Dkt. Bashiru awashangaa wapenda ‘Kazi na Bata’. Asema kauli hiyo inachangia kuzorotesha Uchumi

Dkt. Bashiru awashangaa wapenda ‘Kazi na Bata’. Asema kauli hiyo inachangia kuzorotesha Uchumi

Dr yuko sahihi sana. Anachomaanisha hapa ni kuwa kipaumbele ni kujenga uchumi na sio kudumaza uchumi. Ukihubiri kazi na bata (sijuwi kama na yenyewe ni kauli mbiu), tafsiri yake ni kuwa ‘fanya kazi na kipato upatacho tumia kwa starehe’ (no saving). Sasa huu ni uchumi wa aina gani?

Nakumbuka wakati fulani tulipokuwa shuleni kuna msemo tulikuwa tunasema ‘work done equal to zero’ pale ikionekana mtu amejitahidi kufanya jambo fulani lakini hakuna matokeo, hili nalifananisha na kazi na bata, maana kipato unachopata unakitumia kwa starehe, kesho huna kitu. Tupige kazi, tupate kipato, and then we save for future investment!
Sijapenda uliyoandika
 
Usiwe nawe kama mtoto uchumi unajengwa miaka kumi au mitano nabila sera zakueleweka bora liende nakwann tulazimishwe...kipaumbele kiwe katiba kwanza viwanda baadae...kwahyo huyu akitoka akaja mwingine akasema ruksa itakuaje....mbona ccm mnatufanya wezenu wajinga kiasi hicho.mnaboa
Dr yuko sahihi sana. Anachomaanisha hapa ni kuwa kipaumbele ni kujenga uchumi na sio kudumaza uchumi. Ukihubiri kazi na bata (sijuwi kama na yenyewe ni kauli mbiu), tafsiri yake ni kuwa ‘fanya kazi na kipato upatacho tumia kwa starehe’ (no saving). Sasa huu ni uchumi wa aina gani?

Nakumbuka wakati fulani tulipokuwa shuleni kuna msemo tulikuwa tunasema ‘work done equal to zero’ pale ikionekana mtu amejitahidi kufanya jambo fulani lakini hakuna matokeo, hili nalifananisha na kazi na bata, maana kipato unachopata unakitumia kwa starehe, kesho huna kitu. Tupige kazi, tupate kipato, and then we save for future investment!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dr yuko sahihi sana. Anachomaanisha hapa ni kuwa kipaumbele ni kujenga uchumi na sio kudumaza uchumi. Ukihubiri kazi na bata (sijuwi kama na yenyewe ni kauli mbiu), tafsiri yake ni kuwa ‘fanya kazi na kipato upatacho tumia kwa starehe’ (no saving). Sasa huu ni uchumi wa aina gani?

Nakumbuka wakati fulani tulipokuwa shuleni kuna msemo tulikuwa tunasema ‘work done equal to zero’ pale ikionekana mtu amejitahidi kufanya jambo fulani lakini hakuna matokeo, hili nalifananisha na kazi na bata, maana kipato unachopata unakitumia kwa starehe, kesho huna kitu. Tupige kazi, tupate kipato, and then we save for future investment!
Mumuelewe aliyetoa huu msemo au kauli mbiu. Anasema watu wafanye kazi halafu wale bata - yaani wapumzike na kustarehe.
Wenzetu wazungu wamefika hapo kwa sababu ya kufanya hivyo - wanafanyakazi kwa biddi na ikifika kipindi cha holiday wanasafiri mbali kwenda kula bata - kukusanya nguvu na wakirudi wanakuwa wamepata nguvu mpya ya kimwili na kiakili. Huwezi kuwaambia watu wale bata wakati huwaambii kufanya kazi kwa sababu huwagawii fedha za kulia bata na wao wanajua kula bata ni kutoka mfukoni mwao. Mapumziko na kustarehe ni sehemu ya muhimu sana kwenye maisha ya binadamu kwani huchangia ubunifu na ari ya kazi na ndio maana makampuni makubwa ya kimataifa hutoa fedha kwa wafanyakzazi wao kwa ajili ya kwenda kutembelea nchi mbal mbali - ikiwemo kutalii. Tusione kila kitu ni siasa tu nafikiri mtoa hoja ameona kana kwamba hii slogan inapingana na Hapa Kazi Tu akasahau kufikirisha akili yake juu ya umuhimu wa kustarehe baada ya kazi na mchango wake katika productivity na ubunifu.
 
WATANZANIA WENGI NI ZAO LA CCM. HII KAULI SIDHANI KAMA NI YA KUJADILIWA NA WATU WENYE AKILI TIMAMU
 
Mimi nakubali mkuu Bashiru,kinachotushinda tukiwa na wazungu ni culture ya kufanya kazi,weekend kujirusha ila ni rare kuwakuta wako bar siku za kufanya kazi..kuna wachache ofcourse
 
Hivi zaidi ya Malumumba kuna mtanzania yeyote siku hizi anashauku ya kufuatilia huyu jamaa huwa anaongea nini!
 
Nafikiri zile CD na Documents muhimu za ujamaa hawa Wachina na Warusi walizificha ili zisionekana kwa watu wengine na zikabaki kama silaha zao na kuwadanganya wengine kuhusu ujamaa na namna ya kuundesha..
 
Back
Top Bottom