Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Ka Mammy kana personality moja safi sana. Hongera kwake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndoa imefungiwa Tabora hukoKatibu Mkuu huyo wa Wizara ya Utamaduni na michezo leo ameonekana hadharani akifunga ndoa na Mwanamke anayejulika kwa jina la Mammy baby , ambaye inasemekana ni Mtangazaji wa Clouds FM kipindi cha XXL
Haijulikani mahali ilikofungwa ndoa hiyo wala ukumbi kutakakokuwa na Sherehe za Harusi hiyo .
Pia haijajulikana kama ni ndoa ya kwanza , ya pili au ya tatu .
Tunawatakia kila la heri
Dalali mkuu PM yako bado haipo sawa ndugu .nipo tayari na sijafanikiwa kupokea mzigo mkuu Sasa nimeshindwa jinsi ya kukupata toka upo MwanzaMbona ghafla sana
Unipe contact zako mkuu!!?msmMbona ghafla sana
Mwenyewe huoni yaani una supp, ume carry, pia umedisco kwenye ubuyu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kvipi tenaaa???
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe siku zote lilikuwa sera? Ujana kaulia wapi huyu mhuni? Kumbe siku hizi baadhi ya waislam ni wakristo? Wanavishana pete kigalatia. Hallelluya!Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni,Sanaa na Michezo, Dr. Abbasi amefunga ndoa na Mtangazaji wa Clouds FM Mamy Baby.
View attachment 2463467
Daah Alhamdulillah for mamy babay na Zuhura,Naona wamechangamka.
Zuhura Yunus naye naona ameolewa. Sherehe inafanyika leo Mlimani city
Mbona mnaweka nusu nusu, hebubtupieni news za Zuhura YunusDaah Alhamdulillah for mamy babay na Zuhura,
[emoji28][emoji28]Viuno vya Kinyamwezi na sauti nzuri vishamkamata mtu huko katangaza ndoa.
Hahaha kwamb jamaa ameamua kuchukulia humo humo kwenye sekta yakeZero grazing
Tulizanaaa shostitooooo, hebuu kaa kwa password bas, mxxxxieeeeeewKuna tatizo gani kwa mke wa mtu kuvaa bikini?
Na wewe umeiona vipi hiyo bikini wakati ni vazi la ndani? Au kuna kitu sijaelewa?
Jaman jaman [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahUkisema aanze kuvaa kama mama wachungaji hatapendeza....mavitenge[emoji6]...acha aflow alivyo