Dk. Lwaitama ahoji, kama Lissu anasema hataki maridhiano, je anataka kuchukua silaha kupambana na serikali? Asisitiza umuhimu wa mazungumzo ya vyama

Dk. Lwaitama ahoji, kama Lissu anasema hataki maridhiano, je anataka kuchukua silaha kupambana na serikali? Asisitiza umuhimu wa mazungumzo ya vyama

Dk. Lwaitama, moja kati ya nguli wa zamani pale UDSM ameshangazwa na msimamo wa Lissu kwamba hataki kuzungumza au kuridhiana na yeyote. Katika moja ya makala zake, mzee wa maswali magumu Ansbert Gurumo, katika moja ya makala zake, alisema kwamba Lissu ni Mwanasiasa ambaye anaweza kutoa kauli mwenyewe, halafu akaipinga baada ya sekunde chache

Gwiji hilo la taaluma ya siasa limesema lazima vyama vya siasa vizungumze kwa kuwa hiyo ndio siasa, kwamba lazima umshawishi mwenzako akubaliane na wewe.

Dk. Lwaitama kwa mara kadhaa amekuwa mshauri wa Chadema katika mambo mbalimbali. Ni Dokta mbobevo. Lissu kwa muda mwingi amekuwa akitumia muda wake na Mdude Nyagali, Askofu Mwanamapinduzi ambaye haijulikani kama alimaliza shule ya msingi, na pia alichukuliwa fomu ya kugombea na SATIVA, ambaye hela zake anazipata kwa kubeti, na kupewa tenda ya kutukana watu mitandaoni.

View attachment 3190484
Mazungumzo ya kutafuta maridhiano hayawezi kuwa ya milele kwa hiyo kwa sasa imetosha!
 
Bila
Kuendelea

Kufanya maridhiano na kitu kama ccm ni kuendelea kufanya upumbavu wa hali ya juu. Kuna vitu viwili kuacha kabisa kufanya maridhiano au kubadili mwelekeo. Kama mbwai na iwe mbwai.
Bila shaka umelewa
 
Ninacho jua mimi ni kuwa Lissu alipinga CDM kuingia katika mazungumzo yanayohusu "maridhiano" kabla ya Tume Huru ya Uchaguzi na Katiba Mpya. Anasema waliomuunga mkono katika msimamo wake wa kupinga hayo mazungumzo walikuwa Heche, Lema, Wenje na mtu mmoja mwengine. Ndio maana kwenye hili ameelekeza nguvu kubwa katika kumlaumu Mbowe kwa kuiingiza CDM kwenye chaka. Na kuna watu wake wanasema kuwa Mbowe alilambishwa asali na CCM ndio maana akayapigia sana debe. Kwa sababu hiyo, swali la Dr. Lwaitama ni la msingi. Nini ilikuwa njia mbadala ambayo Lissu alitaka CDM waifuate? Tukumbuke wakati ule mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa na maandamano yalikuwa hayapewi kibali na Tanpol. Lissu alitaka CDM wafanye nini ili kufikia malengo yao?

Amandla...
Lissu ameeleza mapendekezo yao ambayo yote CCM waliyakalia kimya "hadi baada" ya Mbowe kumpa Samia tuzo ya maridhiano ndiyo wakajibu kwa maandisha kuyakataa yote. Katika hali kama hii kuna haja tena ya kuongea na hawa watu?
 
Dk. Lwaitama, moja kati ya nguli wa zamani pale UDSM ameshangazwa na msimamo wa Lissu kwamba hataki kuzungumza au kuridhiana na yeyote. Katika moja ya makala zake, mzee wa maswali magumu Ansbert Gurumo, katika moja ya makala zake, alisema kwamba Lissu ni Mwanasiasa ambaye anaweza kutoa kauli mwenyewe, halafu akaipinga baada ya sekunde chache

Gwiji hilo la taaluma ya siasa limesema lazima vyama vya siasa vizungumze kwa kuwa hiyo ndio siasa, kwamba lazima umshawishi mwenzako akubaliane na wewe.

