Diwani wa Kawe aliyetoweka tangu Februari akutwa Tabata kwa Mwanamke

Diwani wa Kawe aliyetoweka tangu Februari akutwa Tabata kwa Mwanamke

Mama yake ndio alikuwa mchungaji Nafikiri Yeye baada ya mama yake kufariki alikuwa hapo kama msimamizi wa shughuli ya mama yake.Sidhani kama Yeye ni mchungaji.Ila Hilo kanisa ni la mama yake!
1653415508227.png
 
Diwani wa CCM Wilaya ya kinondoni akijulikana kwa jina la ukoo wa Rwakatale amabaye alikuwa akitafutwa na ndugu na jamaa zake amekutwa ktk nyumba ya mwanamke mmoja aitwae Ashura huko Tabata kwa mujibu wa taarifa za polisi leo.

Polisi wanadai Mwanamke huyo kwa kabila ni mzaramo alikuwa na diwani huyo kwa wakati wote na alifika kwake akiwa ktk hali ya ulevi. Ikumbukwe kuwa Meya wa kinondoni alisha wahi kutoa taarifa za kupotea kwa Diwani huyo na akasema anazo taarifa kuwa huenda kuna watu wamemficha.

Tunaomba huyo mwanamke Ashura apewe ulinzi mkali na ajengewe Sanamu asije kudhuriwa na watu wabaya wasio litakia mema taifa hili wanao tumiwa na Mabeberu. Na pia nyumba yake iwekwe ktk orodha ya vivutio vya watalii na Mali asili ya taifa hili.
Maendeleo hayana Vyamaa.
Hakupotea alilewa akaenda kwa mchepuko wake kuburudika.
 
Hawa watoto wanamdhalilisha Sana marehemu mama Yao mhe. Rwakatale..

Anatudhalilisha hata sisi tunaoishi kata ya KAWE kuwa na DIWANI mlevi namna hiyo kwani hawezi kutuwakilisha ipasavyo!! Kuna umuhimu huyu Diwani achukuliwe hatua za kinidhamu ikiwemo kutolewa Katika majukumu ya UDIWANI kwani hana hadhi ya kuwa muwakilishi mzuri.
 
Wiki iliyopita milileta uzi nikimnukuu Meya wa Kinondoni mh Songoro akitangaza kupotea kwa Diwani wa Kawe mh Mutta.Rwakatare


Kamanda Mrangi alicomment.luwa Muta.atakuwa amefichwa na A M huko Tabata.

Leo Mutta kapatikana huko huko Tabata kwa Ashura

Siasa siyo uadui ubarikiwe.kamanda.Mrangi wa Ufipa st
 
Huu Uzi uunganishwe
Wiki iliyopita milileta uzi nikimnukuu Meya wa Kinondoni mh Songoro akitangaza kupotea kwa Diwani wa Kawe mh Mutta.Rwakatare


Kamanda Mrangi alicomment.luwa Muta.atakuwa amefichwa na A M huko Tabata.

Leo Mutta kapatikana huko huko Tabata kwa Ashura

Siasa siyo uadui ubarikiwe.kamanda.Mrangi wa Ufipa st
 
Back
Top Bottom