data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
How!!Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni,Sanaa na Michezo, Dr. Abbasi amefunga ndoa na Mtangazaji wa Clouds FM Mamy Baby.
View attachment 2463467
Why kimya namna hii!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
How!!Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni,Sanaa na Michezo, Dr. Abbasi amefunga ndoa na Mtangazaji wa Clouds FM Mamy Baby.
View attachment 2463467
😂🤣😂😂😂😂😂Katibu Mkuu huyo wa Wizara ya Utamaduni na michezo leo ameonekana hadharani akifunga ndoa na Mwanamke anayejulika kwa jina la Mammy baby , ambaye inasemekana ni Mtangazaji wa Clouds FM kipindi cha XXL
Haijulikani mahali ilikofungwa ndoa hiyo wala ukumbi kutakakokuwa na Sherehe za Harusi hiyo .
Pia haijajulikana kama ni ndoa ya kwanza , ya pili au ya tatu .
Tunawatakia kila la heri
Hivi nyinyi wanawake hela ziliwaloga.. mbona mnafanya mambo ya ajabu sana mkiona peesaaa .. pesaa pesaaa...All the best kwenye ukewenza
Hivi nyinyi wanawake hela ziliwaloga.. mbona mnafanya mambo ya ajabu sana mkiona peesaaa .. pesaa pesaaa...
Ni hatari sanaa .Pesa za kutambia mujini na kuringishia pete kidoleni. Kila picha kidole kinakuwa kimenyanyuliwa kiaina pete zionekane
Ni aibu ..Mamy baby kaamua kuacha mkuyengee kafuata mahela .....
Pesa ndio kila kitu mazee ...
Hata kama unampelekea moto mwanamke Kwa bed Kama huna pesa wewe ni mbwa tu [emoji3][emoji3][emoji3]
Wote wawili kuamkia asbh ya leo walibinuliwa vilivyo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kutoka Mkuwe Issale hadi mamy baby! Kweli mjini watu ni wabunifu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nyie wote si madokta[emoji23] wewe na Abbas
🤣🤣Kama ni mke wa Pili+ sawa ila kama ndio wa kwanza basi balaa.
Uislamu hauna taratibu zozote za kuvikana pete, na atakayefanya ameenda kinyume na mafundisho ya kiislamu na ameiga kwa wasiokuwa waislamu.Kwa Wakristo, kwenye ibada ya ndoa, kuna kipengele cha kuvikana pete ,na ni baada ya hizo pete kubarikiwa. Kwa wenzetu, kuna utaratibu gani kwenye kuvikana pete?
Hahaha mkuu acha malalamiko.Dah! Wakristo tunapitia kipindi kigumu sana kwenye huu upande. Maana wanawake waelewa ni wachache sana. 😩
Umeniwahi Mkuu nami nilitaka kumwandikia hayoPeleka jukwaa la celebrity
Kaolewa juzi.jamani vipi kuhusu zuhura yunus, yeye bado hajapata mwenza wa maisha ya ndoa? Hawa mastaa wawe wanakubali pia kuolewa na watu wasio maarufu, mbona wanapendeka? Wenyewe wanataka waolewe na mastaa wenzao tu. Itapendeza pia staa akaolewa na mtu asiye na umaarufu