Dkt. Bashiru awashangaa wapenda ‘Kazi na Bata’. Asema kauli hiyo inachangia kuzorotesha Uchumi

Huyu Dr fake kabisa

Sasa anategemea nini pale mtu anapofanya kazi na kufanikiwa kupiga pesa za maana anatakiwa afanye nini na hizo pesa baada ya kazi?
kazi lazima utufanye tuishi maisha ya raha na starehe!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM mtaongea sana, ila 2020 mjipange. Hata mfungue "OFISI ZA CHAMA - TAWI DOGO LA CCM" ndani ya "TRENI au BOMBADIA".
CCM ITASHINDA KWA KISHINDO kuna jamaa zangu ni wabunge wa upinzani huwa nawaambia kabisa watafute shuguli ya kufanya
 
Wanapotoa vibali kwa ajilil ya shughuli za starehe lengo lao huwa nini kama si watu kula bata? Mtu wao aliyekodisha mabehewa na kupeleka watu Kigoma kazi anayofanya ni nini kama siyo kuwafurahisha watu wanapokula bata baada ya kazi ngumu za kujitafutia riziki?
 
baada ya hiyo hotuba nayeye c anaenda kula bata au,dah ccm bhana hii slogan imewauma sana kamekuwa kamsumari kwao
 
Anataka tuseme kazi na rushwa? Ile rushwa yak ya 3 billion waliyopokea toka kwq wahindj
 
Mi nafikiri kazi ikulipe ikuingizie kipato unachostahili sio msuli tembo matokeo sungura ndo tafsiri ya bata uone matokeo ya kile unachokifanya sio hiki kinachofanyika kwa sasa hivi pesa hamna ajira hazipo mtaani Hali ngumu
 

Naona unakuja na matusi, muungwana huongea lugha iliyojaa busara! Anyway, tatizo linaloonekana hapo ni msisitizo wa kula bata, ikimaanisha watu wafanye starehe! Sasa kula bata iwe kauli mbiu, unafikiri jamii inachukuliaje? Wapo watakaofikiri kuwa kumbe kufanya starehe ni lazima hata kama uchumi hauruhusu kufanya hivyo (hii ndio maana ya kauli mbiu, in other words we can say it is a command).

Mtu akifanya kazi, akichoka, atahitaji kupumzika, kula, au hata kunywa (it is a natural phenomenon), huhitaji kumwambia ‘nenda kale’. Hata Nyerere alipojenga hizo kumbi alijuwa kuwa kuna wakati watu watachoka na watahitaji kupumzika, lakini kamwe hakuwalazimisha kula bata, maana alijuwa kungekuwa na mapokeo ambayo yangeleta impact mbaya kwenye uchumi aliouanzisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…