Diwani wa Kawe aliyetoweka tangu Februari akutwa Tabata kwa Mwanamke

Ahsante sana. Endelea na mamishedede yako. Kizazi kikisogezwa usije hospitalini kwangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mikunyenge kwa kwenda mbele, sasa raha ya mzagamuo nn? Unazama had utumbo unapanda juuu.

Woyoooooooooooh
 
Hizi ni tambia mbaya za wanachama wetu watiifu
 
KARIBUNI IBADANI JUMAPILI TUMKEMEE SHETANI
 

Attachments

  • FB_IMG_16535221729201592.jpg
    65.2 KB · Views: 17
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
'.….amekabidhiwa kwa ndugu zake kwa matibabu na ....kisaikolojia'' imeisha hiyo!


Nasubiri wazee wa 50/50 watie neno. Hivi ingekuwaje mtekwaji angekuwa mwanamke na mtekaji mwanaume[emoji849][emoji849]

Sijui hizi sheria kuna sehemu zinafumba macho!
 
Pole mkewe. Huyu mtoto wa mama Rwakatare ni mlevi kupindukia. Na hivi mama yake hayupo duniani kwa sasa,hall ndo imekuwa mbaya zaidi. Ajiuzulu tu huo udiwani.
Huyo hatukumchagua sisi.Mzee alimchongea huko.Sijui mzee alimwonaje kwani hata sisi tulishangaa.Wako wengi wa aina yake,Tusubiri wanakuja kwa group tena kwa kasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…