Dkt. Abbas na Msigwa lazima mazingira yenu ya kazi yawe magumu kufanya kazi na Nape Nnauye

Dkt. Abbas na Msigwa lazima mazingira yenu ya kazi yawe magumu kufanya kazi na Nape Nnauye

Fundi Madirisha

Senior Member
Joined
Jun 30, 2020
Posts
184
Reaction score
988
Nawaonea huruma sana hawa mabwana wawili Dkt Hassan Abbas na Gerson Msigwa ambao kimsingi ni wapenzi wa mfumo wa Mwendazake, walifanya kazi katika viburi vikubwa sana. Walitoa majibu ya hovyo sana kila walipoulizwa na wanahabari kuhusu uhuru wa habari.

Leo hii wamekutana na aliyekuja juu yao ni muumini katika uhuru wa kujieleza ambaye mfumo wa Mwendazake ulimshinda kufuatia kujiuzulu abaki benchi. Navuta picha kuona jinsi Dkt Abbas anavyoteseka tena akiwa mtendaji wa Wiza ile ile baa ya kuona Magazeti ambayo sliyafungia yeye sasa yanafunguliwa tena bila masharti.

Msigwa baada ya Mtangulizi wake naye aliendeleza majibu yale yale ingawa naye hakushangaza sana kwakua alikuwa kipenzi cha Mwendazake,naye pia hakupenda mfumo wenye uhuru wa kujieleza. Leo hii sasa bosi wao ndani ya wizara ile ile anaelekeza magazeti yafunguliwe. Hawana la kufanya zaidi ya kutii amri tuu.

Kupitia haya yanayotokea naamini Dkt Abbas na Msigwa mnajifunza. Acheni hizi roho mtambue siku zote dunia ni duara.
 
Nawaonea huruma sana hawa mabwana wawili Dkt Hassan Abbas na Gerson Msigwa ambao kimsingi ni wapenzi wa mfumo wa Mwendazake, walifanya kazi katika viburi vikubwa sana. Walitoa majibu ya hovyo sana kila walipoulizwa na wanahabari kuhusu uhuru wa habari.

Leo hii wamekutana na aliyekuja juu yao ni muumini katika uhuru wa kujieleza ambaye mfumo wa Mwendazake ulimshinda kufuatia kujiuzulu abaki benchi. Navuta picha kuona jinsi Dkt Abbas anavyoteseka tena akiwa mtendaji wa Wiza ile ile baa ya kuona Magazeti ambayo sliyafungia yeye sasa yanafunguliwa tena bila masharti.

Msigwa baada ya Mtangulizi wake naye aliendeleza majibu yale yale ingawa naye hakushangaza sana kwakua alikuwa kipenzi cha Mwendazake,naye pia hakupenda mfumo wenye uhuru wa kujieleza. Leo hii sasa bosi wao ndani ya wizara ile ile anaelekeza magazeti yafunguliwe. Hawana la kufanya zaidi ya kutii amri tuu.

Kupitia haya yanayotokea naamini Dkt Abbas na Msigwa mnajifunza. Acheni hizi roho mtambue siku zote dunia ni duara.
Natamani pia chini ya Masauni na Simba Chawene nione DCI, SIRO, DPP na JAJI Mkuu wakipewa maagizo ya kufuata amri ya Mh. Rais alie agiza kesi za mchongo, mahabusu wasio na hatia nao una fika mwisho. Maana maagizo ya Rais ni amri. Waache kiburi. Maana kuna watu wana teswa na hawa watu ambao hawana hatia.
Mbowe sio gaidi
 
Nawaonea huruma sana hawa mabwana wawili Dkt Hassan Abbas na Gerson Msigwa ambao kimsingi ni wapenzi wa mfumo wa Mwendazake, walifanya kazi katika viburi vikubwa sana. Walitoa majibu ya hovyo sana kila walipoulizwa na wanahabari kuhusu uhuru wa habari.

Leo hii wamekutana na aliyekuja juu yao ni muumini katika uhuru wa kujieleza ambaye mfumo wa Mwendazake ulimshinda kufuatia kujiuzulu abaki benchi. Navuta picha kuona jinsi Dkt Abbas anavyoteseka tena akiwa mtendaji wa Wiza ile ile baa ya kuona Magazeti ambayo sliyafungia yeye sasa yanafunguliwa tena bila masharti.

Msigwa baada ya Mtangulizi wake naye aliendeleza majibu yale yale ingawa naye hakushangaza sana kwakua alikuwa kipenzi cha Mwendazake,naye pia hakupenda mfumo wenye uhuru wa kujieleza. Leo hii sasa bosi wao ndani ya wizara ile ile anaelekeza magazeti yafunguliwe. Hawana la kufanya zaidi ya kutii amri tuu.

Kupitia haya yanayotokea naamini Dkt Abbas na Msigwa mnajifunza. Acheni hizi roho mtambue siku zote dunia ni duara.

