Dkt. Ashatu Kijaji: Biashara Kariakoo zinaendelea, wafanyabiashara wametumia Demokrasia na Uhuru wao kufungua au kutokufungua

ameamua kubadilisha maneno kutoka mgomo kuwa uhuru wa kufunga na kufungua maduka,
Yuko happy anagonga meza hana wasiwasi kiongozi shupavu aliyeaminiwa na Mh. Rais!
Na posho juu anapata.
 
Hivi kuna mgomo au? Manake Ukiona picha unaona vipeperushi Ati "Kamata Kamata ya TRA yawafukuza wanunuzi wa Nje" na Wachuuzi wakiendelea na Biashara!

.Nilifikiri mgomo huu ni wa kukataa Sheria ya Usajili wa Store/Stoo za Bidhaa.
Kuna Siasa za Uharakati hapo?
 
#HABARI Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Amos Makalla amewataka wafanyabishara wanaofanya biashara katika eneo la Kariakoo jijini Dar es Salaam, kuendelea na biashara hizo, baada ya wafanyabishara hao kugoma kufungua biashara hii leo.

Makalla ametembelea eneo la Kariakoo na kushuhudia maduka mbalimbali yakiwa hayajafunguliwa ambapo wafanyabiashara hao wamegoma kwa kile wanachoeleza kuwa ni kutokana na kuongezeka kwa gharama nyingi za ulipaji kodi na kamata kamata wanayokumbana nayo. #EastAfricaTV

 
#HABARI Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Amos Makalla amewataka wafanyabishara wanaofanya biashara katika eneo la Kariakoo jijini Dar es Salaam, kuendelea na biashara hizo, baada ya wafanyabishara hao kugoma kufungua biashara hii leo...
Huyu jamaa anakuaga mbabe sana huyu.
Kijana wa J.K
 
Mbunge wa Makete mh Festo Sanga ameliambia bunge kwamba 50% ya Wafanyabiashara wa Kariakoo wanatoka kwenye Jimbo lake la Makete ( Wakinga)

Source TBC

Je, Sanga yuko sahihi au amelidanganya bunge?
 
Huyu mama huwa ni mjinga sana (samahani)
 
Hii kupeana uwaziri kijinsia sasa mambo Sio mambo Huku kariakoo.

Uwezo wa Huyu Waziri ni mdogo sana sana.
 
hizi nchi zetu bwana,tatizo la umeme mpaka bunge linaahirishwa,mara uwanja wa taifa.kweli afrika ni bara la giza.
 
Nyakati zile tusingekuwa naye huyu na hawa ndio wanamfanya maza aonekane hajui kulea watoto kuliko baba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