Kwa sababu hakuna wa kuwauliza "ile gari uliyo_post mtandaoni mbona haionekani kwenye rekodi zetu" au "ulipata wapi pesa ya kununulia"!?YA MITANDAONI, YASIKIE, YAANGALIE, YASOME. YA ACHE HUKO HUKO. YAKO MBALI SANA NA UKWELI.
AMINI, WEWE UNAWEZA KUWA NA MAISHA MAZURI KULIKO HAO UNAO WAFIKIRIA.
KUMBUKA,UNAPO AMBIWA TAFUTA PESA WANA MAANISHATUMIA NJIA ZOTE HARAMU NA HALALI. HIVYO KUNA MALI ZA KAFARA, UCHAWI, DHURUMA, MAGENDO, KUTAKATISHA PESA, KUKWEPA KODI, RUSHWA.
NA NDIO UTAAONA WAKATI WA AWAMU DHAIFU, MATAJIRI WENGI UJITOKEZA
Tanzania biashara ya ng'anda sasa hivi iko juu. Hawa wote sijui wasanii, wajasiariamali wenye kelele sana nk. wanafanya biashara ya unga.Wasukuma kete hao jichanganye
Mimi naona wapo sawa wana inspire vijana wengi sanaaBILLGATE-nilianzia mbali kutafuta, changamoto ni nyingi.
DANGOTE-nilikopeshwa na babu,ila changamoto ni nyingi sana kufika hapa,usikate tamaa.
MO-safari ya mafanikio sio rahisi,inahitaji kujikana.
MENGI-I can,I must,I will jiambie hivi.
Godlove,ally B-kijana tafuta hela,acha kukaa megetoni,cheki ndinga zangu,acheni uvivu vijanaπππππ
Shida inakuja mkiambiwa mlete ushahidi?π hapo ndio shuguli inPoanziaTanzania biashara ya ng'anda sasa hivi iko juu. Hawa wote sijui wasanii, wajasiariamali wenye kelele sana nk. wanafanya biashara ya unga.
Sasa mtu asiwe na pesa kisa ndugu?Nilimuona TikTok akiwa Morogoro kamtembelea Bibi yake Mzee,kile kitanda anacholalia Bibi yake na yale mazingira ya Chumba hata ya Mbwa wangu nyumbani yana nafuu,hizi show off za kuonyesha ana pesa nyingi wakati ndugu zake wanaishi jalalani sidhani kama zina faida
Uko sahihi!Tanzania biashara ya ng'anda sasa hivi iko juu. Hawa wote sijui wasanii, wajasiariamali wenye kelele sana nk. wanafanya biashara ya unga.
Mimi ni mwendesha mashtaka ili kuleta ushahidi? Serikali ipo kwa sababu gani?Shida inakuja mkiambiwa mlete ushahidi?π hapo ndio shuguli inPoanzia
Nimecheka sana, kumbe hii comment ni serikali iliandika?πMimi ni mwendesha mashtaka ili kuleta ushahidi? Serikali ipo kwa sababu gani?
What elicited your laughter? Are you not aware that governmental bodies exist to investigate and furnish exhibits to the court? As a citizen, my duty entails raising my voiceNimecheka sana, kumbe hii comment ni serikali iliandika?π
Hongera ndugu
Tanzania biashara ya ng'anda sasa hivi iko juu. Hawa wote sijui wasanii, wajasiariamali wenye kelele sana nk. wanafanya biashara ya unga.What elicited your laughter? Are you not aware that governmental bodies exist to investigate and furnish exhibits to the court? As a citizen, my duty entails raising my voice
Vijana mipicha picha ya kwenye mitandao isiwachanganye,hao ukiwafuatilia sana unapotea,wengi wao mashoga hao
Sasa nyie wafuateni fuateni tu,nyuma ya pazia kuna uchafu mwingi
Tafuta pesa yako kidogo kidogo,ikuze taratibu
jijengeni taratibu haushindani na mtu hapa Duniani
YA MITANDAONI, YASIKIE, YAANGALIE, YASOME. YA ACHE HUKO HUKO. YAKO MBALI SANA NA UKWELI.
AMINI, WEWE UNAWEZA KUWA NA MAISHA MAZURI KULIKO HAO UNAO WAFIKIRIA.
