Diwani wa Kawe aliyetoweka tangu Februari akutwa Tabata kwa Mwanamke

Duh!!.. ni hatari huyo
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] bado wee, tena wee ndo utafia kifuani kabisaaa.
Wewe si ulinipiga kibuti? Uliona nitafaidi sana. Mi namwachia Mungu. Iko siku utanikumbuka
 
He!!,...Macheni nae mtoto wa mjini alilewa nini.
Bora ameenda kupumzika.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eeeeh na malipo ya chimbo ndo umekausha? Au unataka mwenzio nisionekane mwezi mzima?
Usiniafanyie hivyo lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa nalipaje bila account namba..😂🤣

Halafu pesa yangu unataka uile kazi usiifanye, chimbo umegoma kunitajia.
Yaani kuliwe kwa mwali tu,halafu kwa kungwi kusiliwe. Vibaya hivyo.
 
Hata mimi ninatamani nipotee kwa staili hii. Hii mijimama ya Kizaramo inajua sana. Nataka nikamuliwe haswa,nikitoka huko naanza moja.
 
Nina mashaka na hizi Tuhuma Zako kama ni za Kweli, haiwezekani Mtu ana tuhuma zaidi ya Elfu Moja na zinajulikana alafu mnamuacha aendelee kuwa Diwani wenu, basi nyinyi ndio wapuuzi na hamna akili.
Duu mkuu kama huamini muulize mtu kama mrangi atakuwa ana mjua vema Muta sijamjua leo wala jana

Huyo ana kesi za viwanja km zote pale kawe
 
[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mzaramo mchezo? Ukute amempa limbwata la kisasa, hachomoki kamweeeee.
Kwanin mnawaza limbwata tuu na sio mambo mengine[emoji23][emoji23]?labda inawezekana Ashura anachompa jamaa mke wake hawezi kumpa [emoji9][emoji849]
 
Duu mkuu kama huamini muulize mtu kama mrangi atakuwa ana mjua vema Muta sijamjua leo wala jana

Huyo ana kesi za viwanja km zote pale kawe
Kesi inatakiwa iwe Mahakamani na Sio Polisi. Polisi ni tuhuma tu. Mimi mwenyewe namfahamu Muta pia tumeishi nae Kkoo kabla hawajahamia Mikocheni na US Alabama ili mimi nilitangulia kurudi Bongo. Namfahamu tumekua wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…