Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kazi yao ni kuuza sura ndiyo maana?Hongera zake
Wanawake wanaofanya kazi za kuonekana kama media, u miss, music, waigizaji etc huwa wana bahati ya kuolewa na mabosi
waislam wanaiga tu sio tamaduni zao kuvishana peteKwa Wakristo, kwenye ibada ya ndoa, kuna kipengele cha kuvikana pete ,na ni baada ya hizo pete kubarikiwa. Kwa wenzetu, kuna utaratibu gani kwenye kuvikana pete?
Dah! Wakristo tunapitia kipindi kigumu sana kwenye huu upande. Maana wanawake waelewa ni wachache sana. 😩Wenzetu Hawa hata thelatha au arba ruksa.
Sasa sisi mwanamke akihisi tu una nyumba ndogo au umechepuka kidogo tu Tena mara moja ,ndani ya wiki mbili usitegemee uroda. Ni kununiwa tu na majibu ya mkato.
Mabosi washamba lakini, mtu makini hataki mwanamke spotlight.Hongera zake
Wanawake wanaofanya kazi za kuonekana kama media, u miss, music, waigizaji etc huwa wana bahati ya kuolewa na mabosi
Nilikuja kutafuta hii comment 😄😄😄😄😄Katibu kadata na domo
Ana asili ya nyusi nyingiView attachment 2463530Hivi macho yangu au vipi. Dokta kapaka wanja?
Kuna tatizo gani kwa mke wa mtu kuvaa bikini?Huyu mammy sasa aache kuvaa bikini na vipedo, kawa mke wa kiongozi. Afanye ku maintain status ya mheshimiwa lol
Hongera zao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukisema aanze kuvaa kama mama wachungaji hatapendeza....mavitenge😉...acha aflow alivyoHuyu mammy sasa aache kuvaa bikini na vipedo, kawa mke wa kiongozi. Afanye ku maintain status ya mheshimiwa lol
Hongera zao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Wakristo, kwenye ibada ya ndoa, kuna kipengele cha kuvikana pete ,na ni baada ya hizo pete kubarikiwa. Kwa wenzetu, kuna utaratibu gani kwenye kuvikana pete?
Lete Maneno...Naona wamechangamka.
Zuhura Yunus naye naona ameolewa. Sherehe inafanyika leo Mlimani city
Maana sura kweli ni uongoJamaa kadata na sauti
🤣😂😂🤣😂Hana Nguvuu huyoo
Zishaishaa hizooo
Vijana watamsadiaaa sanaa