🤣🤣🤣Hivi nyie Wazee Wetu ( Baba zetu ) kwanini mnaacha Kutulia Majumbani na Mama zetu hadi mnahangaika na ' Vibinti ' vidogo ambavyo hata Sisi Vijana wenu akina Generalist vinatutoa Jasho Vitandani ila huwa tunawaweza tu kwa Msaada wa Vumbi la Kongo?
Wakufwe tu, hakuna namnaLast week nilikua nimesafiri kias jion naenda dukan ninunue panadol kwa pilikapika za kutwa nzima nikapita bar duka linalofata ni duka la vyakula...so kuna mbabu age amempita babangu akaniita kwa kejeli balaa..wee binti njoo hapa...alikua anagonga kvant..kwanza nilishangaa anagongaje kvant na age hiyo..amezungukwa n wapambe..anaonekana kama don hapo kijijini ..hahaa akaniambia nataka niutumie huo mwili leo🤣...tena kwa kujiamini..,nikamjibu katumie wa mkeo ...unabak kujiuliza huyu anadisa??nyok o zao wafe tu
🤣🤣🤣
Walahi nimecheka kama mazuri
Ndio ishakua fedheha, wamsitiri tu..Utakuja kisikia kwenye risala wanasema amekufa sababu ya changamoto za upumuaji CCM hawashindwi kitu.
Sande...ukwikala kwiKaribu ulasi
Wewe mmbea tupe taarifa za mazishi ,je mwili upo wapi Mzena au Lugalo?Na atazikwa wapi Kino au?
Ghafla ndio imekua kama fasheni mpya.Wazee Wetu wanataka tu Kufia Viunoni.
Wazee hawakomi!! Huko chini kuna nini lakini!!!
Last week nilikua nimesafiri kias jion naenda dukan ninunue panadol kwa pilikapika za kutwa nzima nikapita bar duka linalofata ni duka la vyakula...so kuna mbabu age amempita babangu akaniita kwa kejeli balaa..wee binti njoo hapa...alikua anagonga kvant..kwanza nilishangaa anagongaje kvant na age hiyo..amezungukwa n wapambe..anaonekana kama don hapo kijijini ..hahaa akaniambia nataka niutumie huo mwili leo🤣...tena kwa kujiamini..,nikamjibu katumie wa mkeo ...unabak kujiuliza huyu anadisa??nyok o zao wafe tu
Tuheshimiane....kapanue weweHukumpanulia kweli na Vyuma Kukaza?
Ila si nasikia vumbi halisadii ka huna stamina ya kusimamisha mnara....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]siku hizi kuna vumbi la kongo dada
MbalamaziwaSande...ukwikala kwi
Dah .nimekumbuka mbali sana...!sie tulikua tunatokea hapo nyololo tukitokea viwanda vya chai be...Mbalamaziwa
Nitakuja kukutembela siku mojaDah .nimekumbuka mbali sana...!sie tulikua tunatokea hapo nyololo tukitokea viwanda vya chai be...
Nilishaondoka huko mkuu 11yrs ago..nilikuja juz mafinga pameniboa eti ...papo papo tu hata sehen za kula nzuri hakuna unapelekwa migawahani😒Nitakuja kukutembela siku moja
Usijali nitakupeleka sehemu nzuri😘Nilishaondoka huko mkuu 11yrs ago..nilikuja juz mafinga pameniboa eti ...papo papo tu hata sehen za kula nzuri hakuna unapelekwa migawahani😒
Ivi mbagala kuu na kijichi ni sehem mmoja au tofauti?
😆😆Kuna vizee miyeyusho sana