Dkt. Abbas afunga ndoa na Mamy Baby wa Clouds Media

Hongera zake

Wanawake wanaofanya kazi za kuonekana kama media, u miss, music, waigizaji etc huwa wana bahati ya kuolewa na maboss
Labda kwasababu wanaonekana na watu wengi wao tu washindwe kuchagua watu wamaana
 
Wamefungia Tabora
 
Hongera zake

Wanawake wanaofanya kazi za kuonekana kama media, u miss, music, waigizaji etc huwa wana bahati ya kuolewa na mabosi

Kutokana na public exposure waliyonayo. Angekuwa moro kati huko ndani ndani asingeonekana.
Anyway hongera kwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…