Dk. Lwaitama ainanga kambi ya Lissu, asema kwamba kama kupendwa hata DiamondPlatnumz anapendwa sana, lakini huwezi kumpa uongozi wa chama

Money talk everywhere
 
DR Lwaitama anataka kiongozi mwenye hela hata chama kikiyumba kifedha anaweza kuingia mfukoni mwake hapa anamanisha kama huna hela huwezi kuongoza chama, kigezo cha kupendwa na wanachama sio kipaumbele sana...kigezo cha kukaa muda mrefu kwenye uongozi yeye haoni kama ni shida...anamfananisha lisu na Diamond kwenye siasa huku mmoja ni mwanasiasa na mwingine ni msanii wa mziki...Hizi hoja hazina mashiko kabisa.
 
Lwaitama yuko sahihi
 
Ohoooo Dokta kapiga U-turn mbele ya Traffic police...
 
Hii post nimeipenda sana.
 
Demokrasia inataka watu waongozwe na mtu wanayempenda.

Kupendwa ni hoja namba Moja ya demokrasia na mtu kuwa kiongozi
kikwete wakati anataka kutia nia, mkapa alitaka kutia ngumu, wakamwambia mkapa huyu mtu anapendwa sana na JWT(JUMUIYA YA WANAWAKE)
mkapa aliposikia hivyo akajua huyu ni mtu wa kina mama, ikabidi abwage manyanga amuache ndo maana alipata kura nadhani 83%
waliompenda gafla walimchoka 2010 cha moto alikiona.
hivyo kupendwa ni mentality tu kama hujaperfom unamwagwa.

hivyo lisu anapendwa kwa sababu ya ukichaa wake, akipewa 1 yr wanammwaga.
 
Huyu "MBONA WEWOOOOO" anakwenda kukiua chama. DJ pamoja na mapungufu yake lakini ana Haiba ya uongozi wenye msingi wa HEKIMA NA BUSARA sana. CDM rejesheni DJ pigeni chini Mbona wewooo
 
Huyu "MBONA WEWOOOOO" anakwenda kukiua chama. DJ pamoja na mapungufu yake lakini ana Haiba ya uongozi wenye msingi wa HEKIMA NA BUSARA sana. CDM rejesheni DJ pigeni chini Mbona wewooo
Kweli kabisa
 
Lisu anapendwa au anahurumiwa!!?Hivi Mrema alitwngeneza wanasiasa wangapi!!?Cheyo ametengeneza wangapi!!?Lisu ametengeneza wangapi!!?Lipumba ametengeneza wangapi!!? Mbowe ametengeneza wangapi!!?(Maana kati ya chama upinzani ambacho kimetengeneza viongozi ni Chadema au Mbowe).Tunakumbuka Nyerere alitengeza wanasiasa wengi au viongozi wengi.
 
mzee Lwaitama anajitahidi sana leo kueleza ukweli
Mwenye akili awez kumuunga mkono mtu kama LiSU bahati nzuli tumemjua vizuli kabla ya uchaguzi wowote yule abaki Wakili ndiio kazi inayomfaaa kutetea watu ila uhongozi apana atachekesha watu ataumiza watu. Atakamua watu na mikodi kibao!!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…