johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
HakikaJF ni FBI inayo ongea kwa ishara za bubu lakini inaeleweka na hutoa matokeo chanya kwa asilimia 90 .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakikaJF ni FBI inayo ongea kwa ishara za bubu lakini inaeleweka na hutoa matokeo chanya kwa asilimia 90 .
Alifichiwa nguo 🤣🤣Akutwa kwa mwanamke wa kizaramo
Kashikika...baharia wa kihaya
Kwisha kisiasa..Diwani mlevi katelekeza jimbo
Mtoto wa marehemu mtumishi, mama yake alikuwa anamfichia aibu, Mungu amuweke mahala pema mam mchungaji, sijui mabilioni yake yameishia wapi.Diwani mlevi katelekeza jimbo
Kama ni mlevi hivyo ilikuwaje wananchi wa Kawe wakamchagua kuwa diwani wao?!Jeshi la Polisi Kanda maalum Dar es Salaam limesema Diwani wa Kata ya Kawe, Mutta Rwakatare aliyetoweka tangu mwezi wa pili amekutwa nyumbani kwa mwanamke mmoja Tabata.
Mwanamke huyo Ashura Ally anasema kuwa Diwani huyo alifika nyumbani kwake akiwa katika hali ya ulevi.
View attachment 2236722
Pia soma > Meya wa Kinondoni atangaza kupotea kwa Diwani wa Kawe ambaye inasemekana amefichwa
Amewahi kukutapeli Kiwanja?Umesahau kuwa ni tapeli wa viwanja hapa kawe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jeshi la Polisi Kanda maalum Dar es Salaam limesema Diwani wa Kata ya Kawe, Mutta Rwakatare aliyetoweka tangu mwezi wa pili amekutwa nyumbani kwa mwanamke mmoja Tabata.
Mwanamke huyo Ashura Ally anasema kuwa Diwani huyo alifika nyumbani kwake akiwa katika hali ya ulevi.
View attachment 2236722
Pia soma > Meya wa Kinondoni atangaza kupotea kwa Diwani wa Kawe ambaye inasemekana amefichwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie Ashura amefaidi wallah, sio kwa mutta huyu mweeeh, mbna angesepa nae mbali huko.Umeona eeeh, Yani hili unalifungia, unaliogesha maji ya hiriki na vanilla, unalilisha....na kulipa yooooteee.
Mimi huyu polisi wasingemuona Leo.
Pole mkewe. Huyu mtoto wa mama Rwakatare ni mlevi kupindukia. Na hivi mama yake hayupo duniani kwa sasa,hall ndo imekuwa mbaya zaidi. Ajiuzulu tu huo udiwani.
Sasa code tulishindwa kufungua coz sio celeb au famous huyo Ashura lol.Una taka nimalizie
Haha,ukimjua mbn utashanga
Ngoja tuishie hapa
Naona sahv mambo yako kifamilia zaidi
Ova
Kwani nyie wamagoma na wamahanji hamtishi?Ashura anatishaa wazaramo hataree au nasema uongo jamani, msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2237379View attachment 2237380
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] nataka wamtafute had wachoke, kumbe nimemteka mie.Mbona balaaa shos nahio mizagamuo usije ukampoteza Mtoto wawatu [emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787] ?!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji23]Hao ukijaribu kutoka kazi sana. Na hawana gharama za kwenda vacations sijui kidimbwi
Tatizo huchelewi kunogewa unajikuta unamnunulia kiwanja chanika huko unamjengea nyumba kama utani