KUMBUKA,UNAPO AMBIWA TAFUTA PESA WANA MAANISHATUMIA NJIA ZOTE HARAMU NA HALALI. HIVYO KUNA MALI ZA KAFARA, UCHAWI, DHURUMA, MAGENDO, KUTAKATISHA PESA, KUKWEPA KODI, RUSHWA.
NA NDIO UTAAONA WAKATI WA AWAMU DHAIFU, MATAJIRI WENGI UJITOKEZA
As a responsible citizen, I am obligated to voice any suspicions to authorities even without evidence because it contributes to maintaining public safety and upholding the rule of law . Reporting suspicions allows law enforcement to investigate and preventing potential harm to the community. I am just trying to promote a collective effort in ensuring a safe and orderly society.Tanzania biashara ya ng'anda sasa hivi iko juu. Hawa wote sijui wasanii, wajasiariamali wenye kelele sana nk. wanafanya biashara ya unga.
Hii sentensi kaongea serikali au wewe?
Ndio tunakuomba ushahidi sababu umesema hao wote wanafanya biashara hizo.
unaongea vipi huna ushahidi mkuu kichwani upo vzuri kweli?
Kweli tatizo la akili lipo unaulizwa kwamba tuonyeshe ushahidi. Unabaki kuandika ujinga itakucost shauri yakoAs a responsible citizen, I am obligated to voice any suspicions to authorities even without evidence because it contributes to maintaining public safety and upholding the rule of law . Reporting suspicions allows law enforcement to investigate and preventing potential harm to the community. I am just trying to promote a collective effort in ensuring a safe and orderly society.
It appears that you may be somewhat disconnected. Perhaps you are facing challenges in cognitive learning and reasoning. Have you ever read the Tanzanian constitution and understood the role of citizens in crime prevention and who is responsible for presenting evidence to the court? I would appreciate it if you could respond to this matter in English to facilitate a smoother understanding of my communication with you.Kweli tatizo la akili lipo unaulizwa kwamba tuonyeshe ushahidi. Unabaki kuandika ujinga itakucost shauri yako
Kwanini hujaenda polisi?ππ
Tuonyeshe ushahidi wa uliyoyasema, aya unafatwa sasa uambiwe hii kauli yake tupeleke au tupe ushahidi? Unakaa kupiga soga hapa wakat mamlaka husika zipo kwanini usiende huko kama kweli unataka kupaza sauti?
UNAFKI TU UMEKUJAA ππ
Weee si lazima kuongea kingereza si lugha yangu mama yangu.It appears that you may be somewhat disconnected. Perhaps you are facing challenges in cognitive learning and reasoning. Have you ever read the Tanzanian constitution and understood the role of citizens in crime prevention and who is responsible for presenting evidence to the court? I would appreciate it if you could respond to this matter in English to facilitate a smoother understanding of my communication with you.
Mkuu naona ulipoona umeshindwa hoja ukaamua kumpiga chenga jamaa kwa kubadili lugha, pengine ukidhani labda jamaa atashindwa then ata back down, ili wewe uonekane mshindi siyoIt appears that you may be somewhat disconnected. Perhaps you are facing challenges in cognitive learning and reasoning. Have you ever read the Tanzanian constitution and understood the role of citizens in crime prevention and who is responsible for presenting evidence to the court? I would appreciate it if you could respond to this matter in English to facilitate a smoother understanding of my communication with you.
Na jamaa anamjibu vizuri tu kwa kiswahili huku akifuta kila hoja yake nakuongeza hoja juu ya hoja kwa mdau.Mkuu naona ulipoona umeshindwa hoja ukaamua kumpiga chenga jamaa kwa kubadili lugha, pengine ukidhani labda jamaa atashindwa then ata back down, ili wewe uonekane mshindi siyo
Lakini elewa tu english is just a language not a measure of intelligence, comments zako nyingi huwa unaandika kwa kiswahili tena fasaha, iweje leo umlazimishe jamaa ajadiliane na wewe kwa kiingereza wakati kiswahili unakielewa vizuri tu
Hapo clearly inaonesha kabisa jamaa ana hoja na wewe huna, ila unataka kujificha kwenye kiingereza ili walau uonekane uko smart, Nyerere aliwahi kusema kitu kama hiki kuwa mswahili akitaka kutetea Uongo wake atachomekea na maneno ya kiingereza ili aonekane ana hoja