Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Mama yake ndio alikuwa mchungaji Nafikiri Yeye baada ya mama yake kufariki alikuwa hapo kama msimamizi wa shughuli ya mama yake.Sidhani kama Yeye ni mchungaji.Ila Hilo kanisa ni la mama yake!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama yake ndio alikuwa mchungaji Nafikiri Yeye baada ya mama yake kufariki alikuwa hapo kama msimamizi wa shughuli ya mama yake.Sidhani kama Yeye ni mchungaji.Ila Hilo kanisa ni la mama yake!
Dah, hilo ni gumu.😭Yes ni Mchungaji akirithi kazi ya mama yake Mchungaji Kiongozi Dr Getrude Rwakatare
Kuna watu wanapigwa kingese sanaWaumini Kama kawaida yenu mjitokeze Kwa wingi pastor karejea View attachment 2236952
Hakupotea alilewa akaenda kwa mchepuko wake kuburudika.Diwani wa CCM Wilaya ya kinondoni akijulikana kwa jina la ukoo wa Rwakatale amabaye alikuwa akitafutwa na ndugu na jamaa zake amekutwa ktk nyumba ya mwanamke mmoja aitwae Ashura huko Tabata kwa mujibu wa taarifa za polisi leo.
Polisi wanadai Mwanamke huyo kwa kabila ni mzaramo alikuwa na diwani huyo kwa wakati wote na alifika kwake akiwa ktk hali ya ulevi. Ikumbukwe kuwa Meya wa kinondoni alisha wahi kutoa taarifa za kupotea kwa Diwani huyo na akasema anazo taarifa kuwa huenda kuna watu wamemficha.
Tunaomba huyo mwanamke Ashura apewe ulinzi mkali na ajengewe Sanamu asije kudhuriwa na watu wabaya wasio litakia mema taifa hili wanao tumiwa na Mabeberu. Na pia nyumba yake iwekwe ktk orodha ya vivutio vya watalii na Mali asili ya taifa hili.
Maendeleo hayana Vyamaa.
una uelewa kiasi gani mpaka usijue kama polisi wanafanya upelelezi?Walijuaje kuwa yupo kwa huyo mzaramo?
Hawa watoto wanamdhalilisha Sana marehemu mama Yao mhe. Rwakatale..
Hivi walevi huwa wanasahau njia ya kurudi nyumbani kweli?Ulevi nipate na mimi nijikute niko kwa mwajuma wa mpalange.
Ashura woman of the match
Nakubaliana na wewe 100 kwa 100Askofu Mgetta alikosea Sana kumpa uchungaji msaidizi Bwana Mutta alikuwa bado hajaiva. Nadhani alifanya hivyo ili kufurahisha familia, ila Leo Mambo yamemgeukia.
Hakuna mwanamke wa Hivyo,Usikute Diwani alikuwa anakesha kwenye Beseni tu nguo zote zimelowekwa.Duu..kwaio kipindi chote hiki diwani anatafutwa kwanini huyo mwanamke asingetoa taarifa kuwa yupo nae wanakula uroda?
Sent using Jamii Forums mobile app
mirathi sio poaJeshi la Polisi Kanda maalum Dar es Salaam limesema Diwani wa Kata ya Kawe, Mutta Rwakatare aliyetoweka tangu mwezi wa pili amekutwa nyumbani kwa mwanamke mmoja Tabata.
Mwanamke huyo Ashura Ally anasema kuwa Diwani huyo alifika nyumbani kwake akiwa katika hali ya ulevi.
View attachment 2236722
Pia soma > Meya wa Kinondoni atangaza kupotea kwa Diwani wa Kawe ambaye inasemekana amefichwa
Wiki iliyopita milileta uzi nikimnukuu Meya wa Kinondoni mh Songoro akitangaza kupotea kwa Diwani wa Kawe mh Mutta.Rwakatare
Kamanda Mrangi alicomment.luwa Muta.atakuwa amefichwa na A M huko Tabata.
Leo Mutta kapatikana huko huko Tabata kwa Ashura
Siasa siyo uadui ubarikiwe.kamanda.Mrangi wa Ufipa st
Kama wewe sio legend kwenye mambo haya,unaweza jitangazia kifo chako kabisa,wasihangaike kukutafuta. 😂😍Ashura kama Ashura. Diwani alikua sehemu salama sana hahahahahahahahaView attachment 2236886
Hili ni jini,kama hujabobea kwenye sekta hii kupotea ni kawaida saana😂🤣Ndo huyu bi dadaView attachment 2237085
Huu ni maalumu kutambua.mchango wa mkuu.MrangiHuu Uzi uunganishwe
Kwani Mlima wa moto haujamsaidia mtoto wa aliyekuwa mchungaji mkuu waoJeshi la Polisi Kanda maalum Dar es Salaam limesema Diwani wa Kata ya Kawe, Mutta Rwakatare aliyetoweka tangu mwezi wa pili amekutwa nyumbani kwa mwanamke mmoja Tabata.
Mwanamke huyo Ashura Ally anasema kuwa Diwani huyo alifika nyumbani kwake akiwa katika hali ya ulevi.
View attachment 2236722
Pia soma > Meya wa Kinondoni atangaza kupotea kwa Diwani wa Kawe ambaye inasemekana amefichwa