Diwani wa Kawe aliyetoweka tangu Februari akutwa Tabata kwa Mwanamke

Ashura huyu demu anatumia dawa gani? kala hela za marehemu mcheni kamfilisi vijihela vilivyokuwa vimebaki akafungua ka bar pale karibu na mateja mwananyamala kituoni sijui bado ipo?
yaani uliikuwa unamkuta marehemu macheni pale anatia huruma na macheni yake sijui feki yale halafu bibiye pembeni kapakatwa na yule m congo muimbaji wa Diamond sound anaitwa liva sultan ambaye alikuwa analelelewa na huyu dada
 
Mrangiiiiiiiiiiiiii brazaaaaa utakuwa ushapigaaaaa.
 
Watu wanababaikia jina tu wawe naye nao wawe maarufu hakuna jipya
Kuna mshikaji mmja alishaanza kujisogeza kwake amuoe alafu ampeleke ujerumani
Jamaa aliwaka sana,mpaka kuzungumza naye aelewe ilikuwa shuguli
Watu wanababaika na majina,ah namla fulani mjini kmbe ujingaa tu

Ova
 
Hawa watoto wanamdhalilisha Sana marehemu mama Yao mhe. Rwakatale..
kuna ukweli gani wakati huyu jamaa ni mchungaji msaidizi wa kanisa la mama yake nadhani wiki hizi ndo kateuliwa kuwa mchungaji msaidizi.
 
huamini kuwa ni kaka yake? Si unaona hata maza alimjua?

 
Haiishiwi helahuyo mamayaokawaachia helanyingingisana mchungaji rwakatale
 
Nilikua mitaa hiyo nacheck movie lote.huyo rama kadata mpk leo sijui km kapona
 

[emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…