Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Teh![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unalalamikia kisichostahili kulalamikiwa... APIGWE BAN ASIPIGWE .. HAIONDOI WALA KUONGEZA CHOCHOTE KWENYE POST ZAKO...Huyu jamaa anapost vitu vingi visivyo Na maana ila hapigwa ban!
Mara aweke avatar ya kike Mara aanzishe mada za kitoto wakati mwingine anaanzisha majukwaa mapya humu ila hajawahi kupewa hata kabani ka siku tatu!
Dah!
Thanks bro!Unalalamikia kisichostahili kulalamikiwa... APIGWE BAN ASIPIGWE .. HAIONDOI WALA KUONGEZA CHOCHOTE KWENYE POST ZAKO...
We tulia, kama anakukera wapo wanaofurahishwa naye...
Ndio nani tena huyo?[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Huyu jamaa anapost vitu vingi visivyo Na maana ila hapigwa ban!
Mara aweke avatar ya kike Mara aanzishe mada za kitoto wakati mwingine anaanzisha majukwaa mapya humu ila hajawahi kupewa hata kabani ka siku tatu!
Dah!
Mmh poa mkuuSio demu tu Na viujinga vyake kibao nahisi kamaliza darasa la saba mwaka huu!
Mkuu mimi nimefuatilia Mtiririko wa Post humu baada ya hii yako. Nimetizama majibu ya Mtuhumiwa na nimegundua kuwaB40=DJ Sepetu...kiki hizi [emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu mimi nimefuatilia Mtiririko wa Post humu baada ya hii yako. Nimetizama majibu ya Mtuhumiwa na nimegundua kuwa
B40 = DJ Sepetu = Joseverest
Hebu na nyie fanyeni kautafiti.
hapa mkuu unanisingizia kabisa, similki ID mbili mimi aiseeMkuu mimi nimefuatilia Mtiririko wa Post humu baada ya hii yako. Nimetizama majibu ya Mtuhumiwa na nimegundua kuwa
B40 = DJ Sepetu = Joseverest
Hebu na nyie fanyeni kautafiti.
Usimalize bando comrade!hapa mkuu unanisingizia kabisa, similki ID mbili mimi aisee
Nakuaminia uncleSoon nitaanza kuwachunguza kimya kimya huyu mleta mada na huyo Wema Sepetu sijui DJ sepetu nione kama multiple id's au laah.
JoanahNakuaminia uncle
Hhaahhahh nilijua utakuja...ubaby umeisha?Joanah
My baby nakupenda ila unawasifia wapinzani wangu!Hhaahhahh nilijua utakuja...ubaby umeisha?
Hance ni uncle angu,alafu kwani nimemsifiaje?yeye amesema atafanya uchunguzi kuhusu ID yako na huyu B40My baby nakupenda ila unawasifia wapinzani wangu!
Haya baby nikiongea itakuwa shida tu! Mimi napata wivu unajua navyokupenda lakini...Hance ni uncle angu,alafu kwani nimemsifiaje?yeye amesema atafanya uchunguzi kuhusu ID yako na huyu B40
Kwani unaogopa nini?
Wivu sio kwa uncle bhana..mi nakupenda wewe tu my dearHaya baby nikiongea itakuwa shida tu! Mimi napata wivu unajua navyokupenda lakini...
Na yule jamaa sijui mondray Gentries ana mazoea gani na wewe!Wivu sio kwa uncle bhana..mi nakupenda wewe tu my dear
Yule tulishaachanaNa yule jamaa sijui mondray Gentries ana mazoea gani na wewe!