Dk. Lwaitama kwa mara kadhaa amekuwa mshauri wa Chadema katika mambo mbalimbali. Ni Dokta mbobevo. Lissu kwa muda mwingi amekuwa akitumia muda wake na Mdude Nyagali, Askofu Mwanamapinduzi ambaye haijulikani kama alimaliza shule ya msingi, na pia alichukuliwa fomu ya kugombea na SATIVA, ambaye hela zake anazipata kwa kubeti, na kupewa tenda ya kutukana watu mitandaoni.

View attachment 3190484
Kauli hizi za sasa ni tofauti na zile kauli za twitter za kusapoti Lissu ni kama amefanya U turn.

Nilisema humu hata kule X kuhusu yale aliyokuwa anayasema mwanzo yalinifanya nimuone sehemu ya wale wasomi ambao wanahitaji kuelimishwa upya ili kuondoa ujinga.

Alichonukuliwa hapa walau amezungumza objectively na ndivyo msomi abavyopaswa kuwa sio kuongozwa na mahaba.
 
Lissu ameeleza mapendekezo yao ambayo yote CCM waliyakalia kimya "hadi baada" ya Mbowe kumpa Samia tuzo ya maridhiano ndiyo wakajibu kwa maandisha kuyakataa yote. Katika hali kama hii kuna haja tena ya kuongea na hawa watu?
Unaita maridhiano huku wanakataa mapendekezo? Hakuna maridhiano ki waste of time
 
Dk. Lwaitama, moja kati ya nguli wa zamani pale UDSM ameshangazwa na msimamo wa Lissu kwamba hataki kuzungumza au kuridhiana na yeyote. Katika moja ya makala zake, mzee wa maswali magumu Ansbert Gurumo, katika moja ya makala zake, alisema kwamba Lissu ni Mwanasiasa ambaye anaweza kutoa kauli mwenyewe, halafu akaipinga baada ya sekunde chache

Gwiji hilo la taaluma ya siasa limesema lazima vyama vya siasa vizungumze kwa kuwa hiyo ndio siasa, kwamba lazima umshawishi mwenzako akubaliane na wewe.

Dk. Lwaitama kwa mara kadhaa amekuwa mshauri wa Chadema katika mambo mbalimbali. Ni Dokta mbobevo. Lissu kwa muda mwingi amekuwa akitumia muda wake na Mdude Nyagali, Askofu Mwanamapinduzi ambaye haijulikani kama alimaliza shule ya msingi, na pia alichukuliwa fomu ya kugombea na SATIVA, ambaye hela zake anazipata kwa kubeti, na kupewa tenda ya kutukana watu mitandaoni.

View attachment 3190484

Kama naweza kutumia lugha ya kitaa kuonesha point.

Kuna maridhiano, halafu kuna kuhanithiwa.

Hivyo ni vitu viwili tofauti.

Haya maridhiano ya Samia ni ujinga, wapinzani wanatumiwa tu Samia apate kiki kwamba anafanya maridhiano, wakati hamna lolote.

Na hata Lissu kugomea maridhiano inaweza kuwa ni mbinu ya kupata maridhiano ya kweli.

Kwenye hili namuelewa sana Lissu.
 
Issue ya Lissu kwenye suala la maridhiano iko kwenye yale ambayo kikatiba ni haki ya wananchi, hayo Lissu hataki kuridhiana na mtu maana kikatiba ni haki raia kupewa sasa mmaridhiana nini?.

Ukiangalia topic zote za mariadhiano ndio hayo ya kwenye katiba, sasa kwanini mpoteze muda maana its either ni haki yenu mpewe au watawala wabadili katiba na kuyaondoa.
 
Dk. Lwaitama, moja kati ya nguli wa zamani pale UDSM ameshangazwa na msimamo wa Lissu kwamba hataki kuzungumza au kuridhiana na yeyote. Katika moja ya makala zake, mzee wa maswali magumu Ansbert Gurumo, katika moja ya makala zake, alisema kwamba Lissu ni Mwanasiasa ambaye anaweza kutoa kauli mwenyewe, halafu akaipinga baada ya sekunde chache

Gwiji hilo la taaluma ya siasa limesema lazima vyama vya siasa vizungumze kwa kuwa hiyo ndio siasa, kwamba lazima umshawishi mwenzako akubaliane na wewe.

