Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawapa pole waumini wa Mch Msaidizi Mutta Rwakatare wa Kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni B shetani alimpitia Mtumishi 🙈😭
Itawagharimu sana hapo mikocheni b, ila hawajachelewa wamtenge kwanza mengine yaendeleeAskofu Mgetta alikosea Sana kumpa uchungaji msaidizi Bwana Mutta alikuwa bado hajaiva. Nadhani alifanya hivyo ili kufurahisha familia, ila Leo Mambo yamemgeukia.
Walijuaje kuwa yupo kwa huyo mzaramo?Akutwa kwa mwanamke wa kizaramo
Akili mukichwa Abdul nondo aliambiwa alikwenda kwa dem wake Iringa, Mo nae alikutwa gymkhana baada ya kutafutwa sana, na Roma alipatikaneje alivyopotea. Nchi hii unaweza ukahifadhiwa na baadae ukapewa uzushi usio na maana kukuchafua.
Mpaka sasa hivi tabata ina masuper star wawili wanaotambulika kitaifa.karibuni tabata[emoji28][emoji28]
Huenda alikuwa ktk maombi ya siri
Mama yake ndio alikuwa mchungaji Nafikiri Yeye baada ya mama yake kufariki alikuwa hapo kama msimamizi wa shughuli ya mama yake.Sidhani kama Yeye ni mchungaji.Ila Hilo kanisa ni la mama yake!Yes ni Mchungaji akirithi kazi ya mama yake Mchungaji Kiongozi Dr Getrude Rwakatare
Wanagombania mali ya mama yao iliyopatikana kwa makusanyo ya sadaka?Diwani alikuwa anafinyiwa kwa ndani miezi miwili, Kwa raha zake.
Ila tukumbuke hawa watoto wa Rwakatare Wana mgogoro wa mirathi, ukute Jamaa alitaka kujiweka mbali na masaibu ya dunia ndio akaamua akajifungie kwa mtoto wa kizaramo atulize kichwa, sasa kashakaa sawa kajitoa nje aendeleze mapambano.
Inauzwa buku 10 tu wasiliana na Mutta umuachie chake akutumie pichaPicha ya Ashura tafadhali
Uchungaji haurithiki Bali hutoka Kwa Mungu unless huyo mtoto awe na wito!Yes ni Mchungaji akirithi kazi ya mama yake Mchungaji Kiongozi Dr Getrude Rwakatare
Hata kupatikana kwa Mo Dewji wa Simba bado ni kitendawili jinsi alivyo tekwa na kupatikana kwake.Akili mukichwa Abdul nondo aliambiwa alikwenda kwa dem wake Iringa, Mo nae alikutwa gymkhana baada ya kutafutwa sana, na Roma alipatikaneje alivyopotea. Nchi hii unaweza ukahifadhiwa na baadae ukapewa uzushi usio na maana kukuchafua.
Diwani anatelekeza jimbo? Na mbunge je? Huyo kaitelekeza kataDiwani mlevi katelekeza jimbo
Baada ya hela za mauzo ya urithi kuisha sasa amepatikana kwa ashura
Mji una mambo huu