Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kakutwa kwa Ashura .Jeshi la Polisi Kanda maalum Dar es Salaam limesema Diwani wa Kata ya Kawe, Mutta Rwakatare aliyetoweka tangu mwezi wa pili amekutwa nyumbani kwa mwanamke mmoja Tabata.
Mwanamke huyo Ashura Ally anasema kuwa Diwani huyo alifika nyumbani kwake akiwa katika hali ya ulevi.
View attachment 2236722
Pia soma > Meya wa Kinondoni atangaza kupotea kwa Diwani wa Kawe ambaye inasemekana amefichwa
Hakika ukute mrangi ndie bi A.M mwenyeweWw noma ama ndo ashura mwenyewe nn[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]Hela imeisha
Akapambane na maisha yake
Ashura mbinguni moja kwa moja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Miezi mitatu alikuwa kalewa tu! Kwanini asiibukie kituo cha polisi au kanisani
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Ashuraaaa [emoji16] ajengewe sanamu kabisa.
Jeshi la Polisi Kanda maalum Dar es Salaam limesema Diwani wa Kata ya Kawe, Mutta Rwakatare aliyetoweka tangu mwezi wa pili amekutwa nyumbani kwa mwanamke mmoja Tabata.
Mwanamke huyo Ashura Ally anasema kuwa Diwani huyo alifika nyumbani kwake akiwa katika hali ya ulevi.
View attachment 2236722
Pia soma > Meya wa Kinondoni atangaza kupotea kwa Diwani wa Kawe ambaye inasemekana amefichwa
Huyo Ashura ana cheo gan nawee?Hahaha
Kuna comment moja nlichangia uzi
Wa johnthebaptist nlisema jamaa
Yupo tbt, na inasemekana yuko na dem....anaitwa A.M
Sasa mnamjua huyo A.m ni nani???
Watu mlishindwa ngamua code humu
Ova
[emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Diwani kazezeteshwaView attachment 2236752
Hell anazo yule mam ake kamuachia ukwazi mkubwaHela imeisha
Akapambane na maisha yake
Ashura mbinguni moja kwa moja
Hapana chezea Ashura Shos!!ππ Kwahio alivomuona kalewa sana ndio akamfanyeje sasa Diwani wawatu??πππππ€£Jaman huyu umbea haujakamilika, tuleteeni picha ya Ashura puliiiizzzz. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]
mahondaw shouzzzzzz njoo huku, woiiiiiih
Madiwani wa Chadema ni vyapombe sanaPole mkewe. Huyu mtoto wa mama Rwakatare ni mlevi kupindukia. Na hivi mama yake hayupo duniani kwa sasa,hall ndo imekuwa mbaya zaidi. Ajiuzulu tu huo udiwani.
π€£π€£chezeya mambo ya kufinyiwa ndani weye,,,mhaya kaleweshwa na toto la kizaramo hadi kasahau kwakeJeshi la Polisi Kanda maalum Dar es Salaam limesema Diwani wa Kata ya Kawe, Mutta Rwakatare aliyetoweka tangu mwezi wa pili amekutwa nyumbani kwa mwanamke mmoja Tabata.
Mwanamke huyo Ashura Ally anasema kuwa Diwani huyo alifika nyumbani kwake akiwa katika hali ya ulevi.
View attachment 2236722
Pia soma > Meya wa Kinondoni atangaza kupotea kwa Diwani wa Kawe ambaye inasemekana amefichwa
Nipo njiani naelekea kwa Ashura kuchukua madesa, na mie nimteke mtoto wa mama mkwe, tena nae analewa ndo kabisaaaa.Hapana chezea Ashura Shos!![emoji23][emoji23] Kwahio alivomuona kalewa sana ndio akamfanyeje sasa Diwani wawatu??[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]"Muheshimiwa mpenzi wangu Ashura".Huyo jamaa si ndo yule mtoto wa marehem Getrude Rwakatale aliekua anajitambulisha kwenye msiba kuwa..
Mimi ndiye mtoto wa muheshimiwa Getrd Rwakatale naitwa Muheshimiwa Rutta Rwakatale
Kwa sasa tumekutana familia Kaka yangu Muheshimiwa ... Na dada yangu Muheshimiwa ...
Baada ya kikao waheshimiwa tutatoa ratiba kamili ya mazishi ya Muheshimiwa mama yangu
Yaan kila kitu muheshimiwa sahivi ukimuhoji utaskia.. Nilikua kwa Muheshimiwa mpenzi wangu Ashura
Woiiiiiih halali Ashura amteke huyu Mutta, lipo vizuri physically had financially, kwan asijiongeze? Khaaaah we lol.Muta mwenyewe wachungaji hawa bwana View attachment 2236783
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app