macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Do you have an inferiority complex in English? Did I say English is a nuclear bomb to kill idiots like you? You are very ignorant, and it seems you haven't understood what I wrote. Is it the duty of a citizen to take evidence to court? If there's a crime happening somewhere, isn't it wise to raise awareness so that authorities can investigate?" Unajua kutokuwa na exposure na elimu ya kukariri ni mchanganyiko mbaya kabisa kwako?. Ni kazi ya mwananchi yoyote ku-raise alarm pale anapoonda mambo maovu, na ni kazi ya serikali kuchunguza na kujua ukweli. Koma kabisa kuingia kujadili mambo yaliyokuzidi upeo!Mkuu naona ulipoona umeshindwa hoja ukaamua kumpiga chenga jamaa kwa kubadili lugha, pengine ukidhani labda jamaa atashindwa then ata back down, ili wewe uonekane mshindi siyo
Lakini elewa tu english is just a language not a measure of intelligence, comments zako nyingi huwa unaandika kwa kiswahili tena fasaha, iweje leo umlazimishe jamaa ajadiliane na wewe kwa kiingereza wakati kiswahili unakielewa vizuri tu
Hapo clearly inaonesha kabisa jamaa ana hoja na wewe huna, ila unataka kujificha kwenye kiingereza ili walau uonekane uko smart, Nyerere aliwahi kusema kitu kama hiki kuwa mswahili akitaka kutetea Uongo wake atachomekea na maneno ya kiingereza ili aonekane ana hoja