Dk. Lwaitama kwa mara kadhaa amekuwa mshauri wa Chadema katika mambo mbalimbali. Ni Dokta mbobevo. Lissu kwa muda mwingi amekuwa akitumia muda wake na Mdude Nyagali, Askofu Mwanamapinduzi ambaye haijulikani kama alimaliza shule ya msingi, na pia alichukuliwa fomu ya kugombea na SATIVA, ambaye hela zake anazipata kwa kubeti, na kupewa tenda ya kutukana watu mitandaoni.

View attachment 3190484
HUYU Mzee Lwaitama mnafiki sana,Leo anaongea hivi kesho anabadilika!! Kasharamba ASALI mrambo wenye mpango wa michongo.

😃😃 Huyu ni Confused professor 🚴🚴
 
Lissu ameeleza mapendekezo yao ambayo yote CCM waliyakalia kimya "hadi baada" ya Mbowe kumpa Samia tuzo ya maridhiano ndiyo wakajibu kwa maandisha kuyakataa yote. Katika hali kama hii kuna haja tena ya kuongea na hawa watu?
Mapendekezo hayo yalikuwa yapi? Ninavyojua yafuatayo yalikuwa sehemu ya mapendekezo:
1. Zuio la mikutano ya hadhara ya kisiasa liondolewe.
2. Kesi za kubambikwa zifutwe na mamia ya watu waliokuwa ndani waachiwe.
3. Walioomba hifadhi nchi za nje wahakikishiwe usalama wao ili waweze kurudi.
4. Wakina Halima watolewe Bungeni
5.Tume Huru ya Uchaguzi ipatikane.
6. Katiba Mpya based kwenye ili ya Warioba ipitishwe.

Hauwezi kusema CCM ilikataa yote wakati matatu ya mwanzo walikubali na kutekeleza kwa kiasi kikubwa ( kuna wafungwa hawakuachiwa). CCM walianza kupata kigugumizi kwenye hayo masuala matatu ya mwisho kwa sababu yanatishia wao kuendelea kushika dola.
1. Wakina Halima ndio wanalipa Bunge la sasa uhalali ( legitimacy) kidemokrasia kwa kuwa angalau na wapinzani.
2. Tume Huru kabisa ya uchaguzi inaweza kuja na matokeo ambayo hawayataki.
3. Katiba Mpya nayo itatikisa hegemony ya CCM.
La kwanza linavumilika kwa sababu ni wazi baada ya 2025 hawatakuwa wabunge wa "CDM " na umuhimu wao kwa CCM utakuwa umekwisha.
Ya 2 na 3 itaweza kupatikana kwa presha kutoka ndani na nje ya Bunge. Mikutano ya hadhara ina nafasi kubwa katika kufanikisha hilo.

Ingawa ile tuzo inaweza kutafsiriwa vingine lakini pengine ilihitajika ili kumpa nguvu Mwenyekiti wa CCM kusukumiza suala hili ndani ya chama chake.

Lissu alikosea katika hili. Lakini hawezi kukiri kwa sababu hapendi kukubali makosa yake. Sio pragmatic kama Mbowe.

Amandla...
 
Mapendekezo hayo yalikuwa yapi? Ninavyojua yafuatayo yalikuwa sehemu ya mapendekezo:
1. Zuio la mikutano ya hadhara ya kisiasa liondolewe.
2. Kesi za kubambikwa zifutwe na mamia ya watu waliokuwa ndani waachiwe.
3. Walioomba hifadhi nchi za nje wahakikishiwe usalama wao ili waweze kurudi.
4. Wakina Halima watolewe Bungeni
5.Tume Huru ya Uchaguzi ipatikane.
6. Katiba Mpya based kwenye ili ya Warioba ipitishwe.

Hauwezi kusema CCM ilikataa yote wakati matatu ya mwanzo walikubali na kutekeleza kwa kiasi kikubwa ( kuna wafungwa hawakuachiwa). CCM walianza kupata kigugumizi kwenye hayo masuala matatu ya mwisho kwa sababu yanatishia wao kuendelea kushika dola.
1. Wakina Halima ndio wanalipa Bunge la sasa uhalali kidemokrasia kwa kuwa angalau na wapinzani.
2. Tume Huru kabisa ya uchaguzi inaweza kuja na matokeo ambayo hawayataki.
3. Katiba Mpya nayo itatikisa hegemony ya CCM.
La kwanza linavumilika kwa sababu ni wazi baada ya 2025 hawatakuwa wabunge wa "CDM " na umuhimu wao kwa CCM utakuwa umekwisha.
Ya 2 na 3 itaweza kupatikana kwa presha kutoka ndani na nje ya Bunge. Mikutano ya hadhara ina nafasi kubwa katika kufanikisha hilo.
Ingawa ile tuzo inaweza kutafsiriwa vingine lakini pengine ilihitajika ili kumpa nguvu Mwe yekiti wa CCM kusukumiza suala hili ndani ya chama chake.

Lissu alikosea katika hili. Lakini hawezi kukiri kwa sababu hapendi kukubali makosa yake. Sio pragmatic kama Mbowe.

Amandla...
Hayo unayosema yamekubaliwa siyo maridhiano bali hayo ni haki yao ya kikatiba ni kwa vile tu yule mwendawazimu aliyaweka kibabe. Maridhiano ilikuwa kuweka misingi mizuri ya mifumo ya uchaguzi na sheria ili yale yaliyotokea 2019 na 2020 yasijirudie tena lakini si wote tumeona yale ya 2019 yamejirudia tena na kuzidi kwani 2019 Magufuli alifuta uchaguzi wote lakini hakuua mtu lakini 2024 uchaguzi ulivuruguwa kwa 100% na zaidi wagombea wengi walitekwa,waliteswa na kuuwawa sasa watu kama hawa utafanya nao maridhiano kweli?
 
Hayo unayosema yamekubaliwa siyo maridhiano bali hayo ni haki yao ya kikatiba ni kwa vile tu yule mwendawazimu aliyaweka kibabe. Maridhiano ilikuwa kuweka misingi mizuri ya mifumo ya uchaguzi na sheria ili yale yaliyotokea 2019 na 2020 yasijirudie tena lakini si wote tumeona yale ya 2019 yamejirudia tena na kuzidi kwani 2019 Magufuli alifuta uchaguzi wote lakini hakuua mtu lakini 2024 uchaguzi ulivuruguwa kwa 100% na zaidi wagombea wengi walitekwa,waliteswa na kuuwawa sasa watu kama hawa utafanya nao maridhiano kweli?
Hayo umejitungia
 

Alipata Ph.D 1992 Aston University Uingereza. Una swali lingine?

Amandla...
Watanzania wengi wanaoomba wapewe CV za watu wanaendekeza hulka zile zile za kipumbavu ambazzo hututambulisha kimataifa. Tuna wivu, chuki, roho mbaya za kila aina na kejeli za kijinga ambazo husababishwa na ukosefu wetu wa elimu.

Prof Lwaitama yupo kitambo sana akisikika kwenye vyombo vya habari kichekesho anayeulizia CV yake unakuta yeye form four alipata division 0.
 
Watanzania wengi wanaoomba wapewe CV za watu wanaendekeza hulka zile zile za kipumbavu ambazzo hututambulisha kimataifa. Tuna wivu, chuki, roho mbaya za kila aina na kejeli za kijinga ambazo husababishwa na ukosefu wetu wa elimu.

Prof Lwaitama yupo kitambo sana akisikika kwenye vyombo vya habari kichekesho anayeulizia CV yake unakuta yeye form four alipata division 0.
Kweli kabisa
 
Issue ya Lissu kwenye suala la maridhiano iko kwenye yale ambayo kikatiba ni haki ya wananchi, hayo Lissu hataki kuridhiana na mtu maana kikatiba ni haki raia kupewa sasa mmaridhiana nini?.

Ukiangalia topic zote za mariadhiano ndio hayo ya kwenye katiba, sasa kwanini mpoteze muda maana its either ni haki yenu mpewe au watawala wabadili katiba na kuyaondoa.
Mbona sasa katiba mpya haipatikani na ni haki ?

Unadhani katiba,mpya ni sawa na kwenda haja kubwa chooni?

Key boards warriors mnashangaza sana.
 
Back
Top Bottom