Dkt. Abbas afunga ndoa na Mamy Baby wa Clouds Media

Dkt. Abbas afunga ndoa na Mamy Baby wa Clouds Media

Katibu Mkuu huyo wa Wizara ya Utamaduni na michezo leo ameonekana hadharani akifunga ndoa na Mwanamke anayejulika kwa jina la Mammy baby , ambaye inasemekana ni Mtangazaji wa Clouds FM kipindi cha XXL

Haijulikani mahali ilikofungwa ndoa hiyo wala ukumbi kutakakokuwa na Sherehe za Harusi hiyo .

Pia haijajulikana kama ni ndoa ya kwanza , ya pili au ya tatu .

Tunawatakia kila la heri
😂🤣😂😂😂😂😂
Dahh.. mkuu unaripoti kishambenga hatariii..
 
Napenda Sana wanawake wenye majina ya Kibantu 'Mkuwe Issale'
 
Pesa za kutambia mujini na kuringishia pete kidoleni. Kila picha kidole kinakuwa kimenyanyuliwa kiaina pete zionekane
Hivi nyinyi wanawake hela ziliwaloga.. mbona mnafanya mambo ya ajabu sana mkiona peesaaa .. pesaa pesaaa...
 
Mamy baby kaamua kuacha mkuyengee kafuata mahela .....

Pesa ndio kila kitu mazee ...


Hata kama unampelekea moto mwanamke Kwa bed Kama huna pesa wewe ni mbwa tu [emoji3][emoji3][emoji3]
Ni aibu ..
 
Kwa Wakristo, kwenye ibada ya ndoa, kuna kipengele cha kuvikana pete ,na ni baada ya hizo pete kubarikiwa. Kwa wenzetu, kuna utaratibu gani kwenye kuvikana pete?
Uislamu hauna taratibu zozote za kuvikana pete, na atakayefanya ameenda kinyume na mafundisho ya kiislamu na ameiga kwa wasiokuwa waislamu.
 
Safi vijana mnatangaza bado mpo mpo sana wazee wakioa mnalalamika itakua ndoa ya sita daah...wawe na Ndoa njema kwa maisha yao ..
 
jamani vipi kuhusu zuhura yunus, yeye bado hajapata mwenza wa maisha ya ndoa? Hawa mastaa wawe wanakubali pia kuolewa na watu wasio maarufu, mbona wanapendeka? Wenyewe wanataka waolewe na mastaa wenzao tu. Itapendeza pia staa akaolewa na mtu asiye na umaarufu
Kaolewa juzi.
 
Back
Top Bottom