Diwani wa Kawe aliyetoweka tangu Februari akutwa Tabata kwa Mwanamke

Diwani wa Kawe aliyetoweka tangu Februari akutwa Tabata kwa Mwanamke

Diwani na Ashura wameleta taharuki!
 
Ashura kabila mzaramo
IMG-20220524-WA0016.jpg
 
Wanamchafua kwa sababu gani?

Akili mukichwa Abdul nondo aliambiwa alikwenda kwa dem wake Iringa, Mo nae alikutwa gymkhana baada ya kutafutwa sana, na Roma alipatikaneje alivyopotea. Nchi hii unaweza ukahifadhiwa na baadae ukapewa uzushi usio na maana kukuchafua.
 
Yes ni Mchungaji akirithi kazi ya mama yake Mchungaji Kiongozi Dr Getrude Rwakatare
Mama yake ndio alikuwa mchungaji Nafikiri Yeye baada ya mama yake kufariki alikuwa hapo kama msimamizi wa shughuli ya mama yake.Sidhani kama Yeye ni mchungaji.Ila Hilo kanisa ni la mama yake!
 
Diwani alikuwa anafinyiwa kwa ndani miezi miwili, Kwa raha zake.

Ila tukumbuke hawa watoto wa Rwakatare Wana mgogoro wa mirathi, ukute Jamaa alitaka kujiweka mbali na masaibu ya dunia ndio akaamua akajifungie kwa mtoto wa kizaramo atulize kichwa, sasa kashakaa sawa kajitoa nje aendeleze mapambano.
Wanagombania mali ya mama yao iliyopatikana kwa makusanyo ya sadaka?

Haziwatoshi kichwani hao wana.
 
Akili mukichwa Abdul nondo aliambiwa alikwenda kwa dem wake Iringa, Mo nae alikutwa gymkhana baada ya kutafutwa sana, na Roma alipatikaneje alivyopotea. Nchi hii unaweza ukahifadhiwa na baadae ukapewa uzushi usio na maana kukuchafua.
Hata kupatikana kwa Mo Dewji wa Simba bado ni kitendawili jinsi alivyo tekwa na kupatikana kwake.
Kikwete alituachia msemo kuwa Akili za kuambiwa changanya na zako.
 
Back
Top Bottom