BAF4D427-2AC9-48DE-AE67-333DB06DEA81.jpeg
 
Nawaonea huruma sana hawa mabwana wawili Dkt Hassan Abbas na Gerson Msigwa ambao kimsingi ni wapenzi wa mfumo wa Mwendazake, walifanya kazi katika viburi vikubwa sana. Walitoa majibu ya hovyo sana kila walipoulizwa na wanahabari kuhusu uhuru wa habari.

Leo hii wamekutana na aliyekuja juu yao ni muumini katika uhuru wa kujieleza ambaye mfumo wa Mwendazake ulimshinda kufuatia kujiuzulu abaki benchi. Navuta picha kuona jinsi Dkt Abbas anavyoteseka tena akiwa mtendaji wa Wiza ile ile baa ya kuona Magazeti ambayo sliyafungia yeye sasa yanafunguliwa tena bila masharti.

Msigwa baada ya Mtangulizi wake naye aliendeleza majibu yale yale ingawa naye hakushangaza sana kwakua alikuwa kipenzi cha Mwendazake,naye pia hakupenda mfumo wenye uhuru wa kujieleza. Leo hii sasa bosi wao ndani ya wizara ile ile anaelekeza magazeti yafunguliwe. Hawana la kufanya zaidi ya kutii amri tuu.

Kupitia haya yanayotokea naamini Dkt Abbas na Msigwa mnajifunza. Acheni hizi roho mtambue siku zote dunia ni duara.
Ndivyo utendaji serikalini ulivyo, wala hakuna shida yoyote na hawawezi kupata shida yoyote. Kabda utueleze ni shida gani wataipata maana wite ni wateule wa rais!
 
Nawaonea huruma sana hawa mabwana wawili Dkt Hassan Abbas na Gerson Msigwa ambao kimsingi ni wapenzi wa mfumo wa Mwendazake, walifanya kazi katika viburi vikubwa sana. Walitoa majibu ya hovyo sana kila walipoulizwa na wanahabari kuhusu uhuru wa habari.

Leo hii wamekutana na aliyekuja juu yao ni muumini katika uhuru wa kujieleza ambaye mfumo wa Mwendazake ulimshinda kufuatia kujiuzulu abaki benchi. Navuta picha kuona jinsi Dkt Abbas anavyoteseka tena akiwa mtendaji wa Wiza ile ile baa ya kuona Magazeti ambayo sliyafungia yeye sasa yanafunguliwa tena bila masharti.

Msigwa baada ya Mtangulizi wake naye aliendeleza majibu yale yale ingawa naye hakushangaza sana kwakua alikuwa kipenzi cha Mwendazake,naye pia hakupenda mfumo wenye uhuru wa kujieleza. Leo hii sasa bosi wao ndani ya wizara ile ile anaelekeza magazeti yafunguliwe. Hawana la kufanya zaidi ya kutii amri tuu.

Kupitia haya yanayotokea naamini Dkt Abbas na Msigwa mnajifunza. Acheni hizi roho mtambue siku zote dunia ni duara.
Nape hakujiuzulu, usitupeleke chaka hapa! Nape alifyatuliwa!
 
Nawaonea huruma sana hawa mabwana wawili Dkt Hassan Abbas na Gerson Msigwa ambao kimsingi ni wapenzi wa mfumo wa Mwendazake, walifanya kazi katika viburi vikubwa sana. Walitoa majibu ya hovyo sana kila walipoulizwa na wanahabari kuhusu uhuru wa habari.

Leo hii wamekutana na aliyekuja juu yao ni muumini katika uhuru wa kujieleza ambaye mfumo wa Mwendazake ulimshinda kufuatia kujiuzulu abaki benchi. Navuta picha kuona jinsi Dkt Abbas anavyoteseka tena akiwa mtendaji wa Wiza ile ile baa ya kuona Magazeti ambayo sliyafungia yeye sasa yanafunguliwa tena bila masharti.

Msigwa baada ya Mtangulizi wake naye aliendeleza majibu yale yale ingawa naye hakushangaza sana kwakua alikuwa kipenzi cha Mwendazake,naye pia hakupenda mfumo wenye uhuru wa kujieleza. Leo hii sasa bosi wao ndani ya wizara ile ile anaelekeza magazeti yafunguliwe. Hawana la kufanya zaidi ya kutii amri tuu.

Kupitia haya yanayotokea naamini Dkt Abbas na Msigwa mnajifunza. Acheni hizi roho mtambue siku zote dunia ni duara.
Nape wa bao la mkono leo amekuwa mpenzi wa uhuru wa kujieleza?

Chadema ni janga
 
Nawaonea huruma sana hawa mabwana wawili Dkt Hassan Abbas na Gerson Msigwa ambao kimsingi ni wapenzi wa mfumo wa Mwendazake, walifanya kazi katika viburi vikubwa sana. Walitoa majibu ya hovyo sana kila walipoulizwa na wanahabari kuhusu uhuru wa habari.

