari akutwa Tabata kwa Mwanamke

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] nataka wamtafute had wachoke, kumbe nimemteka mie.
Hatari nanusu shos angalia wasijehisi amepewa limbwata kumbe kakolea mwenyewe!🤣🤣
 
Leo zimeenea habari sana kuhusu dada mmoja wa kizaramo aitwae Ashura, mwenye photo yake aitupie humu tumuone, ni dada wa aina gani huyo hadi ashindwe kuwatumikia wananchi wake.
 
Asante Mrangi kwa kazi nzuri ambayo kama bila wewe Jeshi la polisi kuanzia RPC na mkuu wa Jeshi la polisi wangechafuka kuwa huyo diwani katekwa na wasiojulikana kumbe yuko kwenye kifua cha malaya analia nipe nipe kingine nasikia nyege
[emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Maskini atakuwa karogwa kwisha kazi!

Lakini anadai ni marafiki wa takriban miaka 10,


Mkewe asijali sana huenda Kwa tukio hili ikawa ndio mwisho wa mahusiano wa mume wake na huo mchepuko.

Lakini kuna kazi ya ziada ya kufanya mke na ndugu wa Muta ya kufanya kumuachanisha na huo mchepuko la sivyo siyo rahisi.

Huruma nyie jamani Mwanaume wa watu!

Hata akili alonayo itakuwa sio yake nakwambia!

Walioko karibu naye watakapomuuliza maswali utakuta anajibu upumbavu upumbavu tu !
 
Asante Mrangi kwa kazi nzuri ambayo kama bila wewe Jeshi la polisi kuanzia RPC na mkuu wa Jeshi la polisi wangechafuka kuwa huyo diwani katekwa na wasiojulikana kumbe yuko kwenye kifua cha malaya analia nipe nipe kingine nasikia nyege
Mtoto wa marehemu mtumishi amejidhalilisha
 
Miaka yote 10 kuwa marafiki Je hawajazaa ?

Hata Kwa kuchomekewa mtoto ?

Huruma sana Kwa mkewe na waumini!
 
Hatari nanusu shos angalia wasijehisi amepewa limbwata kumbe kakolea mwenyewe![emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] tena ntamchanganya vyote, limbwata la mjini na la kijijini, wazazi na ndugu zake awaone mbwa tyuuh.
Woiiiiiiiiiiiih!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom