mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na bang anazofutishwa na Adam mchomvu aache kbsaa amlee mh
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na bang anazofutishwa na Adam mchomvu aache kbsaa amlee mh
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu jaman, woiiiiiiiiiih.Na bang anazofutishwa na Adam mchomvu aache kbsaa amlee mh
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
jamani vipi kuhusu zuhura yunus, yeye bado hajapata mwenza wa maisha ya ndoa? Hawa mastaa wawe wanakubali pia kuolewa na watu wasio maarufu, mbona wanapendeka? Wenyewe wanataka waolewe na mastaa wenzao tu. Itapendeza pia staa akaolewa na mtu asiye na umaarufuMbona mnaweka nusu nusu, hebubtupieni news za Zuhura Yunus
Nna maishaa njee ya ubuyuuu, afu ubuyuu haunipi kulaaaa.Mwenyewe huoni yaani una supp, ume carry, pia umedisco kwenye ubuyu.
Zuhura yunus amesha olewaaa,jamani vipi kuhusu zuhura yunus, yeye bado hajapata mwenza wa maisha ya ndoa? Hawa mastaa wawe wanakubali pia kuolewa na watu wasio maarufu, mbona wanapendeka? Wenyewe wanataka waolewe na mastaa wenzao tu. Itapendeza pia staa akaolewa na mtu asiye na umaarufu
Nimecheka[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu jaman, woiiiiiiiiiih.
Sent using Jamii Forums mobile app
unaweza kuta mke wa 4 huyoHivi Mteule wa Rais kuoa Baada ya Kupata Madaraka sio Matumizi mabaya ya Madaraka?
Zuhura Yunus nayeye kafunga mwaka na Ndoa,japo aliwahi kunukuliwa hataki kusikia kitu kinaitwa NdoaUyo ndo kafunga mwaka sasa
A license for FORNICATIONKatibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni,Sanaa na Michezo, Dr. Abbasi amefunga ndoa na Mtangazaji wa Clouds FM Mamy Baby.
View attachment 2463467
ni utamaduni wa kimagharibiwaislam wanaiga tu sio tamaduni zao kuvishana pete
na yuko Mwananyamala kwa mama zakaria kuleMbona ya Luiza Mbutu umedumu