Leo hii wamekutana na aliyekuja juu yao ni muumini katika uhuru wa kujieleza ambaye mfumo wa Mwendazake ulimshinda kufuatia kujiuzulu abaki benchi. Navuta picha kuona jinsi Dkt Abbas anavyoteseka tena akiwa mtendaji wa Wiza ile ile baa ya kuona Magazeti ambayo sliyafungia yeye sasa yanafunguliwa tena bila masharti.

Msigwa baada ya Mtangulizi wake naye aliendeleza majibu yale yale ingawa naye hakushangaza sana kwakua alikuwa kipenzi cha Mwendazake,naye pia hakupenda mfumo wenye uhuru wa kujieleza. Leo hii sasa bosi wao ndani ya wizara ile ile anaelekeza magazeti yafunguliwe. Hawana la kufanya zaidi ya kutii amri tuu.

Kupitia haya yanayotokea naamini Dkt Abbas na Msigwa mnajifunza. Acheni hizi roho mtambue siku zote dunia ni duara.

Ndiyo faida ya kazi za kuteuliwa! Huna cha kufanya zaidi ya kutii na kutekeleza maagizo.
 
Mie mjinga mjinga naamini haya magazeti yamefunguliwa kuimarisha Chadema ili isaidie kuchafua Wagombea wa Ccm wasiotakiwa na mfumo kama ilivyokuwa kwa Ndugu Ngoyai 2007-2015
 
Nawaonea huruma sana hawa mabwana wawili Dkt Hassan Abbas na Gerson Msigwa ambao kimsingi ni wapenzi wa mfumo wa Mwendazake, walifanya kazi katika viburi vikubwa sana. Walitoa majibu ya hovyo sana kila walipoulizwa na wanahabari kuhusu uhuru wa habari.

Leo hii wamekutana na aliyekuja juu yao ni muumini katika uhuru wa kujieleza ambaye mfumo wa Mwendazake ulimshinda kufuatia kujiuzulu abaki benchi. Navuta picha kuona jinsi Dkt Abbas anavyoteseka tena akiwa mtendaji wa Wiza ile ile baa ya kuona Magazeti ambayo sliyafungia yeye sasa yanafunguliwa tena bila masharti.

Msigwa baada ya Mtangulizi wake naye aliendeleza majibu yale yale ingawa naye hakushangaza sana kwakua alikuwa kipenzi cha Mwendazake,naye pia hakupenda mfumo wenye uhuru wa kujieleza. Leo hii sasa bosi wao ndani ya wizara ile ile anaelekeza magazeti yafunguliwe. Hawana la kufanya zaidi ya kutii amri tuu.

Kupitia haya yanayotokea naamini Dkt Abbas na Msigwa mnajifunza. Acheni hizi roho mtambue siku zote dunia ni duara.
Nape ni bendera fwata upepo kama walivyo hao uliowataja.
 
Hapa ameachana na mbinu zenu ovu zile za awamu ya 5 za kukosesha kipato makampuni yasiyo upande wenu. Amewakomoa MATAGA ya mwendazake sasa mnalialia. Kwendraaa!
Amewakomoaje MATAGA?
 
Toka lini Dkt Hassan Abbas yuko Wizara ya Habari, mawasiliano na tekinologia ya habari?

Hili jukwaa kwa sasa limeshuka sana kihoja likichangiwa na watu wa aina yako.

Umeonyesha hujui hata makatibu wakuu wa wizara kwa sasa.

Fanya kwanza utafiti kabla ya kuonyesha ujinga wako kwa watu wenye uelewa mpana wa mambo yanayoendelea nchini!

Dkt. Hassan Abbas kwa sasa ni Katibu Mkuu katika Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo.
 
Nawaonea huruma sana hawa mabwana wawili Dkt Hassan Abbas na Gerson Msigwa ambao kimsingi ni wapenzi wa mfumo wa Mwendazake, walifanya kazi katika viburi vikubwa sana. Walitoa majibu ya hovyo sana kila walipoulizwa na wanahabari kuhusu uhuru wa habari.

Leo hii wamekutana na aliyekuja juu yao ni muumini katika uhuru wa kujieleza ambaye mfumo wa Mwendazake ulimshinda kufuatia kujiuzulu abaki benchi. Navuta picha kuona jinsi Dkt Abbas anavyoteseka tena akiwa mtendaji wa Wiza ile ile baa ya kuona Magazeti ambayo sliyafungia yeye sasa yanafunguliwa tena bila masharti.

Msigwa baada ya Mtangulizi wake naye aliendeleza majibu yale yale ingawa naye hakushangaza sana kwakua alikuwa kipenzi cha Mwendazake,naye pia hakupenda mfumo wenye uhuru wa kujieleza. Leo hii sasa bosi wao ndani ya wizara ile ile anaelekeza magazeti yafunguliwe. Hawana la kufanya zaidi ya kutii amri tuu.

Kupitia haya yanayotokea naamini Dkt Abbas na Msigwa mnajifunza. Acheni hizi roho mtambue siku zote dunia ni duara.
Dr Abbas ni katibu mkuu wizara ya michezo, Sanaa na utamaduni. Kwaio hayupo kwenye wizara ya nape..abassi yupo na mchengerwa
 
Back
Top